Nachukizwa na kukasirishwa namna Boniface na Huyu Maranja Masese wanavyomtukana Rais na kumuandikia maneno ya kashfa

Wamekosaa Sana adabu, Hawa dawa yao ni kwenye uchaguzi tu, wanatuumiza Sana wanapokosa adabu kwa viongozi wetu
 

..kuwa mwanaharakati sio kosa.

..Raisi Samia aliwahi kusema kwamba kabla hajaingia kwenye siasa alikuwa mwanaharakati.

..binafsi nilitegemea ktk awamu ya Rais Samia wanaharakati wangestawi, badala ya kushutumiwa na kuwindwa.
 
Kuingia madarakani kwa kunajisi chaguzi za nchi ni zaidi ya haya unayoita matusi. Sioni ni kwa jinsi gani kiongozi anayeingia madakani kwa kupora uchaguzi unataka aheshimiwe.
 
Wamekosaa Sana adabu, Hawa dawa yao ni kwenye uchaguzi tu, wanatuumiza Sana wanapokosa adabu kwa viongozi wetu
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama unasubiri uchaguzi subiri na hao majizi wenzio wa kura, lakini sisi wengine tunajua uchaguzi wetu ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Una hasira sana nenda kapigane
 
Raisi anafanya tukio alafu anajifanya muungwana
 
Wakuu mnahasiraa sanaaa šŸ˜‚šŸ˜‚ā€¦ā€¦. Mpaka mnabubujikwa na machoziii šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Inapaswa vijana kuungana na kuwatia viboko. Tuwasake mmoja mmoja
 

Achana naye, huyo hana adabu. Wenyewe wanafikiri kutukana ndiyo kushauri. Lkn pia wanafikiri demokrasia ya magharibi ndiyo demokrasia ya ulimwengu (universal democracy), kumbe demokrasia zinajengwa katika misingi ya mila na desturi. Demokrasia ambayo haisadifu mila na desturi zetu, hiyo ni demokrasia ya kughushi au demokrasia mnemba (artificial democracy). Muda wowote tutegemee mtikisiko na mporomoko wa kijamii.
CC: Salary Slip
CC: Crimea
 
tuwekee matusi walotukana vinginevyo weww ndo unaemtukana indirect
 
Tusi liko wapi?

Watu wamejenga hoja kwanini Edgar amepotea siku 3 serikali ilikuwa kimya hakuna uchunguzi wala kauli huku watumiaji wa X ambao ni raia walikuwa wakipaza sauti .

Leo Edgar kapatikana rais anaibuka na kusema atachangia matibabu vipi kuhusu watekaji na mbona haikutolewa kauli tangu kalazwa Katavi hadi kusafirishwa kwa air ambulance?

Mleta mada nina wasiwasi wewe kama sio mmoja wa genge la watekaji basi ni wale ambao michango yenu ilirudishwa baada ya familia ya Edgar kuikataa.
 
Siamini kama nchi hii Bado tunapaswa kuogopa kukemea , kukashfu na ikibidi kutukana juu ya watawala wabovu,
Hata kama Urais ni taasisi lakini Kwa mwendo mbovu ambao serikali na watawala wetu wanaenda nao ni dhahiri kuwa mtu yeyote mwenye mapenzi mema na nchi hii hawezi kutamani kuendelea kuongozwa na serikali ya mama otherwise ni mwizi na mfujaji mwenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…