Nachukizwa na kukasirishwa namna Boniface na Huyu Maranja Masese wanavyomtukana Rais na kumuandikia maneno ya kashfa

Nachukizwa na kukasirishwa namna Boniface na Huyu Maranja Masese wanavyomtukana Rais na kumuandikia maneno ya kashfa

Mpumbavu sana wewe!

Kuongea ukweli ni matusi?

Mwambie chura kiziwi awe smart nchi inaingia shimoni
Shimo gani inaingia? Maana toka umeanza kusema kauli ya nchi kuingia shimoni ni miaka 3 sasa?
 
Niwe muwazi: Nachukizwa na kukasirishwa na Namna vijana hawa Boniface na Huyu Masanja masese wanavyomtukana Rais na kumuandikia maneno ya kashfa huko twitter(x) kama mtoto wao mdogo.. huyu ni Rais na ni mkuu wetu pia kumtukana ni kutudharau hata sisi pia


Wanaitumia mtandao wa Twitter (x) kama sehemu ya kutafuta Attention kuonekana ni vijana wakombozi uchwara uhaba harakati uchwara

Mbaya zaidi wanatumia maneno ya dharau na kejeli kwa Rais , Huyu ni Rais na ni mkuu wetu pia kumdharau kiasi hicho ni kuondoa Dhahiri hakuna nidhamu na umeiidharau taasisi ya URais

Kila siku wanamtaja Rais hovyo hivyo tu

Rais kasema gharama za matibabu yote atagharamia yeye na kutoa kiasi cha million 35 bado tena mnaanza kumkashifu na kumtukana mnataka nini ? Rais ana mambo mengi ya kufanya anawasaidizi wake wanampa taarifa hawezi kila tukio akatoka hadharani na kukemea ilihali vyombo vya usalama vinajidhihirisha tukio hilo, askari kutoka vitengo mbalimbali wanaenda kumhoji huyo kijana asiye hata na adabu alietukana kwa matusi viongozi huko twitter vijana uchwara wanamkataza asitoe ushirikiano kwa polisi sasa mnataka nini? Askari wakiondoka mje mseme hakupata ushirikiano?

Jeshi la polisi lina idara zake zilizobebea katika masuala ya uchunguzi kwanini mnakataa?

Leo mnalichukua tukio la Uyo kijana kama sehemu ya kumtukana Rais?

Nimekasirishwa Sana, Jeshini mnafundishwa nini? Nyumbani kwenu mnafundishwa nini?

Ni aibu mzazi wa kijana Uyo yupo kijijini anapata taarifa mtoto wake haonekani kapatikana makosa wanayohisi watafanya ni kutukana viongozi kwa matusi mtandaoni.

Vijana mmekuja mjini kuwa wanaharakati? Kutukana watu?

Huwezi kutoa maoni au mapendekezo had uhusishe matusi katika maneno yako tena kwa kiongozi..


Time will tell
Sasa mbona hujaweka hayo matusi hapa tujadil!
 
Heri babako angepiga puchu. Huna msaada wowote kwenye jamii.

Kenya hapa tu ruto Kila Leo anazondolewa huko USA ndo usiseme trump kashawahi tengenezwa katuni iliyokatwa kichwa na kama isitoshe ilitengenezwa sanamu akiwa uchi na watu wanachezea dudu ake.

Mwambie hatuwezi kumpenda wote Nyumbu wewe
 
Huyo inawezekana watu walikutana kichakani wakafanya production ndo ndulute kama hizi zinapatikana😎
Hivyo viumbe kwa hapa Tanzania utakuta vinafyatuliwa kwenye mikesha ya mwenge na kwa bahati mbaya vimetapakaa nchini kama siafu. Kwao kila anayewazidi umri anaweza kuwa baba/mama.
 
Maranja anajionaga ana mwili wa chuma.

Boni hajui kwamba pale ubungo aliendesha genge la kuibia halmashauri ya ubungo, na inajulikana
 
Chura kiziwi hawezi jibu hoja labda tujaribu kumtukana wenda akatoa neno japo la Shali
 
Hao jamaa waongezewe ulinzi kabisa.
 
Back
Top Bottom