Nachukizwa na kukasirishwa namna Boniface na Huyu Maranja Masese wanavyomtukana Rais na kumuandikia maneno ya kashfa

Ni kama tu wanavyochukizwa wale wengine pale mnapomsifia huyo Rais wenu kupitiliza. Kwa hiyo unatakiwa kuwa tu mpole. Au unataka na wenyewe muwateke na kwenda kuwatupa kule Katavi?
 
utapasuka moyo bure. kuna nchi walishawahi kutokea watu kama hawa hawa, kumbe ni mapandikizi yaliyotumwa na namba moja mwenyewe kuzugisha watu, wajinga wanajiunga nao kumbe wenzao jioni wanakaa kikao na kunywa supu pamoja, ila mchana wanajifanya maadui. Israel inatumia sana mbinu hii. nani alijua msigwa atakuja siku moja kuwa ccm na kuahidi kuanika mabaya ya chadema nchi nzima? hamjazijua siasa hadi leo?
 
🚮🚮
 
Kwahiyo demokrasia ya kupora chaguzi ndio inawakilisha mila na desturi zetu?
 
ID yako inaonesha Ina chura kiziwi
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama unasubiri uchaguzi subiri na hao majizi wenzio wa kura, lakini sisi wengine tunajua uchaguzi wetu ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
Ule uchaguzi wa chadema umeuona mkuu
 
Mkuu unaweza kutuwekea hayo matusi hapa ili na sisi tuyaone?
 
”huyu ni Rais na ni mkuu wetu pia kumtukana ni kutudharau hata sisi pia"

Kama ni mkuu basi ni mkuu wako wewe usiweke wingi ukanijumlisha kwenye huo ujinga.
Mnhh..aisee...naona watu mnaandamana mitandaoni...
🙆🙆🙆
 
Jikite kuona TATIZO..ACHANA na MATOKEO ya TATIZO. ama elimu yako nitofauti Naya wengine, au lengo lako nitofauti na la mwingine...ukiwa neutral katika kutatua Jambo zito. ...utapata mawazo Boro zaidi. Ona sasa wachangiaji wanaona wewe ndo TATIZO wameachana na HOJA yako. Jifunze zaidi kuona TATIZO utakuwa kiongoz Bora Kwa JAMII zaidi ya ulipo Leo kibusara.
 
Ukitaka kuwaona hao jamaa ni wajinga. Hizo kauli wanazozitoa kwa upande wa pili zitumie wewe viongozi wao wanapokosea watakushambulia vibaya mno.

Lugha hizo ni nzuri na sahihi kama wakizitoa wao na kuna wajinga kibao tu watawaunga mkono kwa kutoa lugha chafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…