Nachukizwa na uongo wa mashabiki ukraine kuhusu hali ya vita vyake dhidi ya urusi

Nachukizwa na uongo wa mashabiki ukraine kuhusu hali ya vita vyake dhidi ya urusi

Hata mimi nachukizwa nao sana jana nimesoma habari kupitia RT na SPUTNIK warusi tayari wapo kiev tangia February Sheikh Putin alivyoamrisha Special Op

Lakini wao wabishi wakati Dhana zetu za vita Zikiharibiwa na Askari wetu wanaojisahau wakivuta Sigara wao wanasema HIMARS



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
hahahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom