Siasa za Tanzania Zina mambo ya ajabu Sana.
Kwenye Mpira zinafanya nini. FIFA Ina vyombo vidogodogo kama TFF, Ile ya Africa, sijui inaitwa nini Kwa nini viongozi wa siasa Wana nafasi kwenye Mpira? Wanashida gani, Kwa nini wasibaki mashabiki?
Nchi inawashinda bado mnaingia sijui CCM na chadema, cuf sijui ujinga gani.
Tuachieni Mpira muwe mashabiki tu.