DOKEZO Nadai Tsh. Milioni 440 kwa Mkandarasi wa SGR. Naomba Serikali inisaidie, napigwa danadana tangu Desemba 2022

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Biashara na makampuni ya kimataifa inabidi uwe makini sana... Mkataba kama wa Tsh 400 Million umeshindwa kutoa Tsh 4 million kwa Wakili hapo? Uweke kipengele cha uamuzi kwenye Mambo ya kibiashara wameshindwa kukulipa unakama crane, Motor Grader, Excavator na Mitambo mengine ya maana ungeona kama wasingekulipa.
Next time jua kuwa haya makampuni usipokuwa makini wanakupiga mchana kweupe tafuta mawakili Lipa vizuri utapa hela yako.
 
WAKATI MNAINGIA MKATABA NTYJUZE PIS TYWAWEKE MAIMBINI MFANIKIWE
 
Haya Ni Ya Ajabu Sana Mtanzania Anatoa Huduma Hapa Hapa Tena Kwa Mkataba Ulio Wazi
Upande Wa Malipo Wanamsumbua Halafu Viongozi Wetu Wapo!!
Sijui Ulipo Ila Najua Una Uwezo Wa Kufika Dodoma Chap Uonane Na Waziri
Changamka Uukomboe Wakati Umeshatoa Huduma Hutakiwi Kulipwa Millions 10
Malipo Yako Yalipwe Yote


CC: Mwigulu Nchemba
CC: Makame Mbalawa
 
Huyo wakukimbiliwa (serikali) ndiye mdaiwa mkuu. Tatizo kubwa la Yapi lilikuwa ni cashflow, malipo yake yalisuasua sana.
Kuna kipindi alianza kulipa suppliers wake may be na huyu alishamalizana naye
 
Mkuu nenda kawashitaki Mahakamani na uweke Wakili apate kukutetea utapata haki yako kuliko kuja hapa kulalamika haupati kitu Waturuki huwajuwi watamaliza contract yao watakukimbia na kukuacha njia panda fanya upesi ukawashitaki kabla hawaja maliza mikataba yao ya ujenzi wa hiyo reli ya SGR.
 
Juzi Mama Saa 100 alienda Turkey...moja ajenda kuu ni Yepi kumalizia kipande Lot 3 Bahi hadi Tabora....naamini wameongea na kukubaliana Yeoi warudi kazini maana walitaka kuwauzia wachina wao wasepe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…