Nadhani hiki ndicho kinampeleka Tunda polisi central

Nadhani hiki ndicho kinampeleka Tunda polisi central

JIONGEZENI. CHAMBUENI MAMBO KAMA WATU WENYE UPEO. HIZO NI BANGI. KWA HIYO HOJA ZENU ZIWE KWENYE TATIZO LA MADAWA AU VITA HII YA MADAWA. AU MATUMIZI YA MADAWA KWA WASANII NA SI VINGINEVYO. MNAPINGA KWAMBA HIO SIO Banging ILI MUONEKANE MKO MAKINI ILA UKWELI MNAUJUA.. HATA HIVYO SIDHANI KAMA BANGI NI TATIZO HASA WAKI ROLL IKIWA DRY AU NA KALI NYOTA PENGINE WASANII HAWA WANA NYONGEWA NA NGADA NDANI YAKE. MIMI MWENYEWE NI SHUHUDA NISHAONA MTU ANANYONGA BANGI NA VALIUM VILE VIDONGE.. ANAVISAGA NA KUCHANGANYA NA MJANI.. AKIVUTA KAMA TEJA
Usituambie kuwa hiyo ni bangi kabla hujathibitisha kuwa ni bangi.

Hebu thibitisha kuwa hiyo ni bangi na siyo tumbaku iliyosokotewa humo ndani.

Hapo umetuletea porojo changa tu.
 
Katika sakata hili la madawa ya kulevya jana ijumaa iliongezeka list ya watu wengine akiwemo video queen maarufu anayefahamika kama "TUNDA"
Kinachodaiwa kumpeleka video queen huyu central siku ya jumatatu ni kuhusu kuhusika katika matumizi ya madawa ya kulevya .....Katika page yake ya instagram january 14 mwaka huu alipost picha ya kinachohisiwa kuwa bangi nne zilizonyongwa, Ikumbukwe ya Kwamba bangi ni moja ya madawa ya kulevya

View attachment 467311
Hata unga unaweza kuchanganywa kwenye bangi pia
 
Katika sakata hili la madawa ya kulevya jana ijumaa iliongezeka list ya watu wengine akiwemo video queen maarufu anayefahamika kama "TUNDA"
Kinachodaiwa kumpeleka video queen huyu central siku ya jumatatu ni kuhusu kuhusika katika matumizi ya madawa ya kulevya .....Katika page yake ya instagram january 14 mwaka huu alipost picha ya kinachohisiwa kuwa bangi nne zilizonyongwa, Ikumbukwe ya Kwamba bangi ni moja ya madawa ya kulevya

View attachment 467311
Umejuaje Kama hizo ni Bangi kwa muonekano katika picha!? Inawezekana ni tissue alizisokota kutolea uchafu masikioni.
 
Majani ya Chai y

Majani ya chai gani yapo hivyo, hayana hata lebo kuonyesha yanatoka kiwanda gani, na pia ni vyake kwa kuwa amepost kwenye akaunti yake. Mtu huwezi kupost kitu kama hicho halafu ukakana siyo mtumiaji.
Sio kweli, kwahiyo nikiposti picha ya Walcot kwahiyo atakuwa ndugu yangu au nitakuwa mimi?
 
Kwavyovyote vile hiyo itakuwa ni marijuana. Nawasisiwasi huyo binti kama anaelewa anachofanya. Sheria za nchi yetu marijuana imewekwa daraja moja na illicit drugs kama cocaine, meth au heroin. Japo hii si kweli kwamba marijuana ni sawa na hizo dawa zinazotengenezwa maabara lakini hawa mabinti wanatia shaka. Herb inapaswa itemiwe kwa inspiration na heshima. Balance is key. Jamii yetu inayo macho na itaku-judge kwa matendo yako. Kwa aina ya maisha wanayoongoza nirahisi tu kuchanganjiwa na drugs nyingine. Inampasa achunguze sana kuhusu herb. Leo hii marijuana inaata support kote kote duniani lakini hatutaki watu watumie kwanamna yakusababisha matatizo. Hapa ndiyo unaona hatari ya kijana mdogo kupata money and fame angali hana guidance kumuongoza kwenye maisha.
 
Kunasehemu imeandikwa hapo kuwa hiyo ni misokoto ya bangi.? Au wewe ndio Mtuniaji na unauzoefu nayo? Kama ndio style anayotumia bwana mdogo mwambieni ajiandae kuangukia pua huko mahakamani hasa litakapokuja Suala la ushahidi.
Leo umeongea pumba za hali ya juu zaidi katika maisha yako yote,trust me
 
Leo umeongea pumba za hali ya juu zaidi katika maisha yako yote,trust me
Nashukuru kama huwa unafatilia ninavyokuwa "naongea" japo hapa nimeandika. Ila na mimi nikuhakikishie kama umejaza "nguruwe" kwenye ubongo wako lazima uone nilichoandika ni "pumba".


Hivi kwa mfano leo wewe ni polisi umemshika "young dee" barabarani akiwa katika matembezi yake, au majirani zake wakakumabia dogo huwa anavuta bangi sana, baadae umapeleka Mahakamani kwa kosa la kuvuta bangi. Mahakamani wakataka ushahidi, ulivyo "sakala" ukapeleka hiyo picha kama ushahidi wako, unategemea hukumu yake inakuwaje?
abc04ce3fccce9fffb153e579327809a.jpg
 
Mkuu na wewe uliyepost hiyo picha unajua wanaweza kukuita huko central. Tutajuaje kama si wewe yliyeipiga picha mana iko kwa account yako
Co rahisi kama unavyofikiria kwa vinavyofanywa humu wote tungekuwa central sasa hivi na ww ukiwemo
 
JIONGEZENI. CHAMBUENI MAMBO KAMA WATU WENYE UPEO. HIZO NI BANGI. KWA HIYO HOJA ZENU ZIWE KWENYE TATIZO LA MADAWA AU VITA HII YA MADAWA. AU MATUMIZI YA MADAWA KWA WASANII NA SI VINGINEVYO. MNAPINGA KWAMBA HIO SIO Banging ILI MUONEKANE MKO MAKINI ILA UKWELI MNAUJUA.. HATA HIVYO SIDHANI KAMA BANGI NI TATIZO HASA WAKI ROLL IKIWA DRY AU NA KALI NYOTA PENGINE WASANII HAWA WANA NYONGEWA NA NGADA NDANI YAKE. MIMI MWENYEWE NI SHUHUDA NISHAONA MTU ANANYONGA BANGI NA VALIUM VILE VIDONGE.. ANAVISAGA NA KUCHANGANYA NA MJANI.. AKIVUTA KAMA TEJA
Mkuu na wewe ndio naomba kuuliza, na wewe ndio upeo wako wa kuchambua...., ulipogotea.?
Unasema hudhani kama bangi ni tatizo? kawambie polisi basi wawe wanaacha kuing'oa na kuteketeza, au wale wote waliofungwa miaka 30 kwa utumiaji bangi kama Dawa ya kulevya waachiwe maana hudhani kama ni tatizo.?f
Na kwa haraka tu ni kusaidie kama ndio nadharia uliyonayo kichwani mwako, basi hata hiyo mihadarati sio tatizo, tatizo litakuwa matumizi. Huwezi kutumia mihadarati huku unashindia chips kavu hisikupukutishe chini, ni sawa na uvute hiyo bangi huku mlo wako ni wakulenga kwa manati, mwisho wa siku utaishia kuiba tu na kuwa kibaka.
 
Kama kazi ya unga ni kulevya kwa nini watu wasitumie vileo (alcohol).Kwanini unga?Unga basi utakuwa na kitu cha ziada
Raha ya unga wenyewe wanakuambia ni kama unapiga bao ,sasa ulevi wa pombe na utamu wa kupiga bao wapi na wapi ?
 
Kunasehemu imeandikwa hapo kuwa hiyo ni misokoto ya bangi.? Au wewe ndio Mtuniaji na unauzoefu nayo? Kama ndio style anayotumia bwana mdogo mwambieni ajiandae kuangukia pua huko mahakamani hasa litakapokuja Suala la ushahidi.
Sio kila mtuhumiwa hufikishwa mahakamani.
 
Back
Top Bottom