Nadhani kuhusu issue ya DP WORLD shida kubwa iko kwenye hizi 35% za wazawa

Nadhani kuhusu issue ya DP WORLD shida kubwa iko kwenye hizi 35% za wazawa

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .

Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .

Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .

Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .

Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali​
 
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .

Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .

Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .

Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .

Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali​
Na hiyo mikataba mingine kuwa siri wametaka maana walikuwa wanalazimishwa na sheria ya Natural Weather and Resources ya mwaka 2017 kupeleka hiyo mikataba bungeni, ila wanaenda kubadili sheria ili hiyo mikataba isiende Bungen.
 
Huu mkataba upitiwe vyema maana kuna watu tayari wamejipanga kupiga hela, maana wanatumia nguvu kubwa sana kuuremba.

Halafu yani TISS sijui hata wana kazi gani sijui wamekalilishwa wao ni usalama wa kuhakikisha hutuvamiwi na rais yupo salama,

Ilibidi hiki kitengo kiwe na masirahi kwa Taifa kwenye issue kama hizi lakini yani hawana maana.

CIA ya US kwenye government interest ipo na inasaidia lakini hapa kwetu sijui yanawaza nini..?
 
Tumechoka kusikia hizi habari za dp world, hivi hamuna kazi za kufanya daily mitandaoni!!!
 
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .

Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .

Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .

Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .

Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali​
Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .
Ina maana DP World watakuwa na asilimia 65?!
 
Back
Top Bottom