Nadhani kuhusu issue ya DP WORLD shida kubwa iko kwenye hizi 35% za wazawa

Nadhani kuhusu issue ya DP WORLD shida kubwa iko kwenye hizi 35% za wazawa

Na hiyo mikataba mingine kuwa siri wametaka maana walikuwa wanalazimishwa na sheria ya Natural Weather and Resources ya mwaka 2017 kupeleka hiyo mikataba bungeni, ila wanaenda kubadili sheria ili hiyo mikataba isiende Bungen.
Kila namna itafanywa
 
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .

Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .

Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .

Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .

Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali​
Huna pesa na hata akili pia huna?.
Acha wenye uwezo wa kuchukua hizo 35% tukachukue.Wewe walilie watu wa ukoo wako kwa kutokuweka mipango na akili zao katika kutafuta mitaji mikubwa.
 
Huna pesa na hata akili pia huna?.
Acha wenye uwezo wa kuchukua hizo 35% tukachukue.Wewe walilie watu wa ukoo wako kwa kutokuweka mipango na akili zao katika kutafuta mitaji mikubwa.
🤣🤣🤣
 
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .

Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .

Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .

Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .

Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali​
Hivi hizi asilimia zimeandikwa wapi?
Mbona mnadanganywa kirahisi na mambo yasiyokuwepo?
 
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .

Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .

Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .

Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .

Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali​
Tuletee hiyo document iliyoandikwa hizo asilimia 35. Hatutaki siasa kwenye ishu zinazohusu rasilimali zetu.
 
"Maliasili zetu Watanzania zinachukuliwa bure haya ni maajabu,sitaruhusu hilo" Hayati Rais John Pombe Magufuli.
 

Attachments

  • VID-20230715-WA0734.mp4
    9.5 MB
Back
Top Bottom