Kila namna itafanywaNa hiyo mikataba mingine kuwa siri wametaka maana walikuwa wanalazimishwa na sheria ya Natural Weather and Resources ya mwaka 2017 kupeleka hiyo mikataba bungeni, ila wanaenda kubadili sheria ili hiyo mikataba isiende Bungen.
Lete mabomu ya kujitoa muhanga tuondoe wabunge wote vilaza pale ndani.
Walivyosema viongozi wa wizaraIna maana DP World watakuwa na asilimia 65?!
Why not NCCR MAGEUZI ?Halafu tuwaweke wa chadema?
Tulibaliana ni TL 2025Why not NCCR MAGEUZI ?
Huna pesa na hata akili pia huna?.Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .
Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .
Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .
Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .
Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali
Wamesema pia hao wazawa wa kumiliki asilimia 35 watapatikanaje?Walivyosema viongozi wa wizara
🤣🤣🤣Huna pesa na hata akili pia huna?.
Acha wenye uwezo wa kuchukua hizo 35% tukachukue.Wewe walilie watu wa ukoo wako kwa kutokuweka mipango na akili zao katika kutafuta mitaji mikubwa.
TutajulishwaWamesema pia hao wazawa wa kumiliki asilimia 35 watapatikanaje?
Wabunge wote kutoka vyama pinzani, isipokua wa Act na cuf.Why not NCCR MAGEUZI ?
Hivi hizi asilimia zimeandikwa wapi?Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .
Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .
Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .
Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .
Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali
Tuletee hiyo document iliyoandikwa hizo asilimia 35. Hatutaki siasa kwenye ishu zinazohusu rasilimali zetu.Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada ya hii IGA ,shida kubwa nliyoiona ni hii 35% hisa wazawa .
Ni kwamba katika mikataba ya kibiashara na DP WORLD hisa asilimia 35 zitakuwa za wazawa na utaaribu utawekwa namna ya kuzipata .
Hapa ndipo panapoleta shida na kelele mpaka tumeshuhudia kina Msukumu,Zembela ,kitenge kina Rostam wakiingia kwa nguvu kwenye hili suala ,kuna watu wanatetea kwa maslahi yao binafsi .
Kwa kifupi kuna haja kubwa ya kuendelea kupiga kelele otherwise mambo mengi yasiyoeleweka yatapita hasa watu wakitarget hii 35% sio maslahi kwa Taifa .
Ushauri wangu hii 35% iwe ni ya Serikali
Anayo JohariTuletee hiyo document iliyoandikwa hizo asilimia 35. Hatutaki siasa kwenye ishu zinazohusu rasilimali zetu.
Why not ACTWabunge wote kutoka vyama pinzani, isipokua wa Act na cuf.