RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Issue sio kuwa nazo inaweza kuwa ulipewa zawadiTafuta pesa kijanana.
Mimi nina simu 2, iPhone 14 ProMax na Samsung S23 Ultra.
Ukiachana na hilo kuwa watu hatufagilii kabisa iOSMtumwa wa simu,ni mtumwa wa kikoloni anaeendeshwa na upepo!
Sim kama Ina access ya internet inatosha na downloading!
Mengine ni utumwa!!
Tecno pop2 mbona fresh halafu class IPO kwa brain sio umiliki wa sim!
Samsung wananikera simu zao ni kubwa sana kama mkebe labda zile fold ndio kali, watoe ndogo ndio maana nataka kuchua Google pixel 8 Pro ...Pixel six sikuipenda shape mbaya angalau pixel 3 mpaka 5 .Samsung unyama iphone za wamama na mashoga kwanza iphone ni series zitafika mbaka iphone 100000
Masau Bwire heshima yako mzee.Tafuta pesa kijana.
Mimi nina simu 2, iPhone 14 ProMax na Samsung S23 Ultra.
Naskia imetoka 16Huu sasa ni ugonjwa
Steve Job alicopy idea kwa rafiki yake Microsoft Ila Microsoft kaacha kutoa hizo series za windows sasa maana pia ulikua ni ugonjwa watu walikua ikitokea windows mpya ya zamani inapigwa chini sasa hivi imeishia 11 hapo hakuna muendelezo Ila imasemekana ugonjwa huo unarudi 2025 ambapo windows 12 itatoka, kwa hio ni mkakati wa biasharaMuwe na siku njema , niko tayari kuzipokea comments , sasa hivi tuko iPhone 16
Uko sahihiTafuta pesa kijana.
Mimi nina simu 2, iPhone 14 ProMax na Samsung S23 Ultra.
Haya mambo ya Series ni shida sanaSteve Job alicopy idea kwa rafiki yake Microsoft Ila Microsoft kaacha kutoa hizo series za windows sasa maana pia ulikua ni ugonjwa watu walikua ikitokea windows mpya ya zamani inapigwa chini sasa hivi imeishia 11 hapo hakuna muendelezo Ila imasemekana ugonjwa huo unarudi 2025 ambapo windows 12 itatoka, kwa hio ni mkakati wa biashara
Zile simu za Masau Bwire nadhani bei ya kila simu hazifiki laki 3!Masau Bwire heshima yako mzee.
Ana Simu ngapi?Zile simu za Masau Bwire nadhani bei ya kila simu hazifiki laki 3!
Mimi nlishawahi miliki ila ilinipa shida sana kuachana nayo ni kama kaugonjwa fulani hivi hela sina ila niko napambana kupata iPhone nyingine nikaona ujingaWengine tulistuka zamani tukaacha nazo. Tumetulia na Tecno zetu kimyaaa
Once Apple pulls you into its ecosystem, it's easier for a camel to pass through the eye of a needle than for you to break free.Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo .
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu .
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema , niko tayari kuzipokea comments , sasa hivi tuko iPhone 16
Hata CCM inasemwa sanaKwakeeli iPhone ni baba lao.. maana kutwa kuijadili na kuanzishia mauzi yanayo zihusu, ila iSheep Wala wao hawana mda wa kuanzisha madam kuponda simu zingine..
Kuna msemoo.. mti mwema ndio hupigwa mawe.. kwa halii hii iPhone ni mti mwema.
View attachment 3093009
Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo .
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu .
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema , niko tayari kuzipokea comments , sasa hivi tuko iPhone 16
Sawa sawaHata CCM inasemwa sana