inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Natumia Nokia, najua ni og maana siku hizi haiimbwi sana hivyo haipigwi kopiUkiona unaathirika na majivuno ya mtu mwenye iPhone ujue una tatizo la saikolojia, nowdays simu zipo Kali tena zenye rank zaidi ya iPhone mkuu
Sure mkuu π€Kuna kitu wengi wetu huwa mnashindwa kukigundua. Duniani tunaishi kutafuta furaha, kama iphone inakupa furaha go for it, kama utalii unakupa furaha go for it, chochote kile kinachokupa furaha kifanye ili mradi kipato kinaruhusu na haumkwazi mtu.
Sio shabiki wa Iphone ila naelewa watu wanaopenda hizo simu. Hatuwezi kufanana.
Kama una pesa kama Mond, dangote, kuwa na iphone, ni status, lakini kama ka salary kenyewe chini ya Milioni 2,unajikakamua kumiriki simu ya Milioni 3! Huo ni ugonjwa wa akili, kuna Dogo mmoja, kitaa,mshahara 400K, anajikakamua kudunduliza anunue iphone hata kama ni used! Ii mradi Gen Z vibinti vimuone yupo latest, bado anaishi kwao,Wamiliki wengi sana wa iPhones huwa wanajiweka katika class yao kitu ambacho sio kibaya na ni simu nzuri.
Lakini kitu kibaya ni kwamba kila toleo jipya linapotoka basi unatamani/anatamani na kuona simu yake imeshuka thamani hivyo apambane apate nyingine hata kama uwezo mdogo.
Cha zaidi ni Ngumu sana kujishusha kutumia simu ya kawaida hata kama hali yake kwa huo muda hairuhusu.
Tunakoelekea kuna watu wataumwa ugonjwa wa kutokuwa na iPhone na utakuwa na dalili zake nyingi tu.
Tuanze kutafuta dawa
Muwe na siku njema, niko tayari kuzipokea comments, sasa hivi tuko iPhone 16.
Uko sahihiKama una pesa kama Mond, dangote, kuwa na iphone, ni status, lakini kama ka salary kenyewe chini ya Milioni 2,unajikakamua kumiriki simu ya Milioni 3! Huo ni ugonjwa wa akili, kuna Dogo mmoja, kitaa,mshahara 400K, anajikakamua kudunduliza anunue iphone hata kama ni used! Ii mradi Gen Z vibinti vimuone yupo latest, bado anaishi kwao,
Anaishi kwa show off atateseka sana.Kama una pesa kama Mond, dangote, kuwa na iphone, ni status, lakini kama ka salary kenyewe chini ya Milioni 2,unajikakamua kumiriki simu ya Milioni 3! Huo ni ugonjwa wa akili, kuna Dogo mmoja, kitaa,mshahara 400K, anajikakamua kudunduliza anunue iphone hata kama ni used! Ii mradi Gen Z vibinti vimuone yupo latest, bado anaishi kwao,
Teknolojia inakweenda kasi sana sasa Sijui ten years to come tutakuwa wap katika mfumo mzima wa maishaNi kweli mkuu, mfano Huawei ni simu moja nzuri sana, angalia jana nao wamezindua simu mpya inayokunjika mara tatu, pia inatumia akili mnemba (AI), na unaweza kuipata kwa $2,800, ππ½
Hata chuma redmi kioo kikipasuka Tu bila 300k hujatumia simuNatumia Nokia, najua ni og maana siku hizi haiimbwi sana hivyo haipigwi kopi
UongoooooUkiona unaathirika na majivuno ya mtu mwenye iPhone ujue una tatizo la saikolojia, nowdays simu zipo Kali tena zenye rank zaidi ya iPhone mkuu
Hatar na nusu mm natumia Tecno wereva πKwa mie mpendwa picha , Google pixel ππ
Sio mchezo ... though napenda Samsung π
Zitume hapa hapa tuone woteπ€£Duh
Kuna Uzi humu mkuu wa hiyo cm na picha zakeπ
wengi hawajui hata kuzitumia. Ni simu nzuri ila wanajipa umuhimu ambao sio.Kwanza iPhone wanazoletewa huku bongo quality tofauti Na za huko nje
Unamiliki simu gani ndugu yangu?Mtumwa wa simu,ni mtumwa wa kikoloni anaeendeshwa na upepo!
Sim kama Ina access ya internet inatosha na downloading!
Mengine ni utumwa!!
Tecno pop2 mbona fresh halafu class IPO kwa brain sio umiliki wa sim!
UmepoteaNataka nione kama yaliyomo yamo via gpixel
πππZitume hapa hapa tuone woteπ€£
Unafikiri watakuelewΓ basiHatar na nusu mm natumia Tecno wereva π
Nilichungulia Kwa mtu picha google pixel babalao
kunarafikiyngu ana I phone 11 pro tumeenda sehemu akasema nimpigie picha π aisee Giza sio Giza ukungu sio ukungu ππ
Nikaweka pembeni hebu nitumie simu yangu akagoma nikamwambia tulia simu yangu ikatoa picha Kali kuliko hiyo I phone akabaki nipigie bas unitumie Whatsapp ππ