Nadhani Lissu hayuko sawa sawa, ana tatizo

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.

Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani

All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.

Lisu is coming aggressive supreme of POWER
 
Hamna adui mkubwa katika chama kama yule anae saliti wanachama wake kwa kuchukua rushwa eti maridhiano na chama tawala.
 
ndo maana ccm wanaumwa wakimsikia tu ana-press
 
Chawa wa Mbowe mnahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa. Na bado.
 
With all do respect hakuna fact yoyote ume list hapa, umejaza mashahiri tupu

Au id imevamiwa nini?
 
Wafuasi wake wengi ni wale wagonjwa wagonjwa pie eg Mdude,Mwabukusi,Sativa and the likes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ