Hamna adui mkubwa katika chama kama yule anae saliti wanachama wake kwa kuchukua rushwa eti maridhiano na chama tawala.Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Kabla ya hizo hoja,nadhani umeelewa nani ni mgonjwa.Nimefungua huu uzi nikadhani nitakutana na hoja za maana kumbe hovyo kabisa. Elezea madhaifu yake kwa hoja
ndo maana ccm wanaumwa wakimsikia tu ana-pressKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Akikemea Rushwa ndani ya chama wanadai ni msaliti,Hamna adui mkubwa katika chama kama yule anae saliti wanachama wake kwa kuchukua rushwa eti maridhiano na chama tawala.
Chawa wa Mbowe mnahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa. Na bado.Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Jamaa amepiga bonge la U turn,chezea dolari za DP World wewe.
With all do respect hakuna fact yoyote ume list hapa, umejaza mashahiri tupuKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Pesa ya Abdul imemfikiaWith all do respect hakuna fact yoyote ume list hapa, umejaza mashahiri tupu
Au id imevamiwa nini?
Wafuasi wake wengi ni wale wagonjwa wagonjwa pie eg Mdude,Mwabukusi,Sativa and the likesKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
๐๐๐๐๐ผ๐๐ผNimefungua huu uzi nikadhani nitakutana na hoja za maana kumbe hovyo kabisa. Elezea madhaifu yake kwa hoja