Nadhani Lissu hayuko sawa sawa, ana tatizo

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜… ... mi nkifikiri kuwa Lissu ndo BUG ZAPPER yenyewe!!!
 
... wananchi ndio waamuzi halisi wa mabadiliko, pale hali inapowalazimu, ... halafu wanasiasa hujivika koti la ushujaa!
TUNDA LIKIIVA HUDONDOKA LENYEWE!πŸ˜…
 
Huyo ni mgombea urais wa CHADEMA wa mwaka 2020. Nashangaa watu wa Mbowe wanamtusi mtu waliyemnadi mwaka 2020 kuwa anafaa kuongoza nchi!
... hozana juu mbinguni ... hozana juu mbinguni!! ... Halafu, baadaye, "muachilie Baraba, ... Yesu ASULUBIWEEE! ... HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA!
πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…