Nadhani Lissu hayuko sawa sawa, ana tatizo

Nadhani Lissu hayuko sawa sawa, ana tatizo

Mwenye tatizo la akili ni wewe! Amepata hicho kichaa baada ya kuutaka uwenyekiti? Mwambieni Mbowe aache utemi ili alinde heshima yake.
Andiko langu lina scientific inference.....Level ya Lisu si ya kufanya / kusema haya anayoyasema. Akili zake haziko sàwa. He is suffering from schizophrenia...take it seious
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.

Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani

All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.

Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Kwanini haya yote unayasema na kuyaandika sasa baada ya Lissu tu kutangaza kugombea uenyekiti wa CHADEMA?

Kuna namna Lissu anakwenda kukulaza njaa, sio bure.
 
Kwanini haya yote unayasema na kuyaandika sasa baada ya Lissu tu kutangaza kugombea uenyekiti wa CHADEMA?

Kuna namna Lissu anakwenda kukulaza njaa, sio bure.
Argument kitoto, kwaheri
 
Msamehe bure tuu. Siyo kwa risiti hii. Hakika, umemuumbua mpaka siyo poa.
That was 4 yrs back. He was very smart by then! Siyo leo! Hàfai!

Na nimesema mwanasiasa ambaye ni my favorite choice alikuwa Lisu. It is a pity kuwa sasa amekengeuka. Anaropoka hata yale yasiyosemwa hadharani. Anawananga wenzake na kukibomoa chama.
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.

Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani

All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.

Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Haahaa kusema ukweli kwa bongo unaambiwa unaropoka,?😂😂lissu kanyagia hapohapo
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.

Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani

All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.

Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Pro-Mbowe mnaisaidia Ccm kuivunja Chadema.
 
Watu wa Singida wengi ndio wako hivyo. Ni visebusebu na hawana stara kwenye kuongea wala haya.
 
Kati ya wanasiasa nilikuwa na wa envy, Lisu was the topmost especially katika harakati (not diplomacy), harakati za kuitoa CCM madarakani.
Kumbe ana ka ukichaa, amevuruga kila kitu cha kujivunia
Ukichaa kaupata baada ya kumpa ushindani mwenyekiti wa maisha...
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.

Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani

All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.

Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Na wewe Kuna nati zimelegea matakoni zinahitaji kukazwa lasivyo utachafua suruali kila muda
 
Chadema, ACT na vyama vyengine vya upinzani hawana plan ya kushinda uchaguzi wala kushika nchi, isipokuwa ni kupoteza wananchi maboya na kuwapa matumaini ya uongo.

The way siasa za vyama vya upinzani zilivyo kwa mwenye akili unaona kabisa hapa hakuna kitu.

Ukiona mpaka serikali inataka kuku ua basi jua kabisa wewe ni mwiba tena mchungu na umeshindikana.

Mbowe na Lissu mmoja wao anania ya dhati na kweli kabisa kupata chama kilicho huru, kuleta upinzani na mabadiliko ya kweli katika nchi, Ila mwengine anapoteza watu maboya ili kusogeza siku.

Serikali ya CCM haitakubali hata siku moja kuona vyama vengine vikiongozwa na watu wenye misimamo ya kweli na wanaotaka mabadiliko kwasababu kuruhusu huko kutapelekea Serikali kushindwa kuwanunua watu hao na hatimae wawe viongozi vivuli tu ambao muongozo wote bado utatoka CCM tu.

Lissu he's arleady betrayed na atapoteza muda kuendelea kukaa chadema kwasababu CCM wana machawa ndani ya Chadema ambao ndio viongozi wakubwa ndani ya chama.

Mabadiliko ya kweli yanakuja na yataletwa na vyama vengine vipya ila sio hivi vilivyozoeleka.

Kufatilia siasa za Bongo inabidi ujizime data unless utapasuka kichwa.
 
Back
Top Bottom