Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Asante kwa kuunga mkono juhudi KATAA NDOA. kongole kwako kwa maisha uliyoyachagua na kila la heri
 
Na hapo kwenye kutokuwa na life partner aisee...sijui nisemeje ila two is better than one
Nakuombea upate mmoja atakayekupenda kama ulivyo bila kuangalia financial statement yako
Upweke mbaya sana bestie
I know bestie ila maisha yangu tayari yako kwa mvuragqno mambo ni mengi ila wazungu wanasemq never say never acha nibakishe akiba ya mneno
 
Salama mkuu.
Asante kwa kujali.
Nitakaribia ila hakuna kitakachobadilika🙏🏼
TRUst me, kipo kitakachobadilika wewe uje kwenye ibada utaona tofauti,nimeenda na watu ambao sio hata wakristo na maisha yamebadilika kwa sass nina ushuhuda wa kutosha Mchungaji Florian katunzi ana neema ya tofauti sana na ana vitabu hapo amevandika unaweza nunua na kusoma ni vizuri sanasana, huyu ni.mchungaji wa kweli sio wa mafuta wala upako, huyu ni mchingaji wa kweli amini ninalokwambia maana nimethibitisha kwa macho uje kwa kweli utapona na utapata mtazamo.mpya.mimi nakupenda sana dada yangu Bwana Yesu amekukumbuka amen.
 
Ndio.
Na unaona bora uendelee kulisongesha
mkuu kuna maswali unayaruka. kuna uzi ulianzisha mwaka jana ukiamini matendo ya Mungu leo umegeuka na unasema ni tangia utoto. emu fafanua hili.
 
🙏🏼🙏🏼
 
mkuu kuna maswali unayaruka. kuna uzi ulianzisha mwaka jana ukiamini matendo ya Mungu leo umegeuka na unasema ni tangia utoto. emu fafanua hili.
Uzi upi huo mkuu nitag.
 
Mungu yupo Prida. The presence of adversity in your life does not guarantee the absence of God. More than 2000 years ago there lived a man called Job whose adversity shocked the early Eastern Middle East and Asian Continent . Sasa rafiki yangu adversity yako hata haijaenda viral ubamkana Mungu kweli {thanks for understanding sijaribu kuweigh down your pain} Read the book of Job with an open heart and willingness to understand God.

Lakini si hivyo tuu life is eternal . Our mortal bodies will perish but our souls will live for ever , our for ever is determined by our today’s choice of either accepting There is a God who loved us so much that He gave His only begotten son Jesus Christ to die for our sins and he rose in victory so as we may be heirs of God’s kingdom that’s eternity in Heaven. Or denying God and spending the res of your eternal life in a burning hell which was prepared for Lucifer the fallen angel alone and enemy of God’s mankind.



With love ❤️

A brother in the Lord!
 
Asante kwa neno mkuu❤️
Samahani mkuu ila meenzio nimekulia kanisani na nitafia kanisani.Sina neno sijasikia kutoka kwa watumishi wakubwa na wadogo ila ndo hivyo labda nimuone Mungu live ndo nitaamini yupo..

Pepo yangu nafight kuitengeneza hapa duniani.
Akhera pia ipo hapa duniani na kuna watu wanaiiishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…