Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Nilichokiona kwenye maandishi yako ni hiki. Umepitia kwenye maisha yenye mapito magumu, na umefanikiwa.
Una ka uselfish flani ambako kwakuwa ulipitia magumu basi hata ulichokipata hutaki sharing nanukuhu, " Hutaki kuingia kwenye ndoa kwa sababu hutaki kugawana mali". Huwezi jua utakayempata, anaweza asiwaze hizo mali zako akajitosheleza mwenyewe.

Cha mwisho fungua kitu kingine ufanye nje na madhabahu ili uwe na amani maana unachokifanya hakijakupa amani maana kipo nje na u Atheist wako.

Ni ushauri tu ninaouona .
 
🙏🙏
 
Single mama kwenye mawindo on one and two
 
Baya ni hilo la kukataa uwepo wa Mungu.

Mengine yote ni kawaida.

Nitajitahidi sana kukufahamu kutokana na maelezo yako hapo juu.
 
Dah!unanichanganya sana ubongo,kwenye ule uzi wako mwingine ulisisitiza MUNGU YUPO NA UMEMUONA mara kadhaa kwa macho yako ya nyama...Sasa sielewi...ila yote mema
She is psychopath..,,,,,,,,!
 
Kwa mwaka mkuu.
Nimejiajiri
Nilitaka nijue hilo kwanza ili nikujibu kuhusiana na utendaji kazi wa MUNGU. Nikuambie Jambo.

Unaamini kwamba MUNGU hayupo ksbb kila ukimuomba kwa juhudi kubwa wewe unatamani kupata majibu hapo hapo. MUNGU hayuko hivyo. MUNGU hapendi akuvute kwake ksbb ya kile anachokutendea papo hapo ili umuamini yupo. Ingekuwa kwa kutoa majibu kwa papo kwa papo basi ni wengi wangeamini MUNGU bila shida.

Ila MUNGU ameweka mizania moyoni mwako umtafute kwa nguvu (kama hivyo unavyomuomba kwa goti na kumuimbia na kumuabudu). MUNGU anataka umuamini Kwanza pasipo kukutendea makuu ya wazi moyoni mwako (yale ya papo kwa papo). Kwa kufanya hivyo ni sawa na kukuhonga ili umuamini. MUNGU wetu sio wa upendeleo wala rushwa .
MUNGU anakujibu maombi yako saa na wakati usiotarajia. Anakujibu ulichokiomba kwa njia nyingine kabisa,tofauti na njia unayoitaka wewe mwanadamu.

Nakuja kwako sasa. Umemuomba sana MUNGU,ukatamani akujibu hapo hapo. Je huoni mafanikio uliyonayo ya kipato kikubwa chako,ya uelewa wako,ya kumuongoza mtoto wako kwa namna hiyo. Ili-hali ukiwa yatima. BADO HUWEZI KUONA NGUVU YA MUNGU KWAKO? BADO HUWEZI KUONA MUNGU ANAVYOKUSIMAMIA KWA MAMBO YAKO MENGI YAFANIKIWE?. HUWEZI KUONA HIYO NI MIUJIZA YA MUNGU?

Anaeufanya moyo wako uwe mgumu ni nguvu ya shetani. Inajaribu kukupoteza usiamini ktk MUNGU.

Mwisho ni wewe mwenyewe kuona uyatima wako,kutengwa kwako,kunyanyaswa kwako. LAKINI KATIKA HAYO YOTE MUNGU AMEKUPA NGUVU,AMEKUPA MAFANIKIO HAYO YAKO KATIKATI YA MAADUI ZAKO. KATIKATI YA MATESO YAKO. MUNGU HAJAWAHI KUKUACHA NA HAWEZI KUKUACHA MILELE.

MAFANIKIO YOTE ULIYONAYO SI KWA UJANJA WAKO,WALA UWEZO WAKO BINAFSI,WALA AKILI ZAKO. AMINI MUNGU AMEKUONA UYATIMA WAKO ANAKUFUTA MACHOZI YAKO KWA KUKUPA MAFANIKIO HAYO.
 
Kama watu wanabarikiwa na kupona kupitia nyimbo zako na mafundisho yako siyo ishu ya saikolojia ni ishu ya faith, ujue Mungu yupo kupitia Imani kama unaamini Mungu yupo basi atakuwepo kama hauamini ni kweli Mungu hayupo, imarisha Imani yako, then hongera Kwa kuwa mama Bora . Nicheki kupitia dexondek@gmail.com au PM, we share some character
 
Kufa sikufa ila cha moto niliendelea kukiona.Kuna siku nakumbuka niliropoka kwa mchungaji kuwa kama Mungu wetu sio kiziwi au kipofu basi hana huruma.🥺🤔😭🙇🏿‍♂
 
Umesahau kuwa Kuna Uzi uliutuma huku kuwa unaamini Mungu yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…