Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Jamani huku jf tunafungana kamba Sana,Kuna Uzi wa huyu mti ukiusoma utashangaaa.
Kuna mdau kaufufua hapo juu,hahahahah
 
Kati ya huu Uzi na ule mwingine upi Ni wa kweli?
 
Kama hii story ni ya kweli basi maoni yangu ni haya ;


Ungekua mwanasiaza ningesema umeasa KULEWA MADALAKA.

Pia Mungu ni level nyingine huwezi ukatumia benchmark/wiwango/level ya mwanadamu kumdadisi Mungu.

Kama haja za Mkuu Kiranga zimekusomba basi tambua hauko imara kiimani (roho matakatifu). Kupitia roho matakatifu mambo yapo wazi(ni automatic), huhitaji hoja ya mtu kufahamu uwepo wa Mungu.

Bila Mungu kusingekuwa na sayansi, sayansi imepatikana kupitia uumbaji wa MUNGU. Nimegusia hapa kwasababu nimeona umeanza kuamini kwenye psychology.
 
Pole sana. Hayo unayopitia,umewaza ukifa leo mwano nae anaweza akayapitia?Kupata faraja na kuweza kuishi yale unayoyatamani,nakushauri jenga familia imara ,as along as uchumi upo vzr zaa/adopt watoto wengi uwezavyo,walau utafidia gap uliyonayo....hata kama sio wewe basi watoto wako wataishi katika namna ambyo wewe hukuishi. Familia ni moja ya taasisi bora zaidi.
Kwani ukifa sasa na kanisa likachukua mali,lilitafuta na wewe?Sasa kwa nn ujisikie unyonge kugawana na mwenzio kama mambo yakiharibika ?Hata mkigawana,bado watoto ndio watatufaika na mali zako pia. Anyway,unaweza kuandika mgawanyo mali zako wakati ukiwa ndoani. Kila laheri.
 
Mungu angekua yupo na na ana upendo kuna kitu mimi nina sifa zote za kukipata ila hanipi na anapwapa wengi hawana sifa sp hayupo.
Pia mkuu kuna walokole waaminio wengi hawafuati amri kumi za Mungu ila mimi japo slamini ila kwa misi.amo yangu wakiitwa wanaoziishi nitawapiga gape waaminio wengi sana.

Nina upendo na huruma na mwepesi wa kusamehe kuliko watu wengi unaowajua.

Si imeandikwa asiyefanyw kaz na asile ila kuna waaminio wanalala na kiamkia kanisani badala ya kufanya kazi wkt mimi nafanya kaz kama punda
 
Kwa nini ugawe vocha kwa masharti? Atheists hawako hivyo ndugu.

Jifunze kwa Bantu Lady mwenyekiti wa Timu Sandakalawe na katibu wake Leejay49 utaelewa namna ya kutoa msaada wa vocha kwa kina pangu pakavu tia mchuzi wa jf.
πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ
 
Ila nilichogundua wewe ni binti Sayuni kabisa,maana kila nikitafuta hizo dhambi zako sizioni,naurudia uzi mara ya tatu sasa
πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
 
Nashukuru mkuu.
Wazo la kuadopt ni ziuri na kama ni mwenza labda awe singo faza anijie na zawadi ya mtoto.
Kugawana mali hapana labda tuandikishiane kuwa tukiachana kila mtu abebe alichokuja nacho ila mambo ya jasho langu kwenda kunifaika mwanamke mwenzangu no way bora wakafaidike yatima
 
Asante mkuuπŸ™πŸΌ
Uko sahihi.
Kuna nyakati yanatokea mambo basi unajiona mpweke na mnyonge sana ila kuna siku huwa nafurahia the way maisha yangu yapo
 
πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ
Hongera sana mleta mada, km ni story ya kweli, basi una uzoefu mkubwa wa mambo! Hasa kuficha uhalisia wako! Kila la heri pia!

Najaribu kufikiria wakati mwingine ni vizuri kukutana na watu km wewe wenye kuleta challenge ktk maisha! πŸ˜„
 
Polee kwa mapito uliyopitia na hongera kwa maisha unayoishi sasa hivi
NDOA NI UTAPELI
Atheist mwenzako huyu Dizasta Vina
 
Umeamua tu kutafuta sbb ya kumponda singo mama Pridah.πŸ˜€

Mi sijawapopoa wababa coz najua hamjataka tu ila yote nayompa dogo na nyie mkiamua mnaweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…