Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Wakuu [mention]7seven [/mention] na [mention]Walker Water [/mention] mawazo kidogo kwenye huki ili wote tuweze kusonga mbele hakuna mtu kubaki nyuma
 
Are you straight,Bi,or unawapenda wadada wenzio???
Unamaliza vipi hamu
Am very straight.
I do men.
Napenda harufu ya mwanaume,
Wana jasho lao fulani hivi.😁

Swali lako la mwisho tuli delete my naona hatupaswi kuulizana hayo🙏
 
Nimeguswa na story yako, Mungu akuponye!Mungu yupo, kwangu niliamini zaidi baada ya kutafakari story ya Moses kwenye biblia, kuna muda anaruhusu watesi wako wakuendeshe ili na yeye adhihirishe ukuu wake kwenye maisha yako. Nanukuu Kutoka 14:4 "Nami nitaufanya uwe mgumu moyo wa Farao, naye atafuata nyuma yao; nami nitajipatia utukufu kwa Farao, na kwa jeshi lake lote; na Wamisri watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA." Pia ukisoma warumi 9:14-24 kuna maneno mazuri sana ya kuamini Mungu na nguvu zake. Mstari wa 17 umekazia nanukuu "Kwa maana Maandiko yamwambia Farao, “Nilikuinua kwa kusudi hili hasa, ili nipate kuonyesha uweza wangu juu yako, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote.” JESUS LIVES AND FOREVER HE REIGNS. Wewe wala sio mwanamke mwenye sifa mbaya, you are God's Chosen. At the end of the day, we are all a work in progress!!
Asante kwa meseji ya upendo mkuu😍😍 ila sihitaji kuponywa sina tatizo lolote.🙏
 
Mimi na msalaba tu hadi goligota,yaani hata nipitie juu ya moto sijawahi ku doubt uwepo wa Mungu sijui kwa nini!?Nikijiangalia jinsi nilivyoumbwa kwa jinsi ya ajabu mithili ya mashine,siwezi doubt uwepo wa Mungu...Pia nikisafiri mitaa ya katonga nikiangalia ule uumbaji, nikikaa zangu beach nikiangalia bahari, vipepeo,maua,na na ndege wa kila rangi naamiini lazima kuna CREATOR wa hizi arts haziwezi tokea tu from nowhere....japo kuna baadhi ya maelezo kwenye dini yamekuwa exaggerated hilo huwa natafakari pia
Sasa unaenda na msalaba golgota kufanya nini na wewe au unataka na wewe ukatufie🏃😜(joke)

Hata sikubishii kuwa dunia ina mambo mengi ya ajabu ya kushangaza Joh ila sasa tukija kwa huyu "creator" ndo napata kizunguzungu.
Angalia "alivyoumba) nyota na mwezi na milima ya Kitonga kwa ufundi ila anaruhusu mama apate mtoto apate kichanga kina moyo una tundu auzazi masikini apate mtoto anayehitajk matibabu ya zaidi ya laki tano kwa mwezi ili asurvive.

Huo mwili wako ni machine ya ajabu ndio ila kwanini miimi na wewe katupa machine hazina tatizo halafu kuna alopewa machine ina matatizo kibao?
Wamemkosea nini sbb kama "dhambi" wote tunazo?
 
Uzuri ni kuwa maisha ni yako....hili swala la ndugu mie huwa naona ni dhana tu....lakini binadam wote tupo sawa tu...maana ukiangalia huo undugu tunaouzungumzia huwa hauendi umbali wa zaidi ya generation moja na familia kadhaa....mfano now days baba na mama watoto ndio ndugu....ukija shangazi,mjomba, mamkubwa nk wapo lakini ile bond hakuna zaidi ya kwenye misiba na harusi ila yakikukuta utawaona muda mfupi tu baada ya hapo ni simu tu...so kwangu mimi ndugu wanatengenezwa....kunywa wine sio dhambi(japo unahofu kutokana na waliokuzunguka....but narudia maisha ni yako) hivyo usiwaze kunywa...huamini kuwa Mungu yupo pia haina tabu but hao wanaoamini yupo ndio unaoishi nao leo na ndio ndugu zako....kula maisha mrembo...hayo ya Mungu na mengine tutajua tukishatoka hapa.
 
Wakuu [mention]7seven [/mention] na [mention]Walker Water [/mention] mawazo kidogo kwenye huki ili wote tuweze kusonga mbele hakuna mtu kubaki nyuma
🙏🙏
 
Uzuri ni kuwa maisha ni yako....hili swala la ndugu mie huwa naona ni dhana tu....lakini binadam wote tupo sawa tu...maana ukiangalia huo undugu tunaouzungumzia huwa hauendi umbali wa zaidi ya generation moja na familia kadhaa....mfano now days baba na mama watoto ndio ndugu....ukija shangazi,mjomba, mamkubwa nk wapo lakini ile bond hakuna zaidi ya kwenye misiba na harusi ila yakikukuta utawaona muda mfupi tu baada ya hapo ni simu tu...so kwangu mimi ndugu wanatengenezwa....kunywa wine sio dhambi(japo unahofu kutokana na waliokuzunguka....but narudia maisha ni yako) hivyo usiwaze kunywa...huamini kuwa Mungu yupo pia haina tabu but hao wanaoamini yupo ndio unaoishi nao leo na ndio ndugu zako....kula maisha mrembo...hayo ya Mungu na mengine tutajua tukishatoka hapa.
NDUGU WANATENGENEZWA sittalisahau hili neno🙏🙏


Mimi na ndugu zangu wakutengeneza tunapendaba kuliko hata baadhi ya watu na ndugu zao wa kuzaliwa
.
🙏🙏
 
Back
Top Bottom