Amanikwanzaa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2023
- 212
- 420
We bwege kweli kabisa, kwanini tunaficha id zetu hapa? sio kila kitu kiwe wazi hapa, we ni jinga la AJABU.wenda ❌ huenda ✅ mungu ❌ Mungu ✅. Hicho kitabu kitakuwa cha kipumbavu sana kama wewe mwandishi ndo unaandika hivyo.
Mbona sa unacheka😄?karibu nyumbani nikutengenezee amarula na mikono yanguHahahahaha itabidi nionje siku moja
Na wewe ni single mother?Hongera kwa ujasiri mtoa mada. Ni hivi karibuni nimeamua kwa amani na akili zangu timamu kuwa atheist. Na mimi nimetokea kwenye mwamvuli wa Dini, na mimi nilitawazwa kuwa Mchungaji na ni mhubiri mzuri japo si maarufu. Simu yangu imejaa gospel za worship tena zile za kuugumia lakini maisha haya yamenifundisha kuwa hayupo Mungu wa kuja kuniokoa kwenye shida yangu yoyote ile. Wala sijifariji kuwa eti atalipa mabaya kwa wale walioniumiza, hayupo Mungu huyo 😂
He's too busy I guess. Nimeamua kujisifu mimi mwenyewe maana nina uungu ndani yangu. Nimeamua kuumba mwenyewe uhalisia wa maisha yangu. Kilichobaki ni Kuangalia namna ya kumsaidia mwanangu wa kiume kukua katika maadili mema awe na manufaa kwenye jamii yake. Hivyo nakuelewa.
It's a painful reality knowing kuwa hayupo huyo Mungu tunayemtegemea.
🤣🤣🤣🤣ilitoka tamuuuuu😂😂😂 hapo ndo balaa
Tena weekend nitatengeneza nyingine nimtupie photo kule selfika😁
Tena sio viwine vichanga,aandae zilizokomaa za 2000 kurudi nyuma ili ziingie vuzuri kwenye ubongo.🫠🫠Bday tunayo atuandalie wine za kutosha 😂😂
Hapana, married with two kids ☺️Na wewe ni single mother?
Waoh, ahsante sana, nitakaribia Rafiki, nipe ramaniMbona sa unacheka😄?karibu nyumbani nikutengenezee amarula na mikono yangu
HahahahahaTena sio viwine vichanga,aandae zilizokomaa za 2000 kurudi nyuma ili ziingie vuzuri kwenye ubongo.🫠🫠
Hahahahaha uni tag ,nioneTena weekend nitatengeneza nyingine nimtupie photo kule selfika😁
Naomba hiyo recipe🤣🤣🤣🤣ilitoka tamuuuuu
Tumualike na mama mchungaji Pri 😂Tena sio viwine vichanga,aandae zilizokomaa za 2000 kurudi nyuma ili ziingie vuzuri kwenye ubongo.🫠🫠
Umetia aibu mwandishi uchwaraWe bwege kweli kabisa, kwanini tunaficha id zetu hapa? sio kila kitu kiwe wazi hapa, we ni jinga la AJABU.
Mnaharibu uzi nyie... nendeni PM mkachatTumualike na mama mchungaji Pri 😂
🤣🤣🤣dada padri anakunywa chupa moja siku nne,atatuzingua huyuTumualike na mama mchungaji Pri 😂
Bila shakaHahahahaha uni tag ,nione
Umeamkaje Rafiki yangu wa DamuBila shaka
Leo nimekuota ujue rafiki,daah dunia hii😅😅Umeamkaje Rafiki yangu wa Damu
Hahahahaha,Rafiki kweli? Ndio maana lei nimelala unono, na kuamka tu nimekukumbuka wewe ,Rafiki yangu wa damuLeo nimekuota ujue rafiki,daah dunia hii😅😅