Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Afu nilitaka niwaletee wine kutoka titanic wreck 😜😜😜 ila acha iendelee kupendezesha wine cellar coz Joannah bila kidumu cha gongo sidhani kama utapata stimu🏃😀🏃🏃
😂😂😂 kidumu cha gongo??
Ila da Pri unazingua, yani mkikutana na sis Joh hizo punch zenu zinanichekesha..
 
Poleee Dear, ila Furahia na jikubali hivyo ulivyoo. Hakuna aliyekamilika.
Enjoy life.
Asante dear🙏
Hakika hakuna mkamilifu ila ndo hivyo utashangaa kuona mtu mtu ana watoto wa nje kibao haudumii vimekua vichokoraa havina matunzo wala malezi na ukija kwa alionao kwenye ndoa nako hatunzi inabidi wife akadange ndo watoto wale ila mtu huyo huyo akiingia JF kila akipumia ni singo maza zis singp maza zat ..
 
DADA POLE SANA KWA MASAHIBU, GOD ALWAYS WORKS IN A MYSTERIOUS WAY, MUNGU HAKUKUTOA KWENYE MATESO ULIVYOKUA MDOGO LAKINI SASA HIVI AMEKUPA MAISHA MAZURI SI KILA WAKATI MAOMBI YETU YANAJIBIWA VILE TUNAVYOTAKA . MUNGU YUPO NA ANASIKILIZA MAOMBI YETU INGAWAJE HATUJIBU VILE.TUNAVYOTAKA BUT VILE ANAVYOONA NI BORA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…