Guy of gisbon
JF-Expert Member
- Apr 22, 2024
- 564
- 803
ndio lakin inamaanisha hana mume. waoaji tupo ye aridhie tu aache kuziniKuwa single mother haimaanishi yupo single
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio lakin inamaanisha hana mume. waoaji tupo ye aridhie tu aache kuziniKuwa single mother haimaanishi yupo single
Hatrndio lakin inamaanisha hana mume. waoaji tupo ye aridhie tu aache kuzini
si kila asiye na mume anatafuta muoajindio lakin inamaanisha hana mume. waoaji tupo ye aridhie tu aache kuzini
Anaweza kuwa anaishi na mwanae tu ila ana mpenzi asiye baba wa mtoto huyo.Ebu lidadavue
Hii kitu inauhusiano na changamoto niliyokutana nayo haki lkn ngoja tuone mwisho wakeAnaweza kuwa anaishi na mwanae tu ila ana mpenzi asiye baba wa mtoto huyo.
Ambapo baba wa mtoto na mpenzi aliye naye, wote hakuna anayehusika na malezi ya huyo mtoto.
Kwahiyoooo??Wewe nimeambiwa ni mchicha mwiba
Ni kuwapuuza, watu wamevurugwa, wana stress maisha magumu.Asante dear[emoji120]
Hakika hakuna mkamilifu ila ndo hivyo utashangaa kuona mtu mtu ana watoto wa nje kibao haudumii vimekua vichokoraa havina matunzo wala malezi na ukija kwa alionao kwenye ndoa nako hatunzi inabidi wife akadange ndo watoto wale ila mtu huyo huyo akiingia JF kila akipumia ni singo maza zis singp maza zat ..
Mie niko poaaa!! Vipi wee??Hujambo wewe binti?
Niko poa. Niliona mtu kama wewe kwenye ile video ya maandamano NgorongoroMie niko poaaa!! Vipi wee??
😂😂😂 ndoa yangu ina miaka 20 nasubiri ifike 25 nifanye jubileiWe umeolewa?
Asa mbn unatuchanganya mshangazi kumbe🤣🤣😂😂😂 ndoa yangu ina miaka 20 nasubiri ifike 25 nifanye jubilei
Wee em sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko poa. Niliona mtu kama wewe kwenye ile video ya maandamano Ngorongoro
Aaaah wee thubutuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndoa yangu ina miaka 20 nasubiri ifike 25 nifanye jubilei
🤣🤣🤣 Mpk wewe umeshtushwa na hili jamboAaaah wee thubutuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 unakataa? Shauri yako nyie wajukuu zangu mjueAaaah wee thubutuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee uduguu, em taratibu mambo yakoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakataa? Shauri yako nyie wajukuu zangu mjue
Mimi nyanya yako hata kwenye mshangazi nishavuka 😂😂😂Asa mbn unatuchanganya mshangazi kumbe🤣🤣
Akuuuuh!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpk wewe umeshtushwa na hili jambo
😂😂😂 kweliWee uduguu, em taratibu mambo yakoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]