Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Anaweza kuwa anaishi na mwanae tu ila ana mpenzi asiye baba wa mtoto huyo.
Ambapo baba wa mtoto na mpenzi aliye naye, wote hakuna anayehusika na malezi ya huyo mtoto.
Hii kitu inauhusiano na changamoto niliyokutana nayo haki lkn ngoja tuone mwisho wake
 
Asante dear[emoji120]
Hakika hakuna mkamilifu ila ndo hivyo utashangaa kuona mtu mtu ana watoto wa nje kibao haudumii vimekua vichokoraa havina matunzo wala malezi na ukija kwa alionao kwenye ndoa nako hatunzi inabidi wife akadange ndo watoto wale ila mtu huyo huyo akiingia JF kila akipumia ni singo maza zis singp maza zat ..
Ni kuwapuuza, watu wamevurugwa, wana stress maisha magumu.
Ni wa kuwahurumia mwauyaaaa!!
 
Back
Top Bottom