Nimegundua mambo mengi ambayo hauna uhakika nayo, hata sisi wengine hatuna uhakika ila tunajipa moyo tu na kujiaminisha.Pole mkuu
🙏🏼🙏🏼Nakazia tuu dear https://www.jamiiforums.com/members/pridah.721298/ “Remember that wherever your heart is, there you will find your treasure.” by ― Paulo Coelho, The Alchemist
hamna kigezo cha umri?😅Ipo tunakutana mara nyingi, hata weekend hii tulikuwa na mkutano kuongelea mada zetu.
Asiyeamini au anayeamini mwenye shaka anayetaka kushiriki mazungumzo haya, hata kwa kusikiliza tu, anitafute PM.
Ila hapo unaposema unasali ila humaanishi sijaelewa kabisaKabisa dear
Tena vijana wadogo wa umri kama huo ndio wanatakiwa zaidi kuongeza diversity na tuwasikilize mawazo yao.hamna kigezo cha umri?😅
maanake nipo 20 nisijefanywa third wheel...
🤣🤣🤣🤣🤣Nafurahi kuhua hilo.
Nidokezee ni vitu vipi dear
Pole mkuu!Andiko lako limenitoa Machozi, sijui Kama Kuna Mwingine ame experience the same Kind of emotions or I'm just too emotional today.