Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

Labda alibanwa sana
 
Mdau ukiona mkeo anajificha kuhusu kujamba mbele yako ujue ana mengi anajificha. Kujamba kukojoa ukiwa unaoga ya kawaida. Kidogoo Hilo la kukata gogo ukiwa unaoga limekaa kushoto maana ukivundika mavyakula tumboni kitachotoka lazima ushike pua. Jitahidi kumuelekeza atakuelewa tu. Ni vya kawaida sana ndoani kwakua mnafanya mkiwa wenyewe na si mbele ya hadhara.
 
Kimsingi watu wanaofanya mambo ya hivi huwa wanaamini ni namna ya kuonyesha kuwa umeshakuwa karibu na partner wako na upo nae comfortable kufanya lolote mbele yake.

Ila wanasahau kuwa watu wanatofautiana malezi na huu sio utamaduni wa jamii yetu ya kiafrika nadhani hata huko magharibi pia sio utamaduni wa kawaida.

Hizi ni tabia ambazo watu hufanya kwa kuiga lifestyle za mitandaoni ile ameona picha ya mwanamke yupo na boyfriend wake chooni halafu caption inasema "when you and bae are BFF at this level, love wins" au video ya demu wa kizungu anamjambia boyfriend wake kisha wanacheka kwa utani, wao mabinti wa kibongo wakiona vile wanaona haya ndio mambo ya kufanyiana na wapenzi zetu au akamfanyie mume wake.

Wanasahau kuwa nje ya mbwembwe za mitandaoni za meme za mahusiano, mahusiano yana misingi na kanuni zake za kuyaendesha. Hayaendeshwi kama vile akili inataka.

Kama huyo mkeo anataka kunogesha mahusiano why asicopy mambo ya tofauti ambayo yatakufanya umuone mtamu na kufurahia mahusiano kama kukuleta chai kitandani, kukununulia zawadi, kuwa msafi kwaajiri yako, kukuandikia barua ya shukrani kwa kuwa nae kwenye maisha kisha akaiweka katika mfuko wa suruali yako ili uje kuiona ukiwa njiani na kuisoma ukajisikia vizuri, au akutengenezee keki tu ya kukupongeza kwa uchakarikaji wako, au akununulie nguo mpya, au kukulipia mafuta ya gari. Yaani vitu fulani ambavyo vitafanya umuone ni mwanamke ambaye anakufikiria na kujali hisia zako.

Sasa mtu anakutolea hewa chafu halafu anaona ni kitu cha kuboresha mahusiano yenu au anakuja kujisaidia wakati wewe upo bafuni hivi anajua balaa ya ile kitu smell yake sasa wewe utakuwa ukimuona unakumbuka yale matendo na atakukinai na utamuona mchafu muda wote ukimuona unakumbuka zike harufu na uchafu.

Ni kukosa akili na adabu tu huko hakuna swala lingine hapo.
 
Mwanamke anakuamini sana na anajiamini kupita kiasi na mwisho wa siku atakudharau sana ..shauri yako
 
kuna hatari hapo baadae mnavyoendelea kuishi Upungufu wa akili huanza pole pole... muwahishe hospital yenye doctor specialist wamambo ya cycastric and psychiatry
Bro haya majina umeyatoa wapi mbona kama ni mapya kabisa katika ulimwengu wa afya ya akili?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Eti jomoniii bebe..inavyonoga kumjambia hubby tena ule wa sauti afu akigeuka kukuangalia unajifanya kama humuoni vilee... ndio kwanzaaaaa unajinyoosha[emoji23][emoji23]
Wanawake huwaga hampogi serious wanaume wanapotoa malalamiko yao ya moyoni juu ya kero wanazokutana nazo kwenye maisha ya mahusiano.

Ila akija mwanaume hapa akaanza kuongea namna anamfanyia ujinga mwanamke wake huwa mnataka kuchukuliwa serious na jamii nzima.

Hebu acheni kutafuta furaha na kujichetua kwenye nyuzi za mambo ambayo mwenzako ameongea maumivu ya moyo wake.
 
Cc Mother Confessor
 
Very true
 
Ila angekuwa msela usingeshangaa sindio

Kwenye ndoa lzm mmoj ajifyatue nd mamb yankuwa bulibul
 
Jambo la kawaida sana inategemea na umejijengea vipi ukaribu na mkeo hapo ukiona hivyo umemfanya mke kama rafiki ndo mana kwake anaona kawaida tu. Hivyo, wala usishangae hata wewe unaweza ni jambo la kawiada inategemea na umetengeneza ukaribu kiasi gani na mkeo.
 
Wakat wewe unaichukia hiyo hali kuna siku atakuta na jamaa atajamba alaf jamaa litamsifia na litamuomba aludie tena na ndo hapo utakapokuja kulala huku kwamba mke wako anakucheat
Na wewe hebu acha upuuzi hapo, lione kwanza. Sasa huyo mwanamke ndivyo alivyofundwa kwao kupumulia hewa chafu wanaume?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…