Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

Dawa ni jamaa nae aanze kukojoa kitandani ili wote wafanye hiyo Dominant.

Maana ni upuuzi, maswala ya kutoa taka mwili hayatakiwi kuwa maswala ya hadhara bali ni faragha binafsi.

Kama yeye anataka uwazi basi aweke wazi mawasiliano yake na pesa zake anazopata hicho ndicho kipimo kizuri cha uaminifu na ukaribu. Sio unamuonyesha mtu taka mwili zako ili iwaje sasa.
 
Umezungumza vizuri sana
 
Mfunze tu staha hata kama mmekua mwili mmoja dah kujisaidia haja kubwa mhh hapana ujinga umepitiliza. Ila mbwa aliekuzoea sana utaingia nae msikitini
 
Ndugu, hiyo ni tabia ya wanawake wengi, hasa wanene. Atakuonea aibu na kujizuia kabla hajakuzoea. Akishakuzoea tu atafanya kila kitu kwa uhuru hata akijua fika linakukera.

Wangu pia yuko hivyo. Kujamba mbele yangu iwe kitandani au kitini haoni shida na ukijaribu kumkanya unaishia kupokea jibu litakalokera zaidi.

Wakati mwingine ndoa zina adha nyingi zaidi kuliko furaha!
 
Unapanda kitandan uanzishe mengine mtu ana jamba ushuzi unanuka hadi hamu inakata .
 
Afya ya akili imeyumba hapo
 
Miswaki sio inshu mbona,watu kibao najua wana-share miswaki na kwa akili zao wanaona Ni poa tu.
Mhh haya endeleeni

Mi naona ni km vile kufatiliwa simu
Sina baya nnalofanya ila sipendi kufuatiliwa
Niamini kama nnavyokuamini
Hivyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…