Lakini bado wanahitajika sanaKila Zama na kitabu chake, wkt tunalimia meno, wao walikuwa wanakula bata, Sasa ni zamu yetu kulamba asali, makondakta na saambaya kuleni makande nyau nyie.
Wachukueni TU kwani Kwa itikadi yenu watawajengea Chama chenu😂Wanachama wetu wa Umoja Party hao
Warudishe kwenye familia yenu kama mnawahitaji sana,nchi Ina watu zaidi ya mil 50 hiiHawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano ,kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia .
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyo zidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025 .
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita .
Nani kasema,kwan taifa limekosa vijana hadi wapewe haoLakini bado wanahitajika sana
Si wajiajiri kwani hakuna watanzania wengine?Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano ,kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia .
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyo zidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025 .
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita .
Labda wao wanahati miliki na nchiNani kasema,kwan taifa limekosa vijana hadi wapewe hao
Kupiga Watu?Lakini bado wanahitajika sana
Jinga kabisa,... Dhuluma na kuua watu ndio kazi nzr? Wenyewe wanaishi kama digidigi mtaani kwakua wanajua kuwa wanasakwa mtaani, halafu unaleta uharo hapa.Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano ,kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia .
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyo zidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025 .
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita .
Sheria inasemaje mtu akishtakiwa na kuhukumiwa?Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano, kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia.
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyozidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025.
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita.
Naona mawazo haya kama upo serious basi ni mtu uliyeamua tu kutojali chochote kwenye maadali ya uongozi au unafaidika binafsi na hao watu au ulikuwa sehemu ya mtandao wao.Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano, kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia.
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyozidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025.
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita.
Next time kabla ya kuanza kuharisha ukumbuke kutembea na hii ukienda kwa hao mabwana zako.Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano, kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia.
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyozidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025.
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita.