Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jela ipi ?Sabaya atakuwaje kiongozi hali yupo jela na atoki kesho
Kwani kamaliza kesiJela ipi ?
Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano, kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia.
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyozidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025.
Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na kusaidia kodi kukusanywa kwa namna yoyote ile ile kama walivyo saidia Awamu iliyopita.
Hapa jiwe alitisha 😂😂😂 “Ni upuuzi mtupu”, kibabe kabisa!Kumbe ujambazi ,matusi, mauaji ,matumizi mabaya ya ofisi ya umma ndio kazi nzuri?
Sijawahi kuwa na shaka security issues zikiwa raised na CIA .
View attachment 2218672
View attachment 2218673
Basi hapa tunadebate na taahira, kama hujui Ole Sabaya yupo jela, wewe una akili hata za kuvukia barabara kweli?Jela ipi ?
Kama walioghushi vyeti na kupata ajira kwa udanganyifu Serikali imesema wapewe mafao yao,kuna shida gani kurudishwa kwa majambazi Sabaya na Makonda?Kumbe ujambazi ,matusi, mauaji ,matumizi mabaya ya ofisi ya umma ndio kazi nzuri?
Sijawahi kuwa na shaka security issues zikiwa raised na CIA .
View attachment 2218672
View attachment 2218673
Hivi huko jela amepata hata unyapara, ni mrs nyapara?Sabaya atakuwaje kiongozi hali yupo jela na atoki kesho
Mbona mtu alipohoji PhD ya mtu fulani aliishia kuuwawa kwanini asingeleta chapisho tuthibitishe ?Kama walioghushi vyeti na kupata ajira kwa udanganyifu Serikali imesema wapewe mafao yao,kuna shida gani kurudishwa kwa majambazi Sabaya na Makonda?
Ngoja tuwasiliane kwanza na mjane wa Ben Saanane,Roma mkatoliki,Lissu na mjane wa Azory.Lakini bado wanahitajika sana
Umeumia sana mkuu leoSabaya atakuwaje kiongozi hali yupo jela na atoki kesho
Usijipe home bado kesi anazoUmeumia sana mkuu leo
Zitakwisha taaratibuUsijipe home bado kesi anazo
WamesikikaWanachama wetu wa Umoja Party hao