Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Hao ndio type yako lakini... umejiweka ktk mazingira ya kukutana na type hiyo...
 
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Huyo wa Nyanda za juu kusini utakuwa ulisikia Sye.

Hapo alikudharau kwa kiwango Cha mwisho kabisa.

Sasa ungeongea ndio ungejua mziki wake, kaka zake wote ambao sio wa tumbo moja na Hana undugu nao ujue wangekuwa mabwana zake.

To yeye aje aongezee nyama
 
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
"kaone haka nako kajinga", watano ndo umetafuta sana na unaona umetulia loh " get five women at once select 4 choose three love two marry one"........hiyo ndo formula ya wanaumme walio kamilika sio aka...hahaha joking
 
Wewe uko desperate nani hatariiii kutafuta mke ukiwa kwenye hali iyo lingine kumpata uyo mkamilifu UTASOTA SANA

Nawasubiri na wao waje kusema udhaifu wako hapa
 
Nasema atakusumbua sababu Wanawake always wanadata na BAD-BOYS, iwe kwa ndoa au mahusiano.

Sasa wee mtoa mada umenyooka straight kabisa huna makando kando yyt, na Tena unajisifia sijui
-sijawai kunyaa pombe
-Sijawai kula tigo
-demu anapenda Ela (uhongi/bahili)

Hii ni kasoro,
Mwaanume kua husband material na kuamua kuoa, muhimu upitie pitie purukushan za ujana zikushape vizur.
 
Mimi demu akinitunuku tigo nitampenda sana na kumhudumia kwa hali na mali.

Wenzake tunabembeleza tupewe tigo hadi wakati mwingine tunaambulia mikofi, mitusi na kuachika, yeye anapewa anakataa

Isiwe kesi anicheki PM namba ya bidada apate kitu roho inapenda ale mema ya nchi
 
Mtoa mada inaonekana mazingira uliyokulia na mazingira unayotaftia MKE Ni vitu viwili tofauti ndo maana kila unapogusa unakutana na surprise.

Wenzio tushazoea,
Wanawake wa kila Aina tumepita nao
-ukikutana na mdangaji
unahonga kidg kisha unapita naye, unasuuza nafsi yako Kisha unapita hivi

-wapenda sigara na bangi,pombe
Unampa sigara na pombe, unamix ugolo kidg akilewa unakula unapita hivi

-wenye viburi na dharau
Hatujali tunawanyoosha tunaishi nao

-threessome, orgy, zote tumepitia

MWISHO wa siku utakutana na wa ukweli utapita naye Kama ulivozoea,utagundua Ni watofauti Sana.

Kwaiyo utashangaa ndo umenasa mazima,umeoa kimasihara[emoji4][emoji1431]
 
Back
Top Bottom