Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Mtoa mada inaonekana mazingira uliyokulia na mazingira unayotaftia MKE Ni vitu viwili tofauti ndo maana kila unapogusa unakutana na surprise.

Wenzio tushazoea,
Wanawake wa kila Aina tumepita nao
-ukikutana na mdangaji
unahonga kidg kisha unapita naye, unasuuza nafsi yako Kisha unapita hivi

-wapenda sigara na bangi,pombe
Unampa sigara na pombe, unamix ugolo kidg akilewa unakula unapita hivi

-wenye viburi na dharau
Hatujali tunawanyoosha tunaishi nao

-threessome, orgy, zote tumepitia

Ase shikamooi mkuu
 
Nasema atakusumbua sababu Wanawake always wanadata na BAD-BOYS, iwe kwa ndoa au mahusiano.

Sasa wee mtoa mada umenyooka straight kabisa huna makando kando yyt, na Tena unajisifia sijui
-sijawai kunyaa pombe
-Sijawai kula tigo
-demu anapenda Ela (uhongi/bahili)

Hii ni kasoro,
Mwaanume kua husband material na kuamua kuoa, muhimu upitie pitie purukushan za ujana zikushape vizur.
Usitusemee tafadhali!
 
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Mkuu katotoleshe watoto kweny ma cubetter
Mapenz yataku Ua
 
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Eeh weeh una balaa.
Em njoo unioe mim.

To yeye nmejipatia mchumba na ngoma zichezwe.
Darlin hatimaye leo nmepata.
Aliliiiiiiiiiiiiiiiiiiiih aiaiaiiiiiiiiiiii😂
 
Eeh weeh una balaa.
Em njoo unioe mim.

To yeye nmejipatia mchumba na ngoma zichezwe.
Darlin hatimaye leo nmepata.
Aliliiiiiiiiiiiiiiiiiiiih aiaiaiiiiiiiiiiii😂
Embu dada kua wa sita hapo na uhakikishe mwakani tunakula pilau
Usituangushe dada si unajua wew ni rolimodo wanguuu🤭
 
Embu dada kua wa sita hapo na uhakikishe mwakani tunakula pilau
Usituangushe dada si unajua wew ni rolimodo wanguuu🤭
Dada andaeni sare pambe.
Harusi tunayo bila Guyana harusi ipo bado.
Mwakani mbali sana je akichukuliwa harusi tunayo siku ya mwaka mpya na mchumba mpya.😂😂😂
 
....una mwili mdogo halafu unapenda kuendesha tank na magari makubwa kama msomali....hayo magari makubwa hatupaki nyumbani bro, nyumbani ni IST, Vitz, Rush n.k na ndo material wapo huko...hizo kubwa za kwenda nazo masafa kisha unaziacha huko huko....kuwa mcha Mungu upate akili na busara, Jihakikishie kipato cha uhakika, Fanya mazoezi kwa afya yako kujiweka vizuri hii pia itakuongezea kujiamini mwisho kuwa bize na maisha yako ya kuandalia maisha familia yako ijayo mke atakuja automatically, achana kabisa na fatique ya kutafuta mke sababu ni ngumu sana..acha nature i-select.!
 
Kuoa kunakuja automatic jombaa, ukiwa na shauku ya kuoa utavamia kila mwanamke ukidhani ni wife material
 
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Naomba no za huyo wa tigo na huyo ambae mama ake anakutaka
 
Back
Top Bottom