Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mtoa mada inaonekana mazingira uliyokulia na mazingira unayotaftia MKE Ni vitu viwili tofauti ndo maana kila unapogusa unakutana na surprise.
Wenzio tushazoea,
Wanawake wa kila Aina tumepita nao
-ukikutana na mdangaji
unahonga kidg kisha unapita naye, unasuuza nafsi yako Kisha unapita hivi
-wapenda sigara na bangi,pombe
Unampa sigara na pombe, unamix ugolo kidg akilewa unakula unapita hivi
-wenye viburi na dharau
Hatujali tunawanyoosha tunaishi nao
-threessome, orgy, zote tumepitia
How?Nioe mimi mkuu, nitakupa the earth and heaven [emoji7]
Usitusemee tafadhali!Nasema atakusumbua sababu Wanawake always wanadata na BAD-BOYS, iwe kwa ndoa au mahusiano.
Sasa wee mtoa mada umenyooka straight kabisa huna makando kando yyt, na Tena unajisifia sijui
-sijawai kunyaa pombe
-Sijawai kula tigo
-demu anapenda Ela (uhongi/bahili)
Hii ni kasoro,
Mwaanume kua husband material na kuamua kuoa, muhimu upitie pitie purukushan za ujana zikushape vizur.
Mkuu katotoleshe watoto kweny ma cubetterNi mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.
Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.
Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.
Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.
Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.
Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.
Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.
Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Nilivyosikia nyanda za juu.... nikajisemea asiwe wewe.Tangu nikufahamu leo umeongea jambo la msingi kuliko yote.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Eeh weeh una balaa.Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.
Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.
Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.
Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.
Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.
Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.
Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.
Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
[emoji16][emoji16] kwa hiyo umesikia mimi ndio msonyaji sana...yaani nisivyopenda kusonywa sidhani kama nilishawahi kusonya mtu (mwenyewe akiwepo)Nilivyosikia nyanda za juu.... nikajisemea asiwe wewe.
Dada andaeni sare pambe.Embu dada kua wa sita hapo na uhakikishe mwakani tunakula pilau
Usituangushe dada si unajua wew ni rolimodo wanguuu🤭
Nimeshasahau mkuu kwan ilikuaje 😃😃
😃😃😃Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.
Naomba no za huyo wa tigo na huyo ambae mama ake anakutakaNi mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.
Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.
Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.
Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.
Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.
Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.
Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.
Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.