Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Mnadharau sana
Jingine hamjieshimu ,
Tatu mnajiona mnajua mnataka muheshimiwe na hamjieshimu ,
Nne muonyeshi upendo mnaonyesha majivuno na mnawatu wenu ambao mnawaona wanawafaa just guest mtu anapanga anamawazo yakumuoa Rihanna au Beyonce na huku uwezo wake ni hamida wa buza Sasa wewe siunapoteza muda .

Ukiangalia hata gari Huna , pamba Huna .

Haya tuseme unayo gari Huna nyumba au unanyumba halafu Huna gari.

Halafu mtu hawezi kujiongeza na kufanya juhudi za kupata hela za kutosha .

Mimi na rafiki ni wakiume ila anaheshima na upendo nampenda sana .

Kama hajanikuta nimedouble tungeoana .


Jiheshimu waheshimu wengine .

Acha maringo na kuamrisha watu .

Amrishaneni , penda kiukweli , karibu kuwa mtu mzima wanaume wengi wabongo saivi wanadharau hata akiomba k ni anakudhihaki kwanza
 
Aah we chukua wote ilimradi tu watoe pesa na gari kali.
mzabzab mwenyewe dk mbili chali kwa nn umkatae
kha!! yaani kusema kuwa mie dakika mbili chali ndio imekuwa fimbo ya kunipigia.
ngoja kwanza nimalizane na huyu mamam wa kambo maana sio kwa tako lile
 
kha!! yaani kusema kuwa mie dakika mbili chali ndio imekuwa fimbo ya kunipigia.
ngoja kwanza nimalizane na huyu mamam wa kambo maana sio kwa tako lile
Weeeeeeh wacha nionyeshe na mim basi hilo gono jipya.
Jitafutie balaa mzab mie ushauri ninao tele
 
Mnadharau sana
Jingine hamjieshimu ,
Tatu mnajiona mnajua mnataka muheshimiwe na hamjieshimu ,
Nne muonyeshi upendo mnaonyesha majivuno na mnawatu wenu ambao mnawaona wanawafaa just guest mtu anapanga anamawazo yakumuoa Rihanna au Beyonce na huku uwezo wake ni hamida wa buza Sasa wewe siunapoteza muda .

Ukiangalia hata gari Huna , pamba Huna .

Haya tuseme unayo gari Huna nyumba au unanyumba halafu Huna gari.

Halafu mtu hawezi kujiongeza na kufanya juhudi za kupata hela za kutosha .

Mimi na rafiki ni wakiume ila anaheshima na upendo nampenda sana .

Kama hajanikuta nimedouble tungeoana .


Jiheshimu waheshimu wengine .

Acha maringo na kuamrisha watu .

Amrishaneni , penda kiukweli , karibu kuwa mtu mzima wanaume wengi wabongo saivi wanadharau hata akiomba k ni anakudhihaki kwanza
Mbona ujawatag hadi sa hii
 
Mnadharau sana
Jingine hamjieshimu ,
Tatu mnajiona mnajua mnataka muheshimiwe na hamjieshimu ,
Nne muonyeshi upendo mnaonyesha majivuno na mnawatu wenu ambao mnawaona wanawafaa just guest mtu anapanga anamawazo yakumuoa Rihanna au Beyonce na huku uwezo wake ni hamida wa buza Sasa wewe siunapoteza muda .

Ukiangalia hata gari Huna , pamba Huna .

Haya tuseme unayo gari Huna nyumba au unanyumba halafu Huna gari.

Halafu mtu hawezi kujiongeza na kufanya juhudi za kupata hela za kutosha .

Mimi na rafiki ni wakiume ila anaheshima na upendo nampenda sana .

Kama hajanikuta nimedouble tungeoana .


Jiheshimu waheshimu wengine .

Acha maringo na kuamrisha watu .

Amrishaneni , penda kiukweli , karibu kuwa mtu mzima wanaume wengi wabongo saivi wanadharau hata akiomba k ni anakudhihaki kwanza
Ww unaumwa akili sio bure.

Mwanamke inabidi awe submissive na amsikilize mme wake.

Wanawake wa siku hizi hawana uanamke, ndo maana kuna muda wale wengine version 2 wanawasaidia
 
Mnadharau sana
Jingine hamjieshimu ,
Tatu mnajiona mnajua mnataka muheshimiwe na hamjieshimu ,
Nne muonyeshi upendo mnaonyesha majivuno na mnawatu wenu ambao mnawaona wanawafaa just guest mtu anapanga anamawazo yakumuoa Rihanna au Beyonce na huku uwezo wake ni hamida wa buza Sasa wewe siunapoteza muda .

Ukiangalia hata gari Huna , pamba Huna .

Haya tuseme unayo gari Huna nyumba au unanyumba halafu Huna gari.

Halafu mtu hawezi kujiongeza na kufanya juhudi za kupata hela za kutosha .

Mimi na rafiki ni wakiume ila anaheshima na upendo nampenda sana .

Kama hajanikuta nimedouble tungeoana .


Jiheshimu waheshimu wengine .

Acha maringo na kuamrisha watu .

Amrishaneni , penda kiukweli , karibu kuwa mtu mzima wanaume wengi wabongo saivi wanadharau hata akiomba k ni anakudhihaki kwanza
Sijakuelewa
 
Mnadharau sana
Jingine hamjieshimu ,
Tatu mnajiona mnajua mnataka muheshimiwe na hamjieshimu ,
Nne muonyeshi upendo mnaonyesha majivuno na mnawatu wenu ambao mnawaona wanawafaa just guest mtu anapanga anamawazo yakumuoa Rihanna au Beyonce na huku uwezo wake ni hamida wa buza Sasa wewe siunapoteza muda .

Ukiangalia hata gari Huna , pamba Huna .

Haya tuseme unayo gari Huna nyumba au unanyumba halafu Huna gari.

Halafu mtu hawezi kujiongeza na kufanya juhudi za kupata hela za kutosha .

Mimi na rafiki ni wakiume ila anaheshima na upendo nampenda sana .

Kama hajanikuta nimedouble tungeoana .


Jiheshimu waheshimu wengine .

Acha maringo na kuamrisha watu .

Amrishaneni , penda kiukweli , karibu kuwa mtu mzima wanaume wengi wabongo saivi wanadharau hata akiomba k ni anakudhihaki kwanza

Mimi nilikuwa sijakuelewa sasa ulivyo comment here i got very welll so sorry haupendi kufoka mamy
 
Back
Top Bottom