Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Nadhani nimekosa mke wa kuoa

Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Ogea maji ya bahari kwa siku saba.
 
Yote inategemea na jinsi ulivyo jiweka/character au personality yako..

1.mhasibu mlevi, inaonekana na wewe ni mlevi mtu mlikutana nae bar kwanini sasa umbadilishe?

2.Mjasiriamali inaonekana ulienda kwa "showoff " kibao kuonekana una hela n.k akaona acha akupurusee.

3.aliekwambia "acha ujinga" Mimi sijui lakini kama alikwambia labda ni ukweli inabidi uache huo ujinga aliokwambia.

4. Mpenda tigo inaonekana uliwapata wale wavaa vijora na vikuku unategemea nini?

Ushauri wangu.

Acha pombe mrudie Mungu nenda kanisani/masjid wanawake wazuri bado wapo, Mke atafutwi wakati ukifika atakuja mwenyewe.
Nimekuta nacheka tu maelezo yako
 
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya Musa mfupi, si zaidi ya miezi 6.

Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.

Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida kwake kulewa Hadi kujikuta ameopolewa na wanaume Wengine. Mimi siyo mnywaji kabisaa. Nilipomkanya akanuna mazima.

Wa pili alikuwa mjasiriamali. Katika kipindi cha wiki mbili za Mahusiano kashakula laki 7 yangu na bado anananipa Bill ndefu. Nikajiengua kimya kimya.

Wa tatu alikuwa Ni mtu wa nyanda za juu kusini. Kosa lake ni lugha ya dharau. Mara kwa mara alikuwa ananisonya(huwa sipendi kusonywa). Mara ya mwisho alinisonya na kuniambia " kaone haka nako kajinga", nikaona huu Ujinga. Niliwasha makonzi ya utosini, Nikaamua kumfukuza usiku wa manane.

Wa nne alikuwa ananiomba nimle tigo nikamuambia siwezi, akaamua mwenyewe kuniacha.

Wa tano nilimuacha mwezi huu baada ya mama yake mzazi kunitaka kimapenzi. Nikaona Mtoto wa kahaba hawezi kuwa mama wa watoto wangu.

Nadhani Sasa nikubali tu yaishe.
Dah! Hiyo ya tano imeniacha njiapanda aisee! Mama mkwe anataka aliwe duh!
 
Back
Top Bottom