miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseeUliowekeza kwenye kuoa ndio mnatuchosha sisi wajuba tunataka wanawake wenye viburi na dharau ili iwe rahisi kumuacha sasa wanyenyekevu huwa inachukua muda kumpigia chini kwahiyo inakuwa wanatupa kazi kimtindo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee Jf raha sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama mm aiseee nimenata kwa mtoto yaani anajua wajibu wake Hadi sio poa usafi , upole,unyenyekevu ,ucheshi, urembo, kichwani zimetimia na anajituma .....yaaani kunakipindi najutuaga kabisa kumsaliti na naumia yaaani naanza kutafuta justice ya ku equalize maujinga yangu siioni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna muda tukitazamana usoni namuhurumia nasema mama ungejua umeolewa na mwanaume wa aina gani sijui Kama ungetabasam hivo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sijawahi penda wanawake ila huyu nimejifunza kumpenda na kumuheshumu ,Hadi yeye mwenyewe anasema eti aliniomba Mimi kwa Mungu na akampatia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa nikijiangalia mtu mwenyewe ambaye niliombwa kwa mwenyezi Mungu naishia kujicheka tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee Bora upate mwanamke chakaramu ili ukifanya upuuuzi uwe na vizingizio.....ila hawa watulivu unaumia[emoji851]hapo mbuzi kafia kwa muuza supu
Acha kulia lia mtoto wa kiume, fahari ya mwanaume kumtumza mke (mwanamke).Unapoenda kwa mwanamke unamuomba hela ama nini. Shida kubwa wao pesa wameona km ndio kitega uchumi chao. Wakati wanatakiwa wawe wavumilivu kwanini na wewe mkuu ukitongozwa unawahi kuomba hela kama ndio hivyo utaozea kwenu ama katafute kambi ya kuuza K.
Kero kubwa sana hiyo.. mtu kila ukiongea naye ni hela hela hela mpaka mood ya kumpigia simu inakata kabisa.Wanakera sana kuombana ombana hela sijui wakoje. Yaani ukijitusu tu kumtongoza mwanamke wa kibongo ujue kinachofuatia ni kuomba hela.
Sio 50% hawafai, 99.9% hawafai kuolewa wala Kuwa Mama, Ni ngumu ila ndio ukweli, Ili kukabiliana na hili tatizo ndoa za mkataba na prenuptial agreement ni lazima. Kwa hio sheria za ndoa lazima zibadilishwe, kwani hiki ni chanzo pia cha umasikini Tanzania. Tz sio ya kwanza kubadilisha sheria za ndoa, China iligungua sheria za ndoa zinarudisha UCHUMI nyuma na wakabadilisha.Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana
Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Uko sahihi ila lazıma sheria za ndoa zibadilishwe ili hicho ulichoandika kifanyikeKwani umelazimishwa kuwaoa?
Kuna siku dunia ilisimaa kisa kuna wanawake hawajaolewa au baadhi ya wanaume hawajaoa?
Ukiona mahusiano yanakushinda achana nayo fanya mengine.
Hii ni sumu sana katika ustawi wa mahusiano na hakuna afya kbs ni kuombana ombana hela tu.Kero kubwa sana hiyo.. mtu kila ukiongea naye ni hela hela hela mpaka mood ya kumpigia simu inakata kabisa.
We unafaa kuitwa mama?Mi napita tu ila wanaume wengi niliowaacha hawakufaa kuitwa baba kabisa maana ni stress tupu
Kunywa maji upunguze hasira kidogo mama. 😂Kwa waoaji gani siku hizi? Hakuna kitu kinachekeshaga kama majority of men kujiona ni perfect. Yaan mumeoza kwa almost kila kitu ila kutwa kusakama watoto wa wenzenu. Tabia ulizo nazo ndo unatamani bintiyo aje kuolewa na mwanaume wa kaliba yako? Wewe unazo sifa za kuwa mume? Unakutana na wa kufanana na wewe ndo maana unalalamika. Good women still exist. Halaf wewe siyo malaika. Period...! Mnapendwa sana, mnaheshimiwa sana na kunyenyekewa halaf ndo mnaitumia kama nafasi ya kunyanyasa watoto wa watu na kuwafanya watumwa.
Nahisi kuwa kichaa.. mnatuvurugaaKunywa maji upunguze hasira kidogo mama. [emoji23]
Wahenga husema aisifuye mvua imemnyea[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama mm aiseee nimenata kwa mtoto yaani anajua wajibu wake Hadi sio poa usafi , upole,unyenyekevu ,ucheshi, urembo, kichwani zimetimia na anajituma .....yaaani kunakipindi najutuaga kabisa kumsaliti na naumia yaaani naanza kutafuta justice ya ku equalize maujinga yangu siioni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna muda tukitazamana usoni namuhurumia nasema mama ungejua umeolewa na mwanaume wa aina gani sijui Kama ungetabasam hivo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sijawahi penda wanawake ila huyu nimejifunza kumpenda na kumuheshumu ,Hadi yeye mwenyewe anasema eti aliniomba Mimi kwa Mungu na akampatia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa nikijiangalia mtu mwenyewe ambaye niliombwa kwa mwenyezi Mungu naishia kujicheka tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]