Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Mto Ruvu hauna uhusiano wo wote na mto Rufiji. Mto Rufiji ndiyo mto mkubwa na mrefu kuliko mito yote nchini Tanzania na hata siku moja haujawahi kupungukiwa maji. Pale kwenye Stigler's gaudge ya mto huu ndipo tunajenga JNHPP. Great Ruaha ni moja ya tributaries zake kubwa. Mto huu haupitii DSM bali Mafia mkoani Pwani maili takribani 200 kusini ya DSM.
Watu hawasomi jiografia ujue ndugu.
 
Watahangaika sana hawa mafisadi, lakini wakichezea mradi huo hawatapona.

Sasa tusemeje, kwa vile mradi wa maji hautegemewi kuzalisha umeme kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa; mbona hatusikii jambo zito zaidi kuhusiana na hali hiyo, zito zaidi ya kuzalisha umeme ikisemwa?

Chakula mtatoa wapi kama hali itakuwa mbaya kiasi hicho. Kama hufikirii hilo kwanza kichwani, halafu unakimbilia umeme, watu wasielewe kwamba mtu huyo ana lake jambo?
Utadhani wao ndo wanaleta mvua mbwa hawa.....
 
Mbona kwenye ndege alipiga na bado tumelula hasara hadi leo shirika bado hata mishaharatu ya wafanyakazi haliwezi kugenerate mpaka unajiuliza kwani abiria wanapanda bure?

Magufuli alianzisha miradi ajipigie 10% tu.
Sasa pale ATCL sio kosa la magufuri ni kosa la watendaji bodi ina watu wazembe na incompetent kwenye nafasi zao. Unataka magufuri aache kazi akawasimamie?!

Kumbuka pale wameajiriwa watu wanaojitanabaisha wanasifa ila upuuzi ndo unaendelea.

Swali ni moja, mbona fast jet waliweza kutoboa tena kwa safari za ndani tu sio kwa kutegemea watalii wala nini. Iweje ATCL ambayo ipo funded na serikali ichemke.

Ni us*ng* wa machoko wachache tu ndo maana hatutoboi.
 
Kwani alishatutia hasara ya mabilioni mangapi tangu akiwa Waziri wa Ujenzi,Uvuvi na hata Rais?
Sasa unataka kunambia waziri anapokuta sheria imepindishwa hana wajibu wa kuilazimisha na hata kama ittagharimu, hiyo hasara si ji matokeo ya uzembe wa waliomtangulia au uzembe wa wahusika?!

How do you blame someone kwa kusimamia sheria?! Mbona unakuwa naive kiasi hicho?!
 
leteni poloji zote na upuuzi wote,mradi wa bwawa la nyerere unaweza kumtoa mtu ikulu mchana kweupe,na pia unaweza kumfanya mtu akang'ara ikulu.sasa ipimeni sumu kwa kuonja muone,watz watakachojibu!!
 
Sijui kwa nini mijadala inayohitaji facts huwa mnaihamishia kwenye lawama!!!

Deforestation inayotokea kanda ya kusini inahitaji mzungu kukuhadithia? Kusini ndio kuna misitu mingi ya asili na artificial, na hadi sasa ninavyokwambia watu wanavuna mbao changa , misitu pekee wenye miti mikubwa ipo sao hill na kwenye mbuga ya selous,
Misitu huleta mvua deforestation huleta ukosefu wa mvua na hii ni fact sio lazima aseme mzungu.
 
Ukweli una tabia moja; hautaki kudharauliwa. Ukijaribu kupingana ukweli utakwama wewe mwenyewe. Kama na wewe unaamini kuwa hatuhitaji hydro power basi hujui maana ya hydro power.

Kuhusu Marekani, elewa kuwa ni eneo zaidi ya mara hamsini ya eneo la tanzania, na matumizi yao ya umemi ni makubwa zaidi ya mara mia ya yale ya Tanzania. Kwa hiyo hawana chanzo kimoja cha umeme, lakini kumbuka walianza na Hoover Dam kulisha umeme state zote za Magharibi ya marekani, na bado inafanya kazi mpaka leo.
Chige hajasema kuwa hatuhitaji umeme wa Stieglers, kasema kuwa tunahitaji vyanzo vingi vya umeme ikiwemo w gesi
 
Sasa pale ATCL sio kosa la magufuri ni kosa la watendaji bodi ina watu wazembe na incompetent kwenye nafasi zao. Unataka magufuri aache kazi akawasimamie?!

Kumbuka pale wameajiriwa watu wanaojitanabaisha wanasifa ila upuuzi ndo unaendelea.

Swali ni moja, mbona fast jet waliweza kutoboa tena kwa safari za ndani tu sio kwa kutegemea watalii wala nini. Iweje ATCL ambayo ipo funded na serikali ichemke.

Ni us*ng* wa machoko wachache tu ndo maana hatutoboi.
kwakweli inasikitisha sana aina ya watanzania.
 
Jamani Watanzania tujenge tabia ya kupanda miti kama tumepagawa, hali sio nzuri.
Na kupanda miti wal sio gharama. Kila kaya malai ilipo ikipanda ma kukuza miti mitano tu. Nchi nzima inakua kijani
 
Maji tunayongelea hapa ninkwa ajili ya hydropower, which requires a specific threshold ili turbines ziweze kuzalisha umeme , kama unakumbu kumbu vizuri ukame ukishamiri Tanesco huwa wanafunga baadhi ya mabwawa kwa sababu kiwango cha maji kinakuwa hakitoshi kuzalisha umeme

Maji ya kunywa na matumizi ni tofauti kabisa na maji ya kuzalisha umeme, tuna water table nzuri ambayo i aweza kusustain matumizi ya binadamu, kuna maziwq nayo yanaweza kutumika pia .

Tunapoongelea hydropower , tunongelea zaidi maji ya mito inayotiririsha maji, na hii ndio ipo vulnerable sana na climate changes.

Kwani mito inaanzia wapi…
 
Maji tunayongelea hapa ninkwa ajili ya hydropower, which requires a specific threshold ili turbines ziweze kuzalisha umeme , kama unakumbu kumbu vizuri ukame ukishamiri Tanesco huwa wanafunga baadhi ya mabwawa kwa sababu kiwango cha maji kinakuwa hakitoshi kuzalisha umeme

Maji ya kunywa na matumizi ni tofauti kabisa na maji ya kuzalisha umeme, tuna water table nzuri ambayo i aweza kusustain matumizi ya binadamu, kuna maziwq nayo yanaweza kutumika pia .

Tunapoongelea hydropower , tunongelea zaidi maji ya mito inayotiririsha maji, na hii ndio ipo vulnerable sana na climate changes.

Kvp…Kwani mito inaanzia wapi
 
Back
Top Bottom