Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Status
Not open for further replies.
Nikisoma hii kitu huwa nafurahi sana. Niliisave to my desktop huwa siamin kama mtanzania huyu bwana yericko anaakili kiasi hichi.
 
If u hve nt taken ths from smewhere, u must be geneous,tatizo usalama wetu wanang'ang'ania watoto wao tu,kuna watu wana IQ safi kabisa vyuon hata maofcn,we appreciate kwamba wamepambana sana manake hiz siasa za tz naamin hata wao zinawaathri sana hawasem tu,kila mtu mwenye mtazamo tofauti anaonekana mpinzan,umesema vizuri mkuu.
 
Sikuwa nafahamu kama TISS haina meno. Nadhani ndio maana yanajitokeza mambo mengi ambayo wengi tusiojua, tunajikuta tunahoji juu ya uwezo na utendaji wa TISS

Naamini hwezi pata meno na akili moya kama unaongozwa na watu waliosoma miak ile ya 60.70 na 80, na kwa sasa hata kusoma tena hawezi anw ala hawataki, kilicjobaki ni kujipoendekeza na kusifia wakuu. mwisho wa siku mnajkuta kuwa ni Tawi la chama, naami tunavyoona Jeshi la Polisi, na JW na JKT yalivyochoka na huko TISS hakuna tofauti.
 
Kuwepo kwa wengi waliosoma siasa UDSM matokeo yake kila mtu anatafuta maslh ya kisiasa na kusahau majukuku ya kazi zao.tupo nyuma sababu Wao wana malengo ya muda mfupi kuhadaa wananchi,
 
Hongera Yeriko kwa hili...ktk hili mpk mfumo ubadilike...hii ya sasa wakubwa wote walishikwa na US.
ka mkuu wa kaya kawaambia takukuru walete mapendekezo yao, iweje tiss washindwe kujipanga!!
 
Binafsi naona kama hawa jamaa kazi zao kutokuwa za wazi kama POLISI, JWTZ kunafanya wanachi tupotoshwe kuwa hawafanyazi kazi ipasavyo, japo pengine sheria nazo zinaweza kuwa tatizo.

Hapa hoja ni kuwa mambo mengi yamekuwa yajitokea bila hawa jamaa kujua ambapo wao wipaswa kuwa wa kwanza kuyajua,mfano ishu ya usafirishaji wa wanyama.
Lakini pia ikumbukwe kuwa kazi ya hawa jamaa ni kuhakikisha kuwa wanazuia jambo kabla halijatokea
 
Haswaaa tiss ni wapiga dili nchi imeuzwa ninyi hamuamini,jamaa wanapga miwani kidilidili!!
 
Hapa hoja ni kuwa mambo mengi yamekuwa yajitokea bila hawa jamaa kujua ambapo wao wipaswa kuwa wa kwanza kuyajua,mfano ishu ya usafirishaji wa wanyama.
Lakini pia ikumbukwe kuwa kazi ya hawa jamaa ni kuhakikisha kuwa wanazuia jambo kabla halijatokea
unauhakika kuwa huwa hawajui?
 

Kazi nzuri,wewe ni hodari.Tuko katika mashua moja bwana Yericko!
 

Mimi naamini serikali inajua vizuri kuhusu kuboresha., kubadilisha sheria nk lakini ina sababu za kuwabana .hii ni kuwadhibiti kwa faida zao wewe unadhani wangekuwa na meno hawa kina ch.e.ng na kuu li kaya wangekuwa hali gani.? Hata jeshi wamelidhibiti.lakini huu si mchezo mwema......! Tutakuja juta sote.!
 
Kazi nzuri,wewe ni hodari.Tuko katika mashua moja bwana Yericko!

Tatizo watu walio vizuri kama hawa hawatakiwi na mawazo yao hayachukuliwi, wanapewa nafasi watu wa kujipendekeza na wanaojua majungu tu. Tupo nyuma sana ktk kufanya mageuzi, si tumebaki tukiangalia usalama tu wakati wengine wanaangalia na uchumi zaidi. Big up Yericko
 
unauhakika kuwa huwa hawajui?

Hapa hoja ni kuwa mambo mengi yamekuwa yajitokea bila hawa jamaa kujua ambapo wao wipaswa kuwa wa kwanza kuyajua,mfano ishu ya usafirishaji wa wanyama.
Lakini pia ikumbukwe kuwa kazi ya hawa jamaa ni kuhakikisha kuwa wanazuia jambo kabla halijatokea
Jason Bourne

na uwakika hawa juhi haiwezekani vibaka na wauuni wote wa dar wajikusanye kwenye kufanya tukio bila wao kujua na wala ku preeempty( refer paanya road) hii ni ishara kuwa katika vibaka na mateja wote wa dar hakuna TISS wala informer hata mmoja, wakati nijuavyo kwa tasisis kama hiyo haiwezi kukosa watu huko walijipenyeza na kujifanya niw ao huku wakipata information na matukio na ni nini kinatendeka.
 
Last edited by a moderator:

Mwaka huu upinzani utaingia madarakani, tutafanya mageuzi hayo
 
Ninakupata vema kabisa, fursa yakumuondoa kiongozi (rais) asiyewajibika hili ndilo nasisitiza liwekwe kwa umakini, kwakuwa ikiwa mkuu wa tiss tunaweza kumpata asiyemweledi na mwenye hulka binafsi za husda aweza kuitumia fursa hiyo vibaya.
Tawireeeeee............mkuu..........
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…