Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa sikubaliani na fundisho la Dini hizi( Abrahamic religion/ ukristu, uislamu, na Judaism) kuhusu sababu kwanini binadamu tumeumbwa duniani

Mafundisho ya Dini hizi yanasema bila aibu kwamba ; ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

" Mwenyezi Mungu alituumba wanadamu ili tumuabudu"

Nikasema kuwa hoja hii ni ya kitoto sana Kwa sababu kwanza inakwenda kinyume kabisa na sifa za Mungu kama zilivyo andikwa kwenye Biblia, Qur'aan na Talmud.

Kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu hivyo ni kwamba Mungu ni Mwanzo na Mwisho. Hana Mwanzo wala mwisho . Wala hafananishwi na kitu chochote Kile.

Amekamilika na anajitosheleza Kwa kila kitu.

So unaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu", tafsiri Yake ni kwamba unasema " Mungu na yeye ni muhitaji. Anahitaji kuabudiwa" Ndio maana wasio muabudu kwa mujibu wa mafundisho hayo watachomwa kwenye moto wa Jehanamu..


Nikawauliza mashekhe na wachungaji.

Okay mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu Je tusipo muabudu atapungukiwa na Nini? Wakajiuma uma wakasema " Hatopungukiwa na kitu"


Nikawauliza Tena " Je tukimuabudu Mungu kitu gani kitaongezeka kwake?

Jibu likawa . Hakuna kitu.

Then nikawauliza kama ndo hivyo Sasa Kwa Nini mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu?

Majibu yao ni vitisho vitisho tu vya kitoto.

Ila sijawalaumu Kwa sababu najua tofauti Kati ya Dini na sayansi katika suala zima la kutafuta majawabu ya maswali ambayo universe inatuuliza ni moja.

Religion is searching for the answers from the conclusion where are science is searching for the answers towards the conclusion.

Kwa mfano swali " Hivi Kwa Nini binadamu tupo duniani?"

Dini tayari imesha conclude kwamba tupo hapa Kwa ajili ya kumuabudu Mungu but science bado inatafuta majibu.

As u can see tayari Dini imekuweka kwenye corner ya " Tumeumbwa ili tumuabudu" So udadisi wako lazima Uwe revolved around " Tumeumbwa ili tumuabudu"

Uanze kutafuta dalili kwenye nature ambazo Zina suggest kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. ( The nature does not suggest this )

Ukiniuliza nina fikiri ni Kwa Nini sisi tupo hapa duniani, jibu ambalo ni sahihi kuliko yote ni hili hapa chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Anaejua sababu halisi Kwa Nini sisi wanadamu tupo hapa duniani ni yule aliye tuumba na kutuleta hapa duniani.


Hilo hapo juu ndio jibu sahihi kuliko yote juu ya swali kwanini binadamu tupo duniani.

However pamoja na usahihi wa jibu hilo hapo juu still bado sisi kama wanadamu tunalo jukumu la kutumia akili ambazo ametupa Mungu ili tujue ni sababu Gani hiyo ambayo imemfanya Mwenyezi Mungu atuumbe na kutuleta duniani...

As a matter of fact , dalili kwenye nature Zina suggest kwamba, aliye tuumba na kutuweka duniani amejificha na bado haja communicate chochote na sisi viumbe wake kujidhihirisha kwetu ila anataka sisi wenyewe tutumie akili ambazo ametupa kumjua yeye ni nani,kwanini ametuumba, jina lake halisi anaitwa nani( So far mpaka Sasa hakuna mwanadamu ambae analijua jina halisi la.Mwenyezi Mungu) etc.

Na hiki ndicho ninacho kifanya. So far tayari nimesha suggest nadharia kama 4 kwanini ninadhani sisi tumeletwa hapa duniani na Leo nina kuja na nadharia namba Tano ...

Stay tuned. Inakuja very soon
 
Swali la kwanini Mungu alituumba ni swala la kuamini wala huwezi kutumia theory utafeli Bro, akili za Mungu hazichunguziki:

Wewe shika tu:
Mungu alituumba ili tuwe na uhusiano wa karibu naye, kumtukuza, na kutimiza kusudi lake la kipekee kwa maisha yetu, kwa kuishi katika upendo na kutunza uumbaji wake.
 
Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa sikubaliani na fundisho la Dini hizi( Abrahamic religion/ ukristu, uislamu, na Judaism) kuhusu sababu kwanini binadamu tumeumbwa duniani

Mafundisho ya Dini hizi yanasema bila aibu kwamba ; ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡


" Mwenyezi Mungu alituumba wanadamu ili tumuabudu"


Nikasema kuwa hoja hii ni ya kitoto sana Kwa sababu kwanza inakwenda kinyume kabisa na sifa za Mungu kama zilivyo andikwa kwenye Biblia, Qur'aan na Talmud.

Kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu hivyo ni kwamba Mungu ni Mwanzo na Mwisho. Hana Mwanzo wala mwisho . Wala hafananishwi na kitu chochote Kile.

Amekamilika na anajitosheleza Kwa kila kitu.

So unaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu", tafsiri Yake ni kwamba unasema " Mungu na yeye ni muhitaji. Anahitaji kuabudiwa" Ndio maana wasio muabudu kwa mujibu wa mafundisho hayo watachomwa kwenye moto wa Jehanamu..


Nikawauliza mashekhe na wachungaji.

Okay mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu Je tusipo muabudu atapungukiwa na Nini? Wakajiuma uma wakasema " Hatopungukiwa na kitu"


Nikawauliza Tena " Je tukimuabudu Mungu kitu gani kitaongezeka kwake?

Jibu likawa . Hakuna kitu.

Then nikawauliza kama ndo hivyo Sasa Kwa Nini mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu?

Majibu yao ni vitisho vitisho tu vya kitoto.

Ila sijawalaumu Kwa sababu najua tofauti Kati ya Dini na sayansi katika suala zima la kutafuta majawabu ya maswali ambayo universe inatuuliza ni moja.

Religion is searching for the answers from the conclusion where are science is searching for the answers towards the conclusion.

Kwa mfano swali " Hivi Kwa Nini binadamu tupo duniani?"

Dini tayari imesha conclude kwamba tupo hapa Kwa ajili ya kumuabudu Mungu but science bado inatafuta majibu.

As u can see tayari Dini imekuweka kwenye corner ya " Tumeumbwa ili tumuabudu" So udadisi wako lazima Uwe revolved around " Tumeumbwa ili tumuabudu"

Uanze kutafuta dalili kwenye nature ambazo Zina suggest kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. ( The nature does not suggest this )

Ukiniuliza nina fikiri ni Kwa Nini sisi tupo hapa duniani, jibu ambalo ni sahihi kuliko yote ni hili hapa chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Anaejua sababu halisi Kwa Nini sisi wanadamu tupo hapa duniani ni yule aliye tuumba na kutuleta hapa duniani.


Hilo hapo juu ndio jibu sahihi kuliko yote juu ya swali kwanini binadamu tupo duniani.

However pamoja na usahihi wa jibu hilo hapo juu still bado sisi kama wanadamu tunalo jukumu la kutumia akili ambazo ametupa Mungu ili tujue ni sababu Gani hiyo ambayo imemfanya Mwenyezi Mungu atuumbe na kutuleta duniani...


As a matter of fact , dalili kwenye nature Zina suggest kwamba, aliye tuumba na kutuweka duniani amejificha na bado haja communicate chochote na sisi viumbe wake kujidhihirisha kwetu ila anataka sisi wenyewe tutumie akili ambazo ametupa kumjua yeye ni nani,kwanini ametuumba, jina lake halisi anaitwa nani( So far mpaka Sasa hakuna mwanadamu ambae analijua jina halisi la.Mwenyezi Mungu) etc.

Na hiki ndicho ninacho kifanya. So far tayari nimesha suggest nadharia kama 4 kwanini ninadhani sisi tumeletwa hapa duniani na Leo nina kuja na nadharia namba Tano ...

Stay tuned. Inakuja very soon
Unitag ukipost please ๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Swali la kwanini Mungu alituumba ni swala la kuamini wala huwezi kutumia theory utafeli Bro, akili za Mungu hazichunguziki:

Hata akili yangu ni akili ya Mungu pia Kwa sababu Mungu ndio kanipa akili hiyo. Ukidharau akili yako umemdharau alie kupa hiyo akili.


Wewe shika tu:

Duh so u want me to be you. Mkuu you are so selfish. You want me to think like you?
Mungu alituumba ili tuwe na uhusiano wa karibu naye,

Unarudia makosa Yale Yale yaliyo fanywa na waandishi wa vitabu vya Dini. So kumbe Mungu na yeye ni muhitaji? Anahitaji kuwa na mahusiano na sisi? Tukiwa na mahusiano nae kitu gani kitaongezeka kwake?

Tusipokuwa na mahusiano nae kitu gani kitapungua kwake?

Now that watu wengi hatuna mahusiano mazuri na Mungu so Mungu amekasirika?
kumtukuza, na kutimiza kusudi lake la kipekee kwa maisha yetu
kwa kuishi katika upendo na kutunza uumbaji wake.
Duh
 
Swali la kwanini Mungu alituumba ni swala la kuamini wala huwezi kutumia theory utafeli Bro, akili za Mungu hazichunguziki:

Wewe shika tu:
Mungu alituumba ili tuwe na uhusiano wa karibu naye, kumtukuza, na kutimiza kusudi lake la kipekee kwa maisha yetu, kwa kuishi katika upendo na kutunza uumbaji wake.
Mkuu mbona kama unataka kutuharibia Uzi? Hiki ulichoandika si ndicho ambacho mtoa mada amekitaja kwamba mafundisho ya dini ndio yanakifundisha?

Ulicho andika kila mtu anakijua Likud amefikiri nje ya box tusubiri hoja yake tuipime
 
Mkuu mbona kama unataka kutuharibia Uzi? Hiki ulichoandika si ndicho ambacho mtoa mada amekitaja kwamba mafundisho ya dini ndio yanakifundisha?

Ulicho andika kila mtu anakijua Likud amefikiri nje ya box tusubiri hoja yake tuipime
๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Wala usiumize sana kichwa kwa maana hiyo unayosema ya kuabudu ilikua ni lengo la awali la uumbaji na kuabudu kuliko maanishwa hapo si kwenda kanisani wala kwenda msikitini ila ni kusikia na kufuata yale yote ambayo yeye aliyekuumba anayataka na mambo yote hayo yalikua kwa ajiri ya maendeleo ya dunia.

Kwa maana ya kwamba mtu hakuruhusiwa kufanya jambo lolote lenye mlengo wa kuigusa dunia kwa maamuzi yake binafsi bali kwa kufuata maelekezo kutoka kwa aliyemuumba.

Ila mradi huu ulifeli na hayo malengo yakawa yameishia pale pale kwa maana baada ya mradi kufeli Mungu aliamua kujitenga na mwanadamu.

Na kumuacha aweze kufanya mambo kwa kujiamulia mwenyewe huku akiwa amewekewa limitations.
 
Wala usiumize sana kichwa kwa maana hiyo unayosema ya kuabudu ilikua ni lengo la awali la uumbaji na kuabudu kuliko maanishwa hapo si kwenda kanisani wala kwenda msikitini ila ni kusikia na kufuata yale yote ambayo yeye aliyekuumba anayataka na mambo yote hayo yalikua kwa ajiri ya maendeleo ya dunia.

Kwa maana ya kwamba mtu hakuruhusiwa kufanya jambo lolote lenye mlengo wa kuigusa dunia kwa maamuzi yake binafsi bali kwa kufuata maelekezo kutoka kwa aliyemuumba.

Ila mradi huu ulifeli na hayo malengo yakawa yameishia pale pale kwa maana baada ya mradi kufeli Mungu aliamua kujitenga na mwanadamu.

Na kumuacha aweze kufanya mambo kwa kujiamulia mwenyewe huku akiwa amewekewa limitations.
Kwa hiyo una maanisha Mungu anaweza kufeli?
 
TUKIANGALIA ASILI YA MWANADAMU KUANZIA MWANZO KABISA.....
Mungu hakutuumba ili tuishi hapa Duniani bali alikusudia tuishi huko mbingu nyingine.
Kama umesoma dini "in details" utakuwa unafaham kuwa zipo mbingu (universe 7) na hii ya kwetu ikijumuisha Sayari zote ndio ya kwanza kabisa kutokea chini.
Sasa baada ya kuwa tumemkosea kupitia kwa baba yetu Adam, Mungu akaona atushushe huku mbingu ya chini kabisa kama sehemu ya Mtihani........TAMBUA KUWA, HAPA TUPO KWENYE CHUMBA CHA MTIHANI

Kwa wale watakaofaulu, wakitwaliwa watarudishwa ile mbingu aliyokuwa akiishi Adam na mkewe Hawa(kabla ya kushushwa Duniani) na wale watakaofeli basi watapata adhabu kali sana.
Na hii inaingia akilini kabisa kwani haiwezekani, haya majizi, wachawi, wanaotesa wengine bila sababu, wauaji nk nk yapite tu hivi hivi; Lazima kuna mahala haki itatolewa.....

Kwa bahati nzuri Mungu kwa upendo wake akatupa na "marking scheme" kabisa ambayo ni QURAN pia Torati, Zaburi na Injili/Biblia kwa vizazi vya nyuma; kazi kwetu, kufaulu mtihani
Nirudi kwenye mada; Ukiambiwa kusudi la kuletwa duniani ni kumuabudu Mungu...maana yake ni kuwa, Watu wakinyenyekea kwa Mungu, watafanya matendo aliyo yaamrisha (kuepuka Wizi, Uchawi, kupunja kwenye mizani, kupindisha sheria, Uasharati nk) na hivyo kufaulu mtihani.

HUWEZI KUSEMA UNA MUABUDU MUNGU HALAFU UNAFANYA MATENDO MACHAFU ALIYOYAKATAZA , HUKO NI KUUCHAFUA UTUKUFU WA MUNGU!

Kwa utalaam uliopo hapa duniani hadi sasa hatujaweza kuona huko nyuma ya Jua kuna nini, inamaana hata mbingu ya pili hatuna elimu nayo....
 
Back
Top Bottom