LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa sikubaliani na fundisho la Dini hizi( Abrahamic religion/ ukristu, uislamu, na Judaism) kuhusu sababu kwanini binadamu tumeumbwa duniani
Mafundisho ya Dini hizi yanasema bila aibu kwamba ; ๐๐๐๐
" Mwenyezi Mungu alituumba wanadamu ili tumuabudu"
Nikasema kuwa hoja hii ni ya kitoto sana Kwa sababu kwanza inakwenda kinyume kabisa na sifa za Mungu kama zilivyo andikwa kwenye Biblia, Qur'aan na Talmud.
Kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu hivyo ni kwamba Mungu ni Mwanzo na Mwisho. Hana Mwanzo wala mwisho . Wala hafananishwi na kitu chochote Kile.
Amekamilika na anajitosheleza Kwa kila kitu.
So unaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu", tafsiri Yake ni kwamba unasema " Mungu na yeye ni muhitaji. Anahitaji kuabudiwa" Ndio maana wasio muabudu kwa mujibu wa mafundisho hayo watachomwa kwenye moto wa Jehanamu..
Nikawauliza mashekhe na wachungaji.
Okay mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu Je tusipo muabudu atapungukiwa na Nini? Wakajiuma uma wakasema " Hatopungukiwa na kitu"
Nikawauliza Tena " Je tukimuabudu Mungu kitu gani kitaongezeka kwake?
Jibu likawa . Hakuna kitu.
Then nikawauliza kama ndo hivyo Sasa Kwa Nini mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu?
Majibu yao ni vitisho vitisho tu vya kitoto.
Ila sijawalaumu Kwa sababu najua tofauti Kati ya Dini na sayansi katika suala zima la kutafuta majawabu ya maswali ambayo universe inatuuliza ni moja.
Religion is searching for the answers from the conclusion where are science is searching for the answers towards the conclusion.
Kwa mfano swali " Hivi Kwa Nini binadamu tupo duniani?"
Dini tayari imesha conclude kwamba tupo hapa Kwa ajili ya kumuabudu Mungu but science bado inatafuta majibu.
As u can see tayari Dini imekuweka kwenye corner ya " Tumeumbwa ili tumuabudu" So udadisi wako lazima Uwe revolved around " Tumeumbwa ili tumuabudu"
Uanze kutafuta dalili kwenye nature ambazo Zina suggest kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. ( The nature does not suggest this )
Ukiniuliza nina fikiri ni Kwa Nini sisi tupo hapa duniani, jibu ambalo ni sahihi kuliko yote ni hili hapa chini๐๐๐๐๐
Anaejua sababu halisi Kwa Nini sisi wanadamu tupo hapa duniani ni yule aliye tuumba na kutuleta hapa duniani.
Hilo hapo juu ndio jibu sahihi kuliko yote juu ya swali kwanini binadamu tupo duniani.
However pamoja na usahihi wa jibu hilo hapo juu still bado sisi kama wanadamu tunalo jukumu la kutumia akili ambazo ametupa Mungu ili tujue ni sababu Gani hiyo ambayo imemfanya Mwenyezi Mungu atuumbe na kutuleta duniani...
As a matter of fact , dalili kwenye nature Zina suggest kwamba, aliye tuumba na kutuweka duniani amejificha na bado haja communicate chochote na sisi viumbe wake kujidhihirisha kwetu ila anataka sisi wenyewe tutumie akili ambazo ametupa kumjua yeye ni nani,kwanini ametuumba, jina lake halisi anaitwa nani( So far mpaka Sasa hakuna mwanadamu ambae analijua jina halisi la.Mwenyezi Mungu) etc.
Na hiki ndicho ninacho kifanya. So far tayari nimesha suggest nadharia kama 4 kwanini ninadhani sisi tumeletwa hapa duniani na Leo nina kuja na nadharia namba Tano ...
Stay tuned. Inakuja very soon
Mafundisho ya Dini hizi yanasema bila aibu kwamba ; ๐๐๐๐
" Mwenyezi Mungu alituumba wanadamu ili tumuabudu"
Nikasema kuwa hoja hii ni ya kitoto sana Kwa sababu kwanza inakwenda kinyume kabisa na sifa za Mungu kama zilivyo andikwa kwenye Biblia, Qur'aan na Talmud.
Kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu hivyo ni kwamba Mungu ni Mwanzo na Mwisho. Hana Mwanzo wala mwisho . Wala hafananishwi na kitu chochote Kile.
Amekamilika na anajitosheleza Kwa kila kitu.
So unaposema " Mungu ametuumba ili tumuabudu", tafsiri Yake ni kwamba unasema " Mungu na yeye ni muhitaji. Anahitaji kuabudiwa" Ndio maana wasio muabudu kwa mujibu wa mafundisho hayo watachomwa kwenye moto wa Jehanamu..
Nikawauliza mashekhe na wachungaji.
Okay mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu Je tusipo muabudu atapungukiwa na Nini? Wakajiuma uma wakasema " Hatopungukiwa na kitu"
Nikawauliza Tena " Je tukimuabudu Mungu kitu gani kitaongezeka kwake?
Jibu likawa . Hakuna kitu.
Then nikawauliza kama ndo hivyo Sasa Kwa Nini mnasema Mungu ametuumba ili tumuabudu?
Majibu yao ni vitisho vitisho tu vya kitoto.
Ila sijawalaumu Kwa sababu najua tofauti Kati ya Dini na sayansi katika suala zima la kutafuta majawabu ya maswali ambayo universe inatuuliza ni moja.
Religion is searching for the answers from the conclusion where are science is searching for the answers towards the conclusion.
Kwa mfano swali " Hivi Kwa Nini binadamu tupo duniani?"
Dini tayari imesha conclude kwamba tupo hapa Kwa ajili ya kumuabudu Mungu but science bado inatafuta majibu.
As u can see tayari Dini imekuweka kwenye corner ya " Tumeumbwa ili tumuabudu" So udadisi wako lazima Uwe revolved around " Tumeumbwa ili tumuabudu"
Uanze kutafuta dalili kwenye nature ambazo Zina suggest kwamba Mungu ametuumba ili tumuabudu. ( The nature does not suggest this )
Ukiniuliza nina fikiri ni Kwa Nini sisi tupo hapa duniani, jibu ambalo ni sahihi kuliko yote ni hili hapa chini๐๐๐๐๐
Anaejua sababu halisi Kwa Nini sisi wanadamu tupo hapa duniani ni yule aliye tuumba na kutuleta hapa duniani.
Hilo hapo juu ndio jibu sahihi kuliko yote juu ya swali kwanini binadamu tupo duniani.
However pamoja na usahihi wa jibu hilo hapo juu still bado sisi kama wanadamu tunalo jukumu la kutumia akili ambazo ametupa Mungu ili tujue ni sababu Gani hiyo ambayo imemfanya Mwenyezi Mungu atuumbe na kutuleta duniani...
As a matter of fact , dalili kwenye nature Zina suggest kwamba, aliye tuumba na kutuweka duniani amejificha na bado haja communicate chochote na sisi viumbe wake kujidhihirisha kwetu ila anataka sisi wenyewe tutumie akili ambazo ametupa kumjua yeye ni nani,kwanini ametuumba, jina lake halisi anaitwa nani( So far mpaka Sasa hakuna mwanadamu ambae analijua jina halisi la.Mwenyezi Mungu) etc.
Na hiki ndicho ninacho kifanya. So far tayari nimesha suggest nadharia kama 4 kwanini ninadhani sisi tumeletwa hapa duniani na Leo nina kuja na nadharia namba Tano ...
Stay tuned. Inakuja very soon