Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

Kuabudiwa ilikuwa sio kusudi kuu la Mungu,Soma kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza yote upate kusudi kuu la uhumbaji wa mwanadamu (
Mwanzo 1:28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. )hii la kiutawala zaidi hayo mambo ya kuabudiwa ni kueshimu kile Mungu alichokupa.

Stay tuned. Inakuja very soonk
 
Kama kila kila kitu kilichopo lazima kiwe na muumbaji wake wa kwanza, Hata muumbaji wa kila kitu lazima awe na muumbaji wake mwingine wa kwanza.

Huwezi kumu exclude huyo muumbaji kwenye uumbaji, Halafu uanze kufosi kwamba binadamu waliumbwa.
Muumbaji ni spirit/energy can not be created nor destroyed ila binadamu ni kiumbe lazima kizaliwe na mtu
 
Mtoa maada unatuambiaje sasa lengo letu la kuwa hapa duniani ni lipi, na unataka tuishije kama hatutokuwa na muongozo. hv kuna taifa lisilo na katiba
 
Muumbaji ni spirit/energy can not be created nor destroyed ila binadamu ni kiumbe lazima kizaliwe na mtu
Hata binadamu ni Energy.

Spirit is not an energy.

Spirit is a religious illusion.
 
Huoni kwamba walioandika Biblia waliandika mawazo Yao tu na Sio ufunuo kutoka Kwa MUNGU?
Inaweza kuwa sahihi na kama ikawa kweli ni hivyo basi hata hiyo reference ya andiko la kwanini tuliumbwa ni batili lakini pia italeta ukakasi kwenye mambo mengi ambayo tutakua tukiyasema hapa kwa maana kiini cha mambo haya ya kimungu huwa kinaanzia kwenye hayo maandiko kwa maana ya bible.

Unaweza ukasema hapana kwa maana ya nje ila kwa maana ya ndani huwezi kujenga hoja pasipo kuzipeleka fikra zako kwenye upande huo wa maandiko ingawa utajitajidi utoke ili uwe tofauti nayo ila lengo likiwa ni lile lile kukosoa kilichomo humo ndani.
Bado Hujajibu Maswali ya Mtoa Mada natamani Mtu aguse Mtoa mada anachomaanisha ili.Mjadala uwe mtamu
Nimemjibu moja kwa moja ya kwamba hapaswi kuwaza juu ya jambo hilo kwa maana mlengo wake mkuu ni kwanini tuliumbwa nami nikamwambia lengo la awali la uumbaji lilishapotea na badala yake watu tunaishi kwa kufuata taratibu zetu wenyewe pasipo kufuata malengo yoyote yanayotokea kwenye ulimwengu wa juu.

Kwahiyo hakuna lengo lolote lililopo zaidi ya kuzaliana na kuongezeka tu.
 
Hata binadamu ni Energy.

Spirit is not an energy.

Spirit is a religious illusion.
Enegy inazaliwa na binadamu??
Hata binadamu ni Energy.

Binadamu ni Energy inayozalisha energy nyingine.

Sasa huelewi nini?

Hata binadamu ni Energy.

Binadamu ni Energy inayozalisha energy nyingine.

Sasa huelewi nini?
duh: kwamba huu mwili unaooza ni energy na inapata mimba inaenda hospitali kuzalishwa ili izae enegry nyingine .nadhani hujajua nini maana ya energy
 
Nafikiri tuwe tunaweka ungalifu yani, mada hii tunajadili kwa rejea gani? Kama ni Sayansi twende kisayansi , kifalisafa iwe kifalisafa au kwa msingi wa imani..... maana kama hatuweki rejea nini? Hatuwezi kupata hitimisho, maana mwingine anasema mtu akuumbwa hiyo ni theory na mtu kuumbwa ni theory
 
Enegy inazaliwa na binadamu??



duh: kwamba huu mwili unaooza ni energy na inapata mimba inaenda hospitali kuzalishwa ili izae enegry nyingine .nadhani hujajua nini maana ya energy
What is energy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…