nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
-
- #61
Nielekeze vizuri mkuu kwa vip?Siku hizi huduma za LATRA kwa pikipiki na Bajaji ni online (kama ilivyo kwa Magari) hupati huduma kama una kadi FEKI maana mfumo umeunganishwa na TRA, Dar ujanja ni mwingi but kila lakheri.
Kule kuna rafiki yangu yupo kongoe atanisaidiaKuwa extra careful 😃 ukiweza nenda na raia wengine kama wanne hivi 😃 just incase
Zakhem ukishuka stend kwenye barabara ya vumbi, inayotenganisha eneo la jeshi na raia,cheki fremu za raia zipo sehemu 2,wanauza pikipiki 100 kidogoMaeneo gani mkuu
Mmoja!?? Serious!?? Aya bhana!Kule kuna rafiki yangu yupo kongoe atanisaidia
Millioni moja na laki nato, tvsBei gani tafadhali
Kwamba nikifika kitonga niendeshe? Jamaa vip wewwTVS unaisafirisha kwa lori! Anza safari saa 10 alfajiri saa 1:30 uko Morogoro, saa 4:00 uko Mikumi mjini. Saa 7:00 uko Kitonga, hapa hauna deni umemaliza milima yote Iringa hiyoo! Unapiga mdogomdogo unabeba abiria wanaoelekea upande wa Iringa tu mpaka maeneo ya Ilula unamtafute Rasta akuchekie oili ukiweza mwaga yote weka mpya, hapo sasa taratibu hakikisha saa 1:30 unaingia Iringa giza watu wasikuone wasije wakakuroga uwashitukize asubuhi unakisafisha na kukipiga polishi, mwisho unamalizia kwa kukikamulia ulanzi mkangafu kukipongeza kwa ujasiri wake na uaminifu kwa kukufikisha salama.
Baada ya kununua ulifata taratibu zipi?Millioni moja na laki nato, tvs
No, huu sio uzi wa misala mkuuUmesharipoti polisi kwa kesi ya simu uliyopewa na mama ako baada ya kuiokota..
Mkuu shukrani kwa elimu nimekupmActually humu kuna wajuaji wengi yaani JF imekuwa kama facebook alot of useless scumbags watu hawana ABC au hata hawaelewi muanzisha uzi anataka nn mpaka kuanzisha thread, soo pathetic!!!
Muanzisha uzi kama unazipata pikipiki vizuri ww fika ikague na itest pikipiki ukiipenda lipia.
Kwenye kusafirisha ww utachagua mwenyew kwa lori kwa Basi ni ww tu ukitaka kwa basi ni bora ukaenda kuulizia kwanza sio gari zote wanapaki.
Kabla ya kupakia toa side mirrors na mafuta kwenye tenki. Safari nje!!!! uzuri wa basi bei zao sio kubwa na kufika unafika unawasha chuma safari kuelekea unapoishi🤝
Kuhusu Pikipiki used hakikisha unazijua au unajua changamoto ya pikipiki unayotaka kununua iwe na kadi na uihakiki kwa njia ya mtandao piga menu kwenye hii mitando fanya kama unataka uikatie BIMA uone umiliki kama unafanana na ule wa kwenye KADI.
Kwa TVS kagua CABURATOR utendaji kazi wake,maana huwa zinasumbua ukizingatia hujui mtumiaji alikuwa na uelewa gani katika umiliki wa chombo na utunzaji wake ukoje. Kingine kwa TVS sikiliza mlio wa injini kama inavimilio humo visivyo vya kawaida baada ya kupandisha na kushusha sailensa achana nayo, ukiona muungurumo wa jiko(injini) huuelewi achana na hiyo chuma pia kagua NATI ZA kwenye engine kama zimesagikasagika ujue hiyo imefunguliwa funguliwa sana.
Vingine vinarekebishika ukifika fanya service ya ukweli badilisha break shoe zote,beringi na mwaga OIL weka mpya tumia oil ya TOTAL mwaga hiyo uliyokuta humo hata kama watakwambia wamekuwekea mpya mwaga weka yako,,,Dar wanaoil za kupima zile nzito(bei chee) ambazo sio nzuri kwa pikipiki.
TVS 125 HLX(ROHO YA PAKA)NDO PIKIPIKI YA KUNUNUA USED HIZO NYINGINE BORA UJICHANGE UNUNUE MPYA!!!!
🤝ADIOS AMIGOS🤝
Tafadhali usinialikie jeshi la matapeliKama bado hujachukua, kuna mtu yupo kipati hapo anakuconnect na wstu wa usafirishaji kabisa
Hujui kuendesha ?Ananiendesha nani? Vip akija nichenjia njiani vip kuhus usalama wangu?
Ndo maana sijaweka namba ya simu, zaidi ya kukutajia "kipati". Ambayo ji vituo viwili kutoka hapo mbagala, napo kuna ofisi ya kuuza hizo pikipiki na bajaji mkuu.Tafadhali usinialikie jeshi la matapeli
Kwa dar siwezi endesha mkuu wala sina huo ujanja wataniuaHujui kuendesha ?
Ndo maana sijaweka namba ya simu, zaidi ya kukutajia "kipati". Ambayo ji vituo viwili kutoka hapo mbagala, napo kuna ofisi ya kuuza hizo pikipiki na bajaji mkuu.
Au nakua nimefanya marketing mkuu🤣