Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wewe ni kuibe una Hela Gani mkuuMmm! Wewe jirani yangu tangu lini unayo pikipiki! Muwe na imani wizi mbaya kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kuibe una Hela Gani mkuuMmm! Wewe jirani yangu tangu lini unayo pikipiki! Muwe na imani wizi mbaya kaka.
Kwa ajili ya 1.2m TZS?Kuwa extra careful 😃 ukiweza nenda na raia wengine kama wanne hivi 😃 just incase
Hapana usiogope kama ana ofisi mwambie akupe dereva anaemwamini hawezi zingua kama hakuna ofisi ni kipengeleAnaniendesha nani? Vip akija nichenjia njiani vip kuhus usalama wangu?
Unaiona ndogo? Kwani Hao Boda wanaouawa na kusabishiwa ulemavu unahisi Wezi huwa wanauza bei gani?Kwa ajili ya 1.2m TZS?
Ndo hiyu huyu ana case ya simu ya wiziKweli mkuu kuna mwingine analia humu kwa simu ya kuokota vya karibu na bure vina gharama asije akanunua kesi ya mtu alisha nyang'anywa Uhai
Yaani boda boda amalize mkataba halafu auze pikipiki?Dar ndo soko la pikipiki used zipo sana maana Bodaboda ndo biashara ilipo kubwa so wakimaliza mikataba wanaziuza kwa hao madealer alafu madelear wanaziuza tena kwa wateja wanaoshindwa kununua mpya wanataka za used.
Kwako ni pesa ndogo ila kwa wengine ni mtaji wa biasharaKwa ajili ya 1.2m TZS?
Mimi sipo hapo Dar nipo kikazi ila ukitaka wife yupo hapo nyumbani na documenti zote zipo nyumbani Wala hakuna utapeli .Ipost pm hapa kabla sijachoma oil mkuu
Mwendo kasi ndio chanzo cha ajali nyingi barabaraniHow mkuu?
Ndo zip izo mkuuTafuta ofisi za watu credit utapata pikipiki nzuri
Achana Na ile mikosiUsha report police kwanza kijana muokota simu au una leta fujo
Wanauza Sana mkuu. Mara nyingi wanauza ili wanunue vitu vya magetoni Kama tv, muzik n.k.Yaani boda boda amalize mkataba halafu auze pikipiki?
Wakati ndio kwanza anaanza kuimiliki rasmi baada ya mkataba wake wa majeresho kwa boss kuisha!
Duh aise.Wanauza Sana mkuu. Mara nyingi wanauza ili wanunue vitu vya magetoni Kama tv, muzik n.k.
Halafu anachukua mkataba mwingine.
Tawn hapa bi dada nimekupmMsala wa simu ushaumaliza,?
Pm Mimi sikujui, ndio wapi huko?Tawn hapa bi dada nimekupm
Ndo huyu huyu nipo online alikua anajichanganya mara kapewa na mama mara kaokotaKweli mkuu kuna mwingine analia humu kwa simu ya kuokota vya karibu na bure vina gharama asije akanunua kesi ya mtu alisha nyang'anywa Uhai
nchi ngumu hii😄😄😄Ahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣
Mjini bwana yaani mtu anaamka asubuhi kwenda kudalalia jasho la mwenzake