Naendelea kuunga mkono Urusi; Hoja zangu hazijajibiwa

Naendelea kuunga mkono Urusi; Hoja zangu hazijajibiwa

Kwako wewe Usalama wa raia wa Ukraine hauna maana; yaani unafurahia kuwaona wauwawa bila kosa vile?

Hicho kivuli cha Urusi kudai usalama wake ni bogus kabisa na ni wapumbavu tu wanaoweza kukiamni. Urusi inapakana moja kwa moja na Marekani kwa karibu sana wakitenganishwa na eneo dogo sana la Berring Sea; mtu anaweza kuogelea kutoka Alaska kwenda Urusi na kurudi, lakini bado hawajahi kuweka jeshi kubwa pale au kusema waipige Alaska ili kulinda usalama wao.

Kwa nyie msiolewa, ukweli ni kuwa Putin anataka nchi zote zilizokuwa USSR zamani zote ziwe chini yake na zifuate amri yake tu; ni sawa na kusema Uingereza ilazimishe nchi zote zilizokuwa makoloni yake yafuate matakwa ya uingereza tu, jambo ambalo haliwezekani kabisa katika dunia ya leo. Nchi zile zilizobaki chini ya matakwa wa Putin ni zile ambazo zina marais wa maisha, kwa mfano Belarus, Azerbaijan na nyinginezo ambazo rais hachaguliwi na wananchi. Halafu Putin ana ubaguzi sana kwani anabagua wote wasiokuwa warusi kama vile hawana maana; utaona amekuwa analazimisha maeneo ya Ukraine ambayo yana watu wengi wenye asili ya urusi yajitenge na amekuwa anawapa silaha. Na anavyouwa watu wengine wa Ukrainei ni kwamba anona hawastahili kuishi anataka awamalize wote.
kama anaweza kuwamaliza acha awamalize wote ila anatakiwa ahakikishe majambo haya
jambo la kwanza
nimaslahi na usalama wa urusi haupo matatani
jambo la pili
nimaslahi na usalama wa urusi haupo matatani
najambo latatuuu
nimaslahi na usalama wa urusi haupo matatani
jibuni hoja za yericko sio vihoja
 
kama anaweza kuwamaliza acha awamalize wote ila anatakiwa ahakikishe majambo haya
jambo la kwanza
nimaslahi na usalama wa urusi haupo matatani
jambo la pili
nimaslahi na usalama wa urusi haupo matatani
najambo latatuuu
nimaslahi na usalama wa urusi haupo matatani
jibuni hoja za yericko sio vihoja
Na wewe unakuja na majibu hafifu tu; hakuna sababu yyote inayohalaisha hmashambulizi hayo. Anajali usalama wa urusi dhidi ya nani; yaani anaogopa nini. Kama anaogopa Marekani, bado anapakana na Marekani kwa karibu sana kule bahari ya Pacific kuliko hiyo nchi ndogo ya Ukraine ambayo imezungukwa na urusi sehemu tatu za dunia. Aliingia jeshi la askari 190,000 na vifaru zaid ya 200 kutoka pande tatu za dunia lakini bado amekwama. Anachofanya na kutumia makombora ya mbali kufanya uharibifu mkubwa na mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yoyote tu, kosa lao ni kwa vile wao ni waukraine, kama hiyo siyo genocide ni nini.
 
Siyo kweli. Marekani hakusababisha uharibifu huo; uharibifu ulisababishwa na walibya wenyewe walipoiga kufanya mapinduzi kama ya Tunisia. Marekani lisaidia upande mmoja wa mgogoro lakini siyo kuwa ilitangaza vita na Libya na kuiweka masharti ya kufanya. Hali ilikuwa vivyo hivyo kwa Misri na Syria, vurugu zilianzishwa na raia wenyewe.
huo upande alosaidia US alienda kupeleka viroba vya vyakula?
kama US alisaidia upande mmoja hata RUSSIA nao wanasaidia upande mmoja kwakuzihami jamhuri ya Luhansk na Donesk dhidi ya madhila vurugu na vurumai zinazoelekezwa kwao kutokea KIEV
kama US alikua sahihi na RUSSIA yupo sahihi na anatakiwa awachape kweli kweli mpaka wasalimu Amri
 
Kuna makosa natika perspectives zako, yaani unatoa tafsiri zisizo za kweli. Miaka ya nyuma kidogo wakati wa Kikwete, Marekani ilitaka kufungua ofisi yake ya Africa Command hapa Tanzania kwa vile sasa hivi iko ujerumani ambako ni mbali sana na Africa. Tanzania ilikataa, na wala hawakutumia nguvu kutulazimisha tukubali ingawa wangeweza kufanya hivyo kwa mabavu kama haya ya urusi.

Cuba haijawahi kuzuiliwa kuwa mshirka wa Urusi, in fact maisha ya cuba yamekuwa yanaitegemea urusi miaka yote. Walizuiwa kutumika kama kituo cha kijeshi cha urusi, lakini siyo kuwa na urafiki na urusi.

China na Taiwani kuna mgororo wa kihistoria baina ya Chiang Kai Shek na Mao ambao bila kuuelewa umekimbilia kwenye false conclusions
wanakataliwa kua kituo chakijeshi wao kama nani wakuwaktalia wenzao?
kama unasapoti hilo la US kumkatalia CUBA kua kituo chakijeshi cha US unapingaje hili la RUSSIA?
 
Hujajibu swali,unahisi ni kwa nini Putin alifanya hujuma kwanza miji inayoongea kirusi ijitenge kwanza ndio aanze michakato wa kuivamia Ukraine?..
Humanitarian corridor ni makubaliano ya pande zote mbili,hata hivyo Urusi amekuwa akikiuka makubaliano ya humanitarian Corridor haya kabla muda haijaisha,Kule Mariupol mji wite umakuwa magofu,waliweka ceasefire angalau watu wapate maji,Russia few hours wakaanza bombardment.
bado na KIEV kua magofu kama ulivyokua BAGHDAD ALEPPO BASRA TRIPOLI BENGHAZI nk
RUSSIA yupo sahihi
 
Na wewe unakuja na majibu hafifu tu; hakuna sababu yyote inayohalaisha hmashambulizi hayo. Anajali usalama wa urusi dhidi ya nani; yaani anaogopa nini. Kama anaogopa Marekani, bado anapakana na Marekani kwa karibu sana kule bahari ya Pacific kuliko hiyo nchi ndogo ya Ukraine ambayo imezungukwa na urusi sehemu tatu za dunia. Aliingia jeshi la askari 190,000 na vifaru zaid ya 200 kutoka pande tatu za dunia lakini bado amekwama. Anachofanya na kutumia makombora ya mbali kufanya uharibifu mkubwa na mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yoyote tu, kosa lao ni kwa vile wao ni waukraine, kama hiyo siyo genocide ni nini.
hakuna genocide mmefunga TV za RUSSIA kulisha watu matango pori
Zelensky kayataka kuwapa raia silaha waingie vitani wakat hawana hata mafunzo yakivita kama kunahio Genocide mnayoisemea mlengwa wakwanza wakuhukumiwa nihuyo Comedian
RUSSIA wapo sahihi MKUU
 
Siyo kweli. Marekani hakusababisha uharibifu huo; uharibifu ulisababishwa na walibya wenyewe walipoiga kufanya mapinduzi kama ya Tunisia. Marekani lisaidia upande mmoja wa mgogoro lakini siyo kuwa ilitangaza vita na Libya na kuiweka masharti ya kufanya. Hali ilikuwa vivyo hivyo kwa Misri na Syria, vurugu zilianzishwa na raia wenyewe.
Nyamaza wewe, nyamaza. Kama Obama anakiri mwenyewe katika viti anavyojutia katika utawala wake ni kiivamia Libya wewe ni nani unepinga hapa, nyamaza hujui kitu.
 
Nakili wazi bado sijapata majibu ya hoja zangu tatu za kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za Kijeshi Ukraine. Hoja zangu hazijajibiwa, wanaojaribu kujibu wanajibu kwa hisiasa zao bila kugusa hoja za msingi nilizozijenga wakati naweka msimamo wangu kwamba naunga mkono Urusi katika mgogoro huu. Leo ni siku ya 15 bado sijajibiwa na kushawishika kutengua msimamo wangu. Wakati naweka msimamo nilijenga sababu kuu Tatu na kuziorodhesha kama ifuatavyo;

SABABU YA KWANZA: ya kuunga mkono Urusi ni kwamba ni hatua muhimu ya kukomesha mauaji ya miaka karibu kumi sasa yanayofanywa na Ukraine dhidi ya Wananchi wa Majimbo ya Luhansk na Donetsk. Kwa msiojua Mtangulizi wa Rais Zelensk wa Ukraine, bwana Petro Poroshenko tangu ashike madaraka 2014 aliendesha mauaji ya wapinzani wengi katika majimbo ya DPR na LPR yaliyotaka kujitenga hadi alipoondoka tu vita havikumalizika.

Alipoingia Zelensk nae akafuata nyayo za mtangulizi wakw, akaigeuza Ukraine kuwa jehanamu kwa aliowaita waasi, aliendesha mauaji makubwa sana hasahasa 2021 dhidi ya raia kule katika miji ya Donbass katika kile alichokiita kudhibiti waasi wanaotaka kujitenga. Dunia hii ilikaa kimya, Urusi ikawa ndio pango la kupokea wakimbizi zaidi la laki tatu, Kiongozi Jimbo la Donetsk Bwana Denis Pushilin amenusurika mauaji zaidi ya marakumi hadi alipoomba ulinzi wa kimataifa kutoka Moscow, na mwisho akaongoza mapambano na kufanikiwa kujitangazia Uhuru.

Vile vile kiongozi wa jimbo la Luhansk bwana Leonid Pasechnik nae ilimlazimu kutafuta hifadhi ya kisiasa Moscow kwa lengo la kunusuru maisha yake dhidi ya Rais wa Ukraine bwana Zelensk aliyeapa kufuta uasi katika majimbo hayo, Aliongoza mapambano kwa ushirika wa Kiongozi wa jimbo la Donetsk bwana Pushilin na hatimaye wiki jana wamefanikiwa kumshinda Zelensk na Kujitangazia Uhuru. Urusi imeyatambua majimbo hayo kama nchi huru, Belarus na nchi nyingine tano tayari zimetambua. Ukraine imepinga uhuru huo ikaapa kuendesha vita nzito zaidi dhidi ya waliojitenga, Hatua hiyo ikawalazimu viongozi wa mapinduzi waombe msaada wa kijeshi kutoka Urusi. Na wameupata. Oparesheni ya Urusi ndio mwarobaini wa kukomesha mauaji ya miaka zaidi ya kumi sasa, kinyume na hapo miji itaendelea kuvuja damu kila kukicha.
Hoja hii ya kwanza inaungwa mkono na documentary hii ilitoka miezi sita nyuma kabla ya hii vita kuanza link Ukraine on Fire


SABABU YA PILI; ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kutaka kujenga ngome ya kijeshi Ukraine, na katika kutimiza hilo Marekani kwakutumia washirika wake wa Nato wakamshawishi avunje Mkataba wa Minsk wa 2015 pamoja na mambo mengine, ulisema Ukanda wa Kaskazini Magharibi mwa Urusi (Ukraine) uliokuwa Umoja wa Kisoviet ya zamani Hautaruhusiwa kujiunga na Umoj wa Ulaya. Katika kibri cha Zelensk akaomba kujiunga Umoja wa Ulaya. Moscow akajibu kwa moto.

SABABU YA TATU; ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kupitia shirika lake la kijasusi la CIA kuvuruga dili la Urusi la kujenga bomba la awamu ya pili la gesi maarufu kama NORD STREAM II, ambalo lingelisha gesi Ulaya yote kwa 90% tofauti na sasa mbapo Ulaya inategemea gesi ya Urusi kwa 40% tu, Marekani ameitumia Ukraine kukwamisha mradi huu na baadhi ya nchi za Nato. Kitendo hiki ilikuwa ni uchokozi wa kiuchumi na kijasusi, Jibu la Urusi limeanzia kwa Ukraine kwanza.

Hoja ya kwanza na ya tatu hazijaguswa na yeyote na nikama vile hawaoni kama ni sababu ama laaa, Lakini wako watu wachache wamejaribu kujibu kwakudonoa hoja moja tua hasa ile ya pili ndio imerudiwarudiwa kujibiwa lakini kwa majibu mepesa yanayotafsiri kwamba wengi hawaelewi dhana ya dunia na nguvu zake ama kijasusi huitwa Ushawishi wa Nchi, Na wako wengine waliweka msimamo tu wakupinga vita bila kueleza sababu, hawa dhana yao inalalia kwenye hoja ya pili pia bila kuwa na vuungo vya hoja.

Katika kuifafanua hoja ya pili na kuikazia hoja yangu ya kwanini naunga mkono Urusi. Naomba niseme kwamba, Dunia inawatu wanaotwa Wafanyamaamuzi, na kuna anaoitwa Watekelezaji wa maamuzi. Yaani kuna Super power countries, Karne ya 19 mkubwa duniani (Super power) alikuwa ni Urusi (Soviet Union), huyu aliamua mwelekeo wa dunia hadi alipoanguka 1989. Pamoja na kwamba Marekani alikuwepo na nguvu, lakini dunia ilikuwa na balance ya nguvu za kimagharibi na Mashariki.

Sijui kama watu wanakumbuka tukio la Cuban missile crisis USSR la October - November 1962, Soviet katika kilele cha nguvu zake na ubabe duniani waliweka makombora (missile) Cuba, kama eneo muhimu la kueneza Ujamaa Amerika ya Kusini na Kaskazini pia, Marekani walipofahamu tu jambo hili, ukaibuka mvutano mkubwa duniani uliohatarisha vita kuu ya pili duniani, Marekani walikizunguka Kisiwa cha Cuba kwa Meli na ndege kwa mwezi mzika, na mwisho makombora hayo yaliondolewa na Russia baada ya majadiliano ya mezani kama wakubwa sio vinginevyo. Marekani walionao ni hatari kwa usalama wao Soviet kuweka kituo chao cha Kijeshi Cuba, Tambua Cuba ilikuwa nchi huru kama Ukraine, yaani Cuba ileile ya mjamaa halisi Fedel Castro ambae alikuwa ni adui mkubwa wa Marekani hadi kufa kwake. Sasa anayeamini kuna uhuru wa nchi mbele ya Super power countries huyo bado ni mtoto duniani, akae kitako tuendelee kumfundisha kwamba uhuru unaojadiliwa na kusimuliwa ni ule wa kisiasa wa ndani tu wa vyama vya siasa na wa kuzungumza, nje ya hapo dunia ya tatu haiko huru na haitakuwa huru. Uhuru ni dhana pana sana. Haihusiani na Maslahi ya nchi kwa Marekani, Urusi na Uchina japo uchina bado hajajikomboa kufika viwango vya hawa wawili.

Sasa karne ya 21 Maslahi ya Urusi yanaguswa, Russia nae ana haki hiyo dhidi ya Ukraine. Uhuru wa nchi zote za mlengo wa kushoto unategemea msimamo wa Moscow, Hilo upende au usipende ndivyo dunia ilivyo. Vile vile Uhuru wa Nchi zenye mlengo wa Kulia unategemea msimamo wa Washington. Sera ya mambo ya nje ya Marekani ni muhimu na hutazamwa ndio eneo la usalama wa Marekani, Vivyo hivyo Sera ya Mambo ya nchi ya Urusi hii mpya chini ya Waziri shupavu Sergio Lavrov inalindwa kwa wino mwekundu kabisa kwakuwa ndio roho ya Kremlin.

Pengini watu hawajafahamu msingi wa India ambayo ni nchi muhimu sana kwa Urusi katika kuishinda Marekani kwenye vita vya ushawishi duniani kitendo cha kutochagua upande, na kwake ina maana kubwa sana katika geopolitics autonomy. India ni mteja mkubwa wa silaha za Urusi na ndege binsfsi. Hayuko tayari kupoteza fursa hiyo.

Nchi muhimu kwa USA za Israel, Saudia Arabia, UAE licha ya kuombwa kukemea operesheni ya kijeshi hadharani zimeamua kutochagua upande ni jambo tofauti kabisa na matarajio ya Marekani, sawa kabisa na nchi yangu ya Tanzania isiyofungamana na upande wowote.

Wako waliokosa hoja za kuipinga Urusi, badala yake wanabeza kwakusema kwanini hadi leo siku ya 15 bado tu Urusi haijateka mji mkuu Kyiv? Kwamba hii inaonyesha Urusi ali underrate vita hii, na kwamba Urusi ameshindwa vita. Binafsi naomba niwajibu hawa ndugu, Kama tutakubaliana kwa imani yangu ya Mizimu toka Mbutu Block E, Kigamboni niwakumbushe tu kwamba, Russia alilivamia Afghastan mwaka 1979 na kuondoka 1989, yaani aliikalia Afghanistan kimabavu kwa miaka 10 na alifanya hivyo baada ya Marekani Mjomba wake NATO kujaribu kuingilia vita kwakufadhili makundi ya ya Taliban ambayo makundi hayohayo baadae Marekani huyohuyo akatutangazia kuwa ni makundi ya Kigaidi.

Watu hawa wanaoipinga Urusi wanaenda mbali wanasema Marekani alivamia Iraq kwa siku chache tu akitokea Marekani, iweje Urusi iliyoko jirani na Ukraine inadhindwa kumaliza vita hadi leo? Majibu yangu kwao ni kwamba, Vita vya Marekani na Iraq vilipiganwa kutokea nchi vibaraka za Kuweit (669.9 km hadi mji mkuu Baghdad), Afghanistan (2,156 km hadi mji mkuu Baghdad) na Pakstan ( 2551 km hadi Baghdad). Havikupiganwa tokea moja kwa moja Marekani.

Vita vya Urusi na Ukraine vinapiganwa tokea Cremia (2,098.7 km hadi mji mkuu Kyiv), Donetsk (722.7 km hadi mji mkuu Kyiv) Luhansk (831.3 km hadi mji mkuu Kyiv) na Belarus (496.4 km hadi mji mkuu Kyiv). Izingatiwe na ieleweke kwamba, Marekani katika vita vya Uvamizi wake Iraq alikuwa na Ushirika wa Uingereza iliyovamia kutokea jiji la Basra, Ujerumani, Ufaransa, Australia, na ndugu wengine wa NATO. Lakini iliwachukua siku 23 hadi kuuteka mji mkuu Baghdad.

Je Urusi yuko na nani vitani, halafu hajapeleka jeshi lake halisi la Red Amy, anatumia majeshi ya nchi mpya zilizojitenga kama Cremia, Donetsk, Luhansk, Chechnia na wale Mercenary wa kirusi waitwao Wagner Group. Kuna majenerali wachache toka Vikosi maalumu Urusi wanaoongoza oparesheni lakini jeshi rasmi la Urusi liko standby kusubiri USA au NATO atie pua, Kilichomuondoa duniani Hitler watakiona live. Vita hivi vitaisha Urusi na Marekani wakikaa chini na kukubaliana yaani mazungumzo ya amani na si vinginevyo

Bado unasubiri nini?

Soma vitabu (Soft copy) vya Yericko Nyerere kwa 5,000/= tu kwa wiki kupitia App bora kabisa ya Vitabu Tanzania. Pakua sasa jisajili lipia wiki, mwezi au mwaka ujisomee vitabu vyote kupitia Play store Link 👉👉👉Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

View attachment 2152327
Communism source ya madikteta duniani
 
Nakili wazi bado sijapata majibu ya hoja zangu tatu za kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za Kijeshi Ukraine. Hoja zangu hazijajibiwa, wanaojaribu kujibu wanajibu kwa hisiasa zao bila kugusa hoja za msingi nilizozijenga wakati naweka msimamo wangu kwamba naunga mkono Urusi katika mgogoro huu. Leo ni siku ya 15 bado sijajibiwa na kushawishika kutengua msimamo wangu. Wakati naweka msimamo nilijenga sababu kuu Tatu na kuziorodhesha kama ifuatavyo;

SABABU YA KWANZA: ya kuunga mkono Urusi ni kwamba ni hatua muhimu ya kukomesha mauaji ya miaka karibu kumi sasa yanayofanywa na Ukraine dhidi ya Wananchi wa Majimbo ya Luhansk na Donetsk. Kwa msiojua Mtangulizi wa Rais Zelensk wa Ukraine, bwana Petro Poroshenko tangu ashike madaraka 2014 aliendesha mauaji ya wapinzani wengi katika majimbo ya DPR na LPR yaliyotaka kujitenga hadi alipoondoka tu vita havikumalizika.

Alipoingia Zelensk nae akafuata nyayo za mtangulizi wakw, akaigeuza Ukraine kuwa jehanamu kwa aliowaita waasi, aliendesha mauaji makubwa sana hasahasa 2021 dhidi ya raia kule katika miji ya Donbass katika kile alichokiita kudhibiti waasi wanaotaka kujitenga. Dunia hii ilikaa kimya, Urusi ikawa ndio pango la kupokea wakimbizi zaidi la laki tatu, Kiongozi Jimbo la Donetsk Bwana Denis Pushilin amenusurika mauaji zaidi ya marakumi hadi alipoomba ulinzi wa kimataifa kutoka Moscow, na mwisho akaongoza mapambano na kufanikiwa kujitangazia Uhuru.

Vile vile kiongozi wa jimbo la Luhansk bwana Leonid Pasechnik nae ilimlazimu kutafuta hifadhi ya kisiasa Moscow kwa lengo la kunusuru maisha yake dhidi ya Rais wa Ukraine bwana Zelensk aliyeapa kufuta uasi katika majimbo hayo, Aliongoza mapambano kwa ushirika wa Kiongozi wa jimbo la Donetsk bwana Pushilin na hatimaye wiki jana wamefanikiwa kumshinda Zelensk na Kujitangazia Uhuru. Urusi imeyatambua majimbo hayo kama nchi huru, Belarus na nchi nyingine tano tayari zimetambua. Ukraine imepinga uhuru huo ikaapa kuendesha vita nzito zaidi dhidi ya waliojitenga, Hatua hiyo ikawalazimu viongozi wa mapinduzi waombe msaada wa kijeshi kutoka Urusi. Na wameupata. Oparesheni ya Urusi ndio mwarobaini wa kukomesha mauaji ya miaka zaidi ya kumi sasa, kinyume na hapo miji itaendelea kuvuja damu kila kukicha.
Hoja hii ya kwanza inaungwa mkono na documentary hii ilitoka miezi sita nyuma kabla ya hii vita kuanza link Ukraine on Fire


SABABU YA PILI; ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kutaka kujenga ngome ya kijeshi Ukraine, na katika kutimiza hilo Marekani kwakutumia washirika wake wa Nato wakamshawishi avunje Mkataba wa Minsk wa 2015 pamoja na mambo mengine, ulisema Ukanda wa Kaskazini Magharibi mwa Urusi (Ukraine) uliokuwa Umoja wa Kisoviet ya zamani Hautaruhusiwa kujiunga na Umoj wa Ulaya. Katika kibri cha Zelensk akaomba kujiunga Umoja wa Ulaya. Moscow akajibu kwa moto.

SABABU YA TATU; ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kupitia shirika lake la kijasusi la CIA kuvuruga dili la Urusi la kujenga bomba la awamu ya pili la gesi maarufu kama NORD STREAM II, ambalo lingelisha gesi Ulaya yote kwa 90% tofauti na sasa mbapo Ulaya inategemea gesi ya Urusi kwa 40% tu, Marekani ameitumia Ukraine kukwamisha mradi huu na baadhi ya nchi za Nato. Kitendo hiki ilikuwa ni uchokozi wa kiuchumi na kijasusi, Jibu la Urusi limeanzia kwa Ukraine kwanza.

Hoja ya kwanza na ya tatu hazijaguswa na yeyote na nikama vile hawaoni kama ni sababu ama laaa, Lakini wako watu wachache wamejaribu kujibu kwakudonoa hoja moja tua hasa ile ya pili ndio imerudiwarudiwa kujibiwa lakini kwa majibu mepesa yanayotafsiri kwamba wengi hawaelewi dhana ya dunia na nguvu zake ama kijasusi huitwa Ushawishi wa Nchi, Na wako wengine waliweka msimamo tu wakupinga vita bila kueleza sababu, hawa dhana yao inalalia kwenye hoja ya pili pia bila kuwa na vuungo vya hoja.

Katika kuifafanua hoja ya pili na kuikazia hoja yangu ya kwanini naunga mkono Urusi. Naomba niseme kwamba, Dunia inawatu wanaotwa Wafanyamaamuzi, na kuna anaoitwa Watekelezaji wa maamuzi. Yaani kuna Super power countries, Karne ya 19 mkubwa duniani (Super power) alikuwa ni Urusi (Soviet Union), huyu aliamua mwelekeo wa dunia hadi alipoanguka 1989. Pamoja na kwamba Marekani alikuwepo na nguvu, lakini dunia ilikuwa na balance ya nguvu za kimagharibi na Mashariki.

Sijui kama watu wanakumbuka tukio la Cuban missile crisis USSR la October - November 1962, Soviet katika kilele cha nguvu zake na ubabe duniani waliweka makombora (missile) Cuba, kama eneo muhimu la kueneza Ujamaa Amerika ya Kusini na Kaskazini pia, Marekani walipofahamu tu jambo hili, ukaibuka mvutano mkubwa duniani uliohatarisha vita kuu ya pili duniani, Marekani walikizunguka Kisiwa cha Cuba kwa Meli na ndege kwa mwezi mzika, na mwisho makombora hayo yaliondolewa na Russia baada ya majadiliano ya mezani kama wakubwa sio vinginevyo. Marekani walionao ni hatari kwa usalama wao Soviet kuweka kituo chao cha Kijeshi Cuba, Tambua Cuba ilikuwa nchi huru kama Ukraine, yaani Cuba ileile ya mjamaa halisi Fedel Castro ambae alikuwa ni adui mkubwa wa Marekani hadi kufa kwake. Sasa anayeamini kuna uhuru wa nchi mbele ya Super power countries huyo bado ni mtoto duniani, akae kitako tuendelee kumfundisha kwamba uhuru unaojadiliwa na kusimuliwa ni ule wa kisiasa wa ndani tu wa vyama vya siasa na wa kuzungumza, nje ya hapo dunia ya tatu haiko huru na haitakuwa huru. Uhuru ni dhana pana sana. Haihusiani na Maslahi ya nchi kwa Marekani, Urusi na Uchina japo uchina bado hajajikomboa kufika viwango vya hawa wawili.

Sasa karne ya 21 Maslahi ya Urusi yanaguswa, Russia nae ana haki hiyo dhidi ya Ukraine. Uhuru wa nchi zote za mlengo wa kushoto unategemea msimamo wa Moscow, Hilo upende au usipende ndivyo dunia ilivyo. Vile vile Uhuru wa Nchi zenye mlengo wa Kulia unategemea msimamo wa Washington. Sera ya mambo ya nje ya Marekani ni muhimu na hutazamwa ndio eneo la usalama wa Marekani, Vivyo hivyo Sera ya Mambo ya nchi ya Urusi hii mpya chini ya Waziri shupavu Sergio Lavrov inalindwa kwa wino mwekundu kabisa kwakuwa ndio roho ya Kremlin.

Pengini watu hawajafahamu msingi wa India ambayo ni nchi muhimu sana kwa Urusi katika kuishinda Marekani kwenye vita vya ushawishi duniani kitendo cha kutochagua upande, na kwake ina maana kubwa sana katika geopolitics autonomy. India ni mteja mkubwa wa silaha za Urusi na ndege binsfsi. Hayuko tayari kupoteza fursa hiyo.

Nchi muhimu kwa USA za Israel, Saudia Arabia, UAE licha ya kuombwa kukemea operesheni ya kijeshi hadharani zimeamua kutochagua upande ni jambo tofauti kabisa na matarajio ya Marekani, sawa kabisa na nchi yangu ya Tanzania isiyofungamana na upande wowote.

Wako waliokosa hoja za kuipinga Urusi, badala yake wanabeza kwakusema kwanini hadi leo siku ya 15 bado tu Urusi haijateka mji mkuu Kyiv? Kwamba hii inaonyesha Urusi ali underrate vita hii, na kwamba Urusi ameshindwa vita. Binafsi naomba niwajibu hawa ndugu, Kama tutakubaliana kwa imani yangu ya Mizimu toka Mbutu Block E, Kigamboni niwakumbushe tu kwamba, Russia alilivamia Afghastan mwaka 1979 na kuondoka 1989, yaani aliikalia Afghanistan kimabavu kwa miaka 10 na alifanya hivyo baada ya Marekani Mjomba wake NATO kujaribu kuingilia vita kwakufadhili makundi ya ya Taliban ambayo makundi hayohayo baadae Marekani huyohuyo akatutangazia kuwa ni makundi ya Kigaidi.

Watu hawa wanaoipinga Urusi wanaenda mbali wanasema Marekani alivamia Iraq kwa siku chache tu akitokea Marekani, iweje Urusi iliyoko jirani na Ukraine inadhindwa kumaliza vita hadi leo? Majibu yangu kwao ni kwamba, Vita vya Marekani na Iraq vilipiganwa kutokea nchi vibaraka za Kuweit (669.9 km hadi mji mkuu Baghdad), Afghanistan (2,156 km hadi mji mkuu Baghdad) na Pakstan ( 2551 km hadi Baghdad). Havikupiganwa tokea moja kwa moja Marekani.

Vita vya Urusi na Ukraine vinapiganwa tokea Cremia (2,098.7 km hadi mji mkuu Kyiv), Donetsk (722.7 km hadi mji mkuu Kyiv) Luhansk (831.3 km hadi mji mkuu Kyiv) na Belarus (496.4 km hadi mji mkuu Kyiv). Izingatiwe na ieleweke kwamba, Marekani katika vita vya Uvamizi wake Iraq alikuwa na Ushirika wa Uingereza iliyovamia kutokea jiji la Basra, Ujerumani, Ufaransa, Australia, na ndugu wengine wa NATO. Lakini iliwachukua siku 23 hadi kuuteka mji mkuu Baghdad.

Je Urusi yuko na nani vitani, halafu hajapeleka jeshi lake halisi la Red Amy, anatumia majeshi ya nchi mpya zilizojitenga kama Cremia, Donetsk, Luhansk, Chechnia na wale Mercenary wa kirusi waitwao Wagner Group. Kuna majenerali wachache toka Vikosi maalumu Urusi wanaoongoza oparesheni lakini jeshi rasmi la Urusi liko standby kusubiri USA au NATO atie pua, Kilichomuondoa duniani Hitler watakiona live. Vita hivi vitaisha Urusi na Marekani wakikaa chini na kukubaliana yaani mazungumzo ya amani na si vinginevyo

Bado unasubiri nini?

Soma vitabu (Soft copy) vya Yericko Nyerere kwa 5,000/= tu kwa wiki kupitia App bora kabisa ya Vitabu Tanzania. Pakua sasa jisajili lipia wiki, mwezi au mwaka ujisomee vitabu vyote kupitia Play store Link [emoji117][emoji117][emoji117]Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

View attachment 2152327
Unaweza ukajiona Una akiri kumbe mpuuuzi tuuuuu
JamiiForums1165843294.jpg
 
Na wewe unakuja na majibu hafifu tu; hakuna sababu yyote inayohalaisha hmashambulizi hayo. Anajali usalama wa urusi dhidi ya nani; yaani anaogopa nini. Kama anaogopa Marekani, bado anapakana na Marekani kwa karibu sana kule bahari ya Pacific kuliko hiyo nchi ndogo ya Ukraine ambayo imezungukwa na urusi sehemu tatu za dunia. Aliingia jeshi la askari 190,000 na vifaru zaid ya 200 kutoka pande tatu za dunia lakini bado amekwama. Anachofanya na kutumia makombora ya mbali kufanya uharibifu mkubwa na mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yoyote tu, kosa lao ni kwa vile wao ni waukraine, kama hiyo siyo genocide ni nini.
Swali: Mbona Marekani alikataa kuwepo kwa military base ya urusi Cuba, despite the fact kwamba wanapakana upande wa Alaska?
 
. Izingatiwe na ieleweke kwamba, Marekani katika vita vya Uvamizi wake Iraq alikuwa na Ushirika wa Uingereza iliyovamia kutokea jiji la Basra, Ujerumani, Ufaransa, Australia, na ndugu wengine wa NATO. Lakini iliwachukua siku 23 hadi kuuteka mji mkuu Baghdad.
Ujerumani na Ufaransa hawakushiriki uvamizi wa Iraq labda ungeandika Poland japo ilichangia askari wasiozidi 200.
 
Swali: Mbona Marekani alikataa kuwepo kwa military base ya urusi Cuba, despite the fact kwamba wanapakana upande wa Alaska?
Na wewe kama Putin bado mnaishi miaka ya 60 ambapo hakukuwa na GPS wala cellphone. Na hata hivyo miaka hiyo bado diplomacy ilitumika, na wala hakukuwa na vita. Miaka ya hivi Karibuni Putin alipelekea jeshi Venezuela wala serikali ya Marekani haikusema kitu.

Putin ametembelewa na viongozi wa nchi nyingi kumshawishi kuwa vita siyyo suluhisho bali linatakiwa jibu la kidiplomasia, akawa anajibu kuwa hana mipango ya vita bali jeshi lake linafanya mazoezi tu lakini mwisho wake akavamaia ka-nchi ambako hakakauwa na maandalizi ya vita. Ukraine ilikuwa na silaha nyingi sana za Nyuklia ila mwaka 1994 lakini iliziharibu ote na kusema yenyewe itaishi kwa amani kwa majirani, Urusi ndiyo ilichukua silaha nyingi ambazo Ukraine ilitaka kuharibu. Kwa nini Putin hakutaka kutumia diplomacy kama siyo matokea ya kiburi na nia mbaya kwa Ukraine? Kwa nini hakushambulia Estonia, Latvia na Lithuania wakati zilipoomba kuwa kwenye NATO wakati hizo ndizo hatari sana kwa huo usalama wake kwa vile ziko karibu sana na St. Petersberg na Moscow kuliko Ukraine, na vile vile zinapakana na Bahari.

Sasa baada ya uvamizi huo na uharibifu wa mali na maisha ya raia wa kawaida wa Ukraine, acha uone umwamba wake utamfikisha wapi. Kwanza mpaka sasa hivi jeshi lake lote limebaki matope tu ndani ya Ukraine, wanakimbia na kuacha vifaru nyuma. Hiyo mizinga ya masafa marefu aliyokuwa anatumia kufanya uharibifu itaanza kudhibitiwa sasa kutoka na silaha mpya ambazo Ukraine imezipata kutoka Marekani. Kwa uvamizi huu, Ukraine baada ya vita si ajabu ikajenga jeshi la hatari sana kwa usalama wa Urusi kuliko Putin alivyotegemea, na huenda Ukraine ikapeleka majasusi Moscow kwenda kulipiza kisasi kwa uharibufu waliofanyiwa.
 
Bizarre logic. Labda kama lengo ni kuuza vitabu.

Sasa kama adui mkubwa wa Urusi ni Marekani na nchi za Magharibi kwa nini Putin asipeleke mashambulizi huko angalau kwa mmoja wao? Badala yake anawaangamiza ndugu zake jirani wasio na uwezo wa kupambana naye?

Hicho kitisho kwa Marekani ni ujinga mtupu.

Ni kama wewe upate taarifa jirani yako unayemzidi ukwasi anashirikiana na adui yako aliye mbali na ukasikia kuna uwezekano akampatia bastola ya kujilinda. Basi uamue kuvamia nyumba yake na kujeruhi na kuua baadhi ya wanafamilia ukidai “kujilinda” na hatari inayoletwa “mlangoni” kwako!

There is no justification of invading, destroying and killing Ukrainians under current circumstances. Kwanza Warusi wana nasaba kubwa sana na Waukraine kuliko na nchi za Magharibi. Putin ana hakika US na EU wanaifeel deep Ukraine kama Warusi wenzake ndani ya Russia? Warusi wanaumia kuona jinsi ndugu zao huko Ukraine wanavyoangamizwa na kugeuzwa wakimbizi sababu ya US/NATO.

Think deep. Unafikiri Putin akirusha makombora kupiga UK au France, Marekani watatulia kama sasa? Anatishia Marekani wasitie pua? Unajua idadi ya Warusi waliokufa kuondoa majeshi ya Hitler nchini kwao (operation Barbarossa)? Karibu mara mbili ya Wajerumani (over 1 million casualties). The deadliest combat of the century.

Uzuri Warusi walikuwa na sababu ya msingi kabisa. It was a fight for existence. Walivamiwa na Hitler alipanga kuwaangamiza kabisa - kizazi chote (literally)! Urusi iliteseka sana lakini waliiokoa dunia toka kwa fashist Hitler at a very high human cost. Sijui kama walishukuriwa ipasavyo. Najua tishio la ukomunisti liliweka kiwingu baada ya hapo.

Leo hii ni military strategist mwendawazimu tu anayeweza kupanga marejeo ya scenario ya Barbarossa - tena kwa hypothetical postulation kama hii ya Putin. Barbarossa resistance was out of desperation: a real do or perish nightmare.
Anachokifanya Putin ni uhalifu wa kivita tu.

Amekaa madarakani miaka mingi na anajiona ana haki ya kufanya anachotaka kwa jirani zake kwa muavuli wa usalama wa Urusi.

Hii Vita itakuwa doa kubwa kwake na wanaomuunga mkono (ikiwemo mtoa mada) kwa siku nyingi zijazo.
 
Anachokifanya Putin ni uhalifu wa kivita tu.

Amekaa madarakani miaka mingi na anajiona ana haki ya kufanya anachotaka kwa jirani zake kwa muavuli wa usalama wa Urusi.

Hii Vita itakuwa doa kubwa kwake na wanaomuunga mkono (ikiwemo mtoa mada) kwa siku nyingi zijazo.
hakuna doa lolote acheni kuwaza mambo yasiokua namsingi
PUTIN yupo sahihi zaidi kwa 100% nakama mhalifu wakivita waende wakamkamate
 
Na wewe kama Putin bado mnaishi miaka ya 60 ambapo hakukuwa na GPS wala cellphone. Na hata hivyo miaka hiyo bado diplomacy ilitumika, na wala hakukuwa na vita. Miaka ya hivi Karibuni Putin alipelekea jeshi Venezuela wala serikali ya Marekani haikusema kitu.

Putin ametembelewa na viongozi wa nchi nyingi kumshawishi kuwa vita siyyo suluhisho bali linatakiwa jibu la kidiplomasia, akawa anajibu kuwa hana mipango ya vita bali jeshi lake linafanya mazoezi tu lakini mwisho wake akavamaia ka-nchi ambako hakakauwa na maandalizi ya vita. Ukraine ilikuwa na silaha nyingi sana za Nyuklia ila mwaka 1994 lakini iliziharibu ote na kusema yenyewe itaishi kwa amani kwa majirani, Urusi ndiyo ilichukua silaha nyingi ambazo Ukraine ilitaka kuharibu. Kwa nini Putin hakutaka kutumia diplomacy kama siyo matokea ya kiburi na nia mbaya kwa Ukraine? Kwa nini hakushambulia Estonia, Latvia na Lithuania wakati zilipoomba kuwa kwenye NATO wakati hizo ndizo hatari sana kwa huo usalama wake kwa vile ziko karibu sana na St. Petersberg na Moscow kuliko Ukraine, na vile vile zinapakana na Bahari.

Sasa baada ya uvamizi huo na uharibifu wa mali na maisha ya raia wa kawaida wa Ukraine, acha uone umwamba wake utamfikisha wapi. Kwanza mpaka sasa hivi jeshi lake lote limebaki matope tu ndani ya Ukraine, wanakimbia na kuacha vifaru nyuma. Hiyo mizinga ya masafa marefu aliyokuwa anatumia kufanya uharibifu itaanza kudhibitiwa sasa kutoka na silaha mpya ambazo Ukraine imezipata kutoka Marekani. Kwa uvamizi huu, Ukraine baada ya vita si ajabu ikajenga jeshi la hatari sana kwa usalama wa Urusi kuliko Putin alivyotegemea, na huenda Ukraine ikapeleka majasusi Moscow kwenda kulipiza kisasi kwa uharibufu waliofanyiwa.
heheee mnaona RUSSIA kama RWANDA eeeh
nisuala la muda tu tutamuambia zelnsky mambo mawili ondoa kwausalama wako ama fanya hv kwausalama wako
hakuna silaha hatari wala jasusi atakaepeleka mdhara moscow huko nikujipa faraja
operation maalum inaendelea vyema kabisa muwe wapole vijana acheni kulalama lalama
 
Back
Top Bottom