Nafanya delivery ya kuweka Playlist ya nyimbo za dini kwenye Flash ambayo utasikiliza kwa siku tano hujamaliza

Nafanya delivery ya kuweka Playlist ya nyimbo za dini kwenye Flash ambayo utasikiliza kwa siku tano hujamaliza

Ubunifu mzuri
Jaribu kuongeza za kikatoliki na SDA
nitakutafuta

Vp nauli ya kuja kuweka ?
 
Wewe unaweza kulinda kazi za Hillsongs, unaweza kulinda kazi za P Diddy, Unaweza kulinda kazi za Tasha. Kazi za nyimbo hazilindwi kwa kutumia bunduki na Mishale.
Wewe mpuuzi si umesema una nyimbo za injili peke yake? P Diddy anaimba gospel? Unavyoendelea kunijibu kijinga ndo unazidi kuharibu.
 
ACHA WIVU USIJIFANYE KAMA HUELEWI HIKI NACHO KIFANYA. NIMEKWAMBIA NI KAZI YA MUNGU NASHARE WATU WASIKILIZE KAZI ZA MUNGU. AU ULITAKA NIKAJIANIKE KARIAKOO NA PC WATU WAJE WACHUKUE BURE:

MBONA BINADAMU WENGINE MNAKUA NA ROHO MBAYA KIASI HIKI.

NOTE: Sio biashara nafanya kazi ya Mungu tu. Nataka kushare Playlists ya nyimbo za dini ambazo najua zitawabariki walio kwama walio Kosa tumaini wanapitia magumu. Siwezi nikawa nimejifungia chumbani nasikiliza mwenyewe.
Achana na watu hasi, watumishi wa Mungu tushaa kuelewa.!

Kuna kipindi mtu unasikiliza song la gospel mpaka unatamani wawepo wengine wabarikiwe nazo.!

Nani kawaambia kipaumbele cha waimbaji ni pesa??
 
Back
Top Bottom