azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 288
- 714
Habari Wana jamiiforum.
Bila kuwachosha naenda kwenye mada moja kwa moja.
Nimejikamua Kama kijana nimeamua kufungua liquor store yangu mkoani Tanga ambayo inafanyakazi masaa 24 kila siku za wiki.
Sasa nauza vinywaji kwa bei ambayo Mimi napata faida
Mfano:-
Highlife -2000
Double kick -2000
Block Gin -2000
Hanson choice ndogo -3500
K vant ndogo -3500
Konyagi ndogo - 3500
K vant kubwa -9000
NK.
Sasa bei hizi zimefanya wafanya biashara wenzangu kuanza kuniundia figisu maana wao walikua wanauza Bei juu wanasema mimi nimewaharibia biashara zao.
Mfano wao huuza hivi
Double kick, Highlife na Black Gin kwa 3500
K vant ndogo, Hanson choice ndogo na konyagi ndogo kwa 5000.
Figisu wanazoniundia wafanya biashara wenzangu ni kama,
1. Kuniletea polisi
2. Imani za kishirikina, nikifungua ofisi nakuta hirizi mlangoni siku nyingine nakuta mayai yamepasuliwa au Nazi na makaratasi yaliyoandikwa Kama kiarabu hivi.
3. Kuniletea maafisa afya na TRA.
4. Kupanga vijana waniibie
Wakuu naombeni ushauri wenu kwa wazoefu wa biashara kipindi na nyakati Kama hizi ni zipi njia sahihi za kupita.
Bila kuwachosha naenda kwenye mada moja kwa moja.
Nimejikamua Kama kijana nimeamua kufungua liquor store yangu mkoani Tanga ambayo inafanyakazi masaa 24 kila siku za wiki.
Sasa nauza vinywaji kwa bei ambayo Mimi napata faida
Mfano:-
Highlife -2000
Double kick -2000
Block Gin -2000
Hanson choice ndogo -3500
K vant ndogo -3500
Konyagi ndogo - 3500
K vant kubwa -9000
NK.
Sasa bei hizi zimefanya wafanya biashara wenzangu kuanza kuniundia figisu maana wao walikua wanauza Bei juu wanasema mimi nimewaharibia biashara zao.
Mfano wao huuza hivi
Double kick, Highlife na Black Gin kwa 3500
K vant ndogo, Hanson choice ndogo na konyagi ndogo kwa 5000.
Figisu wanazoniundia wafanya biashara wenzangu ni kama,
1. Kuniletea polisi
2. Imani za kishirikina, nikifungua ofisi nakuta hirizi mlangoni siku nyingine nakuta mayai yamepasuliwa au Nazi na makaratasi yaliyoandikwa Kama kiarabu hivi.
3. Kuniletea maafisa afya na TRA.
4. Kupanga vijana waniibie
Wakuu naombeni ushauri wenu kwa wazoefu wa biashara kipindi na nyakati Kama hizi ni zipi njia sahihi za kupita.