Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu usinisahau kwenye ufalme wa maswali yaliyopita nijikumbushieBado sijakata tamaa nitazipambania tena,japo mara ile walinipaisha [emoji23]
Mimi nawaza hiko cheti cha darsa la saba sijui nakipatia wapiHawa jamaa wana mambo mengi sana
Yaani mpk cheti cha la saba,
Na picha za wadhamini ( referees) dahhh!!
Mpk nachokaaa
Wanaznguaaa,
Itakuwa hivo ndo vigezo ambavyo wanaviwekwa ili wengi wetu tupigwe chino.. Na watafanikisha kwa hiloWanaznguaaa,
Yaan vyeti vya la saba karne ya 21,
Mm nilijarbu kufatilia wananambya havijatoka na ni kitambo nimemalza mpk nikachoka
Naamini majobless wenzangu wataanzisha ma group ya WhatsApp kama mara ile, hata lile la telegram itabidi tulifufue 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu usinisahau kwenye ufalme wa maswali yaliyopita nijikumbushie
Huyu jamaa atakupiga hela mpaka uchakaeNgoja nimcheki jamaa wa ikuru
Si mandatory ata safar ile haikuwa na ulazimaWanaznguaaa,
Yaan vyeti vya la saba karne ya 21,
Mm nilijarbu kufatilia wananambya havijatoka na ni kitambo nimemalza mpk nikachoka
Poah!!Si mandatory ata safar ile haikuwa na ulazima
Umezijaza wewe? Kwani Muda na pesa utakaopotea ni mali yako?°zishajaa hizo msipoteze muda wenu na Pesa zenu
Umezijaza wewe? Kwani Muda na pesa utakaopotea ni mali yako?°zishajaa hizo msipoteze muda wenu na Pesa zenu
Umejibu vizurii sana....unavyoacha kwenda interview unamtengenezea mazingira mazuri mwenzio alieenda kufauluUmezijaza wewe? Kwani Muda na pesa utakaopotea ni mali yako?
Uliza kilichofanyika mwaka 2021Umezijaza wewe? Kwani Muda na pesa utakaopotea ni mali yako?
Uliza kilichofanyika mwaka 2022Umezijaza wewe? Kwani Muda na pesa utakaopotea ni mali yako?
Ni mpaka uwe na account ajira portal?Bado sijakata tamaa nitazipambania tena,japo mara ile walinipaisha 😂
Kisha akalipa faini ya milioni moja wakati kala rushwa ya milioni tano. Puuzi yule hakimuHizi kazi unyama sana,hawa ndio waramba asali sasa,juzi kati nimesoma mmoja alipewa USD 25000