MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,562
- 3,380
Ni taasisi mbovu kuliko taasisi zote Tanzania.
Bora ingefutwa na mishahara yao ikapelekwa kwenye taasisi ya afya.
Mimi mwenyewe naweza kuwakamata wala rushwa zaidi ya kumi kila siku.
Lakini hii taasisi ya kishenzi, ndani ya miezi mitatu unaweza kukuta hawajakamata mtu hata mmoja.
Hawaoni polisi wa barabarani, vituoni? Bila rushwa hupati dhamana.
Bora ingefutwa na mishahara yao ikapelekwa kwenye taasisi ya afya.
Mimi mwenyewe naweza kuwakamata wala rushwa zaidi ya kumi kila siku.
Lakini hii taasisi ya kishenzi, ndani ya miezi mitatu unaweza kukuta hawajakamata mtu hata mmoja.
Hawaoni polisi wa barabarani, vituoni? Bila rushwa hupati dhamana.