Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

Hivi mshahara ya Assistant Investigator huwa ina range kwenye Tsh ngapi
FANYA applct ukipata utajua acha maswal ya kiyoto wakat ndio kwanza upo kwenye mchakato wakutafuta kazi[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Serikali ilitazame hili swala la kutoa ajira Kwa kubagua kozi, ka vp wangefuta mapema hizo kozi ili watu wasipoteze muda wa kusoma,

Unatoaje ajira Kwa kozi za engineering na science pekee na kuacha kozi zingine? Uhamiaji nao walifanya upumbavu kama huu, eti kozi za arts na social science ni moja tuu sheria.

Pia swala la umri wanazingua sana, mtu amemaliza akiwa na umri mzr, serikali imechelewesha ajira umri ushaenda afu unamuekea mtu kigezo Cha umri wa kulaumiwa nani kama sio serikali?

Serikali ipige marufuku haya mapungufu na vigezo vya ovyo katika utoaji ajira.
 
Serikali ilitazame hili swala la kutoa ajira Kwa kubagua kozi, ka vp wangefuta mapema hizo kozi ili watu wasipoteze muda wa kusoma,

Unatoaje ajira Kwa kozi za engineering na science pekee na kuacha kozi zingine? Uhamiaji nao walifanya upumbavu kama huu, eti kozi za arts na social science ni moja tuu sheria.

Pia swala la umri wanazingua sana, mtu amemaliza akiwa na umri mzr, serikali imechelewesha ajira umri ushaenda afu unamuekea mtu kigezo Cha umri wa kulaumiwa nani kama sio serikali?

Serikali ipige marufuku haya mapungufu na vigezo vya ovyo katika utoaji ajira.
Hao hao pccb mwaka jana waliweka kozi kibao za arts nadhani wanatoa kwa kuangalia uhitaji
 
Back
Top Bottom