Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Hapana unaomba kupitia portal yao ya PCCBNi mpaka uwe na account ajira portal?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana unaomba kupitia portal yao ya PCCBNi mpaka uwe na account ajira portal?
Ulidhani cha la 7 hakitumiki?Hawa jamaa wana mambo mengi sana
Yaani mpk cheti cha la saba,
Na picha za wadhamini ( referees) dahhh!!
Mpk nachokaaa
Ujue mara nyingi faini hupelekwa mahakamani, ila kiasi husika hurudishwa kwa mhusika...Kisha akalipa faini ya milioni moja wakati kala rushwa ya milioni tano. Puuzi yule hakimu
Sawa jumatatu nitachekiHapana unaomba kupitia portal yao ya PCCB
What if kama mtu hana miongoni mwa hizo degree zilizotajwa?Kila la heri Engineers, surveyors, lawyers, computer wizards na wengine wenye sifa wanazozitaka. Zamu yenu sasa.
Maana yake hana sifa ya kuomba nafasi hiziWhat if kama mtu hana miongoni mwa hizo degree zilizotajwa?
Nimeona kuna vigezo pia vingine apart from degree...Maana yake hana sifa ya kuomba nafasi hizi
Other qualifications ni sifa za ziada lakini kigezo cha kwanza ni degree zilizotajwaNimeona kuna vigezo pia vingine apart from degree...
Am talking about assistant investigators IIIOther qualifications ni sifa za ziada lakini kigezo cha kwanza ni degree zilizotajwa
Hao pia wana sifa zao wanazozihitaji kama tangazo linavyosemaAm talking about assistant investigators III
Zishajaa hizo gereshaAll the best kwa wenye qualifications mpaka kieleweke, chances 320 si haba
Mzee wa ikulu kila nafasi wataka wewe[emoji23]Ngoja nimcheki jamaa wa ikuru
Ikiwa ivo mbona ni msaala kwa wahangaZishajaa hizo geresha