Kama hauja submitt application!! Fungua account nyingneJamani Kama Kuna namna ya kureset password naomba msaada wa Haraka nipambanie Jambo hili Kesho ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hauja submitt application!! Fungua account nyingneJamani Kama Kuna namna ya kureset password naomba msaada wa Haraka nipambanie Jambo hili Kesho ..
Angalia kama file yako ina about 1mb over haiwezi, compress ili iwe chini ya 1mb mkuu. Kama iko hivo check out other problem!Mbona kuapload vyeti na details inagoma nyie system inakubali au shida ni nn
Umehitimu lini chuo mkuuDaa sijaverify vyeti na siku zimeisha
Uwe una save password hata ukisahau inakukumbusha !!Yec mwaka juzi niliapply kupitia portal yao hii hii Sasa nikijaribu kulogin kwa kutumia my previous credentials lakini inaonekana km password haikuwa correct so sikupata option ya kureset password..
2019.Kwan kuna uhusiano kati ya mwaka wa kuhitimu na kucertify cheti .Nimeshindwa kuverify kutokana na mazingira niliyopo, Ila nimetuma hivyo hivyo.Umehitimu lini chuo mkuu
Ndiyo uhusiano upo 2019 bado unatoa kauli ya kucertify cheti kana kwamba unalalamika, wakati hata elfu 10 tu mwanasheria anakusaidia ukimuomba ?? Mambo mengine tunafanya uzembe sana.2019.Kwan kuna uhusiano kati ya mwaka wa kuhitimu na kucertify cheti .Nimeshindwa kuverify kutokana na mazingira niliyopo, Ila nimetuma hivyo hivyo.
Shida sio pesa ya kucertify shida ni sehemu nilipoNdiyo uhusiano upo 2019 bado unatoa kauli ya kucertify cheti kana kwamba unalalamika, wakati hata elfu 10 tu mwanasheria anakusaidia ukimuomba ?? Mambo mengine tunafanya uzembe sana.
Tuma hivo hivo huwezi jua.Daa sijacertify vyeti na siku zimeisha
Vp mishahara yao ipoje? Unaeza kisia minimum graduate anaanza na kias gan ?wanalipa according to pccb salary scale hawatumiii TGS kwasababu ni taasisi
Huo ni kwa nafas gani ?1.8m
Amina. Na iwe njema.Dirisha la kuomba nafas limeshafungwa aya sasa tusubir pdf la waliochaguliwa, tusiache kuomba kila mtu kwa imani yake
Atakae kosa nafasi atakuwa amempa mwenzake nafasi kwa hiyo tusije kulaumu sana [emoji23]Dirisha la kuomba nafas limeshafungwa aya sasa tusubir pdf la waliochaguliwa, tusiache kuomba kila mtu kwa imani yake
Kama yale ya mwaka jana mkuuAtakae kosa nafasi atakuwa amempa mwenzake nafasi kwa hiyo tusije kulaumu sana [emoji23]
Mwaka jana ilikuwaje mkuu siku apply ,nafasi zilikuwa ngapi ?Kama yale ya mwaka jana mkuu
Zilikuwa 350, tuliitwa written ila baada ya hapo ilikuwa ni kukandwa tuuMwaka jana ilikuwaje mkuu siku apply ,nafasi zilikuwa ngapi ?