Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
[emoji23][emoji23]Ww n dalali tu unataka ule 70 ya mtu kila mwezi
Nimempa dogo namba atakupigia. Namba yake voda inaishia 53Wahi chap nikuunganishe upate hii kazi.
night shift kwenye lodge
Taarifa muhimu nimeweka juu
ukiona mshahara sio size yako acha povu.
Mlinzi mlinzi mlinzi
Hiyo nafasi muunganishe ndugu yakoWahi chap nikuunganishe upate hii kazi.
night shift kwenye lodge
Taarifa muhimu nimeweka juu
ukiona mshahara sio size yako acha povu.
Mlinzi mlinzi mlinzi
Ni haki yangu kupewa kitu kidogo pale ninapotumia resources zangu kutafutia wengine.Ww n dalali tu unataka ule 70 ya mtu kila mwezi
Laki 2Advance sh ngapi?
Hahahaha daah, ntafanya kazi zote ila sio hii coz hapo kwenye majambazi lazima waanze na wewe kwanza pale getini na pia uhalifu ukitokea na mlinzi ukapona basi polisi wanaanza na ww kwanza ukaa ndani kidogoRisk ya hii kazi.....
Pakiibiwa inaonekana mlinzi kala njama na wezi...
Na majambazi wakiingia wanatafuta kwanza mlinzi ako wapi tuanze nae...