Nafasi ya kazi ya Usimamizi "Manager" wa kiwanda kidogo

Nafasi ya kazi ya Usimamizi "Manager" wa kiwanda kidogo

😂😂😂 wakakimbia. Watz tumezoea kazi kishkaji
Ukweli hawapo serious kabisa.

Kuna mmoja kaja kwa orientation na kabla ya orientation tulimuuluza kama anafahamu kutumia pc (office programs) kwenye kazi, kasema anafahamu kutumia computer (office programs) siku tuliomkabidhi computer tukamkuta kaipa mgongo computer.

Tena huyu alikua ninmtu mw
enye umri, si kijana mdogo. Inashangaza vipi mtu mzima, aliyeyaona maisha anashidwa kuwa nkweli hata wa nafsi yake.

Nayaandika hapa kwa sababu nafahamu watanisoma.
 
Mimi ninakuja

Njoo, hakuna asiyekaribishwa Abraar. Lengo letu kuu ni kupeana nyavu, sio samaki.
.fursa zipo nyingi sana. With people who have the right attitude, Abraar inaweza ku shoot progressively kuliko kiwanda kidogo chochote cha precast blocks.

Mradi ukija elewa tu , huji hapa kuwa managed, uje hapa ku manage. kiwanda. No silver platters.

Nashauri wote wanaoitamani hii kazi wajisomee vizuri hayo, hatuhitaji mtu wa kuja holiday, "kutazama mazingira".
 
kiuhalisia wewe unaonekana ni tapeli uliyejificha nyuma ya mgongo wa dini. Kila siku unatafuta wafanyakazi. Ajiri vijana acha ujanjaujanja. vitu vingine watajifunzia kazini hukohuko.
 
Kama kawaida maneno mengi watu wanajua kulalama bila kujituma hapo visingizio vitakua 200 kidogo lakini jibu ni uvivu tu, na watu wanaweza kukutega kujua kama uko serious na kazi au maneno tu
 
kiuhalisia wewe unaonekana ni tapeli uliyejificha nyuma ya mgongo wa dini. Kila siku unatafuta wafanyakazi. Ajiri vijana acha ujanjaujanja. vitu vingine watajifunzia kazini hukohuko.
Naona huelewi kua panapotafuta wafanya kazi kila siku kuna ukuaji usio wa kawaida.

Abraar tunajivunia kuajiri watu bila kutazama cv zao. Ubora wa kazi ya mtu utajionesha kazini. Tunajivunia hata tunapobaini kua huna ujuzi wa kazi tunakupa fursa ya kujifunza ukiwa kazini.

Unaweza kututuita upendavyo,haitukatiShivtamaa sipokuq inatufa n ya tuobgeze juhudi, tunafahamu kt I usio na matunda haupopolewi.

Elewa tu, Abraar hatutoi samaki tunatoa nyavu.

Kama kutafuta kwetu wafanyakazi kunakukera, jipange kukereka sana kwa kua tuna program yetu inayohitaji wafanya kazi wasiopungua 100.

Ona vitu vya kisasa hivyo...
IMG-20220903-WA0076.jpg
 
Naona huelewi kua panapotafuta wafanya kazi kila siku kuna ukuaji usio wa kawaida.

Abraar tunajivunia kuajiri watu bila kutazama cv zao. Ubora wa kazi ya mtu utajionesha kazini. Tunajivunia hata tunapobaini kua huna ujuzi wa kazi tunakupa fursa ya kujifunza ukiwa kazini.

Unaweza kututuita upendavyo,haitukatiShivtamaa sipokuq inatufa n ya tuobgeze juhudi, tunafahamu kt I usio na matunda haupopolewi.

Elewa tu, Abraar hatutoi samaki tunatoa nyavu.

Kama kutafuta kwetu wafanyakazi kunakukera, jipange kukereka sana kwa kua tuna program yetu inayohitaji wafanya kazi wasiopungua 100.

Ona vitu vya kisasa hivyo...View attachment 2344792
Abdul,

Achana nae huyo, ni mjinga tu.
 
Natamani nimpe mtu hii namba aje sifa zote anazo ila moja ambayo inanifanya niseme no acha nilinde heshima yangu kwako ndugu
 
Back
Top Bottom